Wema Sepetu: Niliuweka pembeni "u-star" wangu ili kuwa na Munalove,lakini ushamba wake umenishinda

Wema Sepetu: Niliuweka pembeni "u-star" wangu ili kuwa na Munalove,lakini ushamba wake umenishinda

Munaluv ndio ka peleka mchupi wa Wema Sepenga Tanga kwa Mganga.
Bongo bhana full watindiga yaani hata sauti zao haziwasitiri kuficha nyuchi zao
Braza samahani nauliza hivi huyo jamaa kwenye Avatar ni ndugu yako?
 
Mi ninaona tatizo la wema ana wivu sana hasa akiona rafiki yake anamzidi mvuto!hii ni kwasababu anajiona mzuri kuliko wengine!Nina experience sana na wadada wa haina kama ya wema coz yalishanitokea kwa marafik kam wawil hv,walikuw na tabia ya kuanzisha ugomv usio na kichwa wala miguu hasw kama tukikutana sehema za starehe!hii ni kwa sababu anataka yy tu ndo atongozwe ,na inapokuw tofaut ndo hapoo ataanz bif na we we!!yaan badal ya kutongozw yy alikuw anauliziwa kuhus mm na jins ya kunipata !!!!!so ndo hapooo bif kam la wem linapoibuk utasikia hooo mar mshamba! Si type yang !anakibur nk
dah aisee inaonekana dada u mrembo sana
 
Nisharudia rudia sana huyu, hana ladha kabisa sasa hivi.. scraper tu
 
ifikie tym sasa wema akili yake iconcentrate kweny kupata mtoto, huyo pekee ndo atayempa faraja ya maisha yake yaajabu kuwahi kushudua tangu nlipopata akili timamu,
caution: asichoke sana sana mana naona hata gushape gunazidi kufa taratibu.
 
Mkuu Idrissa kafilisika zile $300,000 zimeisha..?[emoji15] [emoji15]
Shemeji, idd mbona alishavunja kibubu zamani tu, wema alikua anajifanya anashinda kw idd wanalea watoto sijui walikua wanaazima wapi hao watoto ha ha ha hadi hela zimeisha idd hajanunua hata toyo lol
 
Bila shaka huku nimepotea njia samahani wapendwa ngoja niondoke zangu...
 
Asee kama u don deal with 'washamba' ilkuaje ukakubali awe rafikiyo from the first place????

Mshamba ni wewe Wema usojua kutumia akili yako na jina lako kuwa utakapo...

Ulishindwa ku use nafasi yako,Muna kaitumia na kafaidika probably...

Pole Wema huna jipya,ushagombana na kila mtu sijui akitoka Muna who will be next....
in the first place
 
Back
Top Bottom