Wema Sepetu: Nimemsamehe Penny

Wema Sepetu: Nimemsamehe Penny

Kipindi kile kabla hajawa na mengi alikuwa anavaa chupi ya 220,000 he he sipati picha sasa hivi.
Kudadadeki
DODO Ndo nini tena binamu unanipa kazi ya kugoogle ujue

Binamu we nae hujui dodo? Ni cream mpya hyo , ndo habar ya mujini kwa sasa
 
Ni kweli ingetakiwa awe mbali sasa domo akimpiga chini sijui itakuwaje anaendekeza sana ushosti kuliko ku focus future bora domo yeye ana mkumbuka mamaake sasa umri unaenda nothing to show

Hayo mambo ya mashoga mama ubaya anayependa, kila siku wanaibiana mabwana ila hakomi
 
Amsamehe chumbani bila akina warumi na shigongo kujua? Labda sio mama ubaya huyu ninayemjua sie, ivi binamu ALBADILI yao iliishia wapi maana walisema siku saba wiki ya pili sasa inakatika kimyaa

Walikuwa wanata attention tu hawana lolote
 
Last edited by a moderator:
Walikuwa wanata attention tu hawana lolote

Nikimuona mama wema tu namkumbuka homa ya jiji aka team dengue, yule mtu ni balaa nilimpenda bure😃😃😄👍
 
Kipindi kile kabla hajawa na mengi alikuwa anavaa chupi ya 220,000 he he sipati picha sasa hivi.
Kudadadeki
DODO Ndo nini tena binamu unanipa kazi ya kugoogle ujue

Binamu chupi ya 220,000 ndo ipi hiyo? Maana ni mshahara wa mtu huo
 
Mwenzie penny ana kazi yake maisha yanaendelea, ye kazi kutafutafuta sifa za kijinga na kujipendekeza kwa mama ndomo, badala lifanye kazi, ata ndomo angemuheshimu, sasa ivi anamuona mlupo tu usiojitambua

nimeamini global na wema lao moja,mpaka aseme kamsamehe kwank wema peny kashawahi hata kumtukan wema natabiri mwisho wa wema
 
Hapa tu ndio huwa nakuaminia mshikaji,data zote za town unazo, na michambo ya uswahili ndo usiseme lol! warumi bado yuko kifungoni?


Wema products? Mmh sidhan kama ni za huyu mama ubaya maana tungejua kabla hata hazijatoka kwa promo za misukule wake kule insta

Huyu mama ubaya atakuwa karogwa, yani kumpata yule zumbu kuku clement yeye cha maana alichokifanya ni safar za dubai na china na kufanya shopping za mil 200, yani wema ana pepo la sifa za kijinga, aya sasa hizo shopping za dubai sasa ivi anazisikia tu kwenye mitandao
 
Last edited by a moderator:
Hilo nalo neno binamu maana yule nae kijeba kiama, toka enzi za nalia machozi ya furaha na bushoke had leo yupo vile vile, mmh mwenzenu atumii DODO yule binamu, vipodoz vyake anashindana na akina beyonce sasa akina mama mwajuma ndala ndefu kutwa caro light uso umezeeka kabla ya mwili

Huwa naishia kucheka kwa sauti tu kwa post zako, ubarikiwe kwa kuniongezea uhai, manake wanasema ukicheka unaongeza siku lol!
 
Hapa tu ndio huwa nakuaminia mshikaji,data zote za town unazo, na michambo ya uswahili ndo usiseme lol! warumi bado yuko kifungoni?

Umenikumbusha binamu warumi nadhan atakuwa kashaachiwa ngoja nika log in nione kama bado nipo kifungoni aiseh basi watakuwa wameniweza maana hawa ma mods hata hawaaminik usikute ndo tunaochambana nao humu kila siku
 
Last edited by a moderator:
Ye wema mbona mwizi tu,kwan Penny alimkosea ninii mpaka amsamehee nyoooooo zakee
 
Umenikumbusha binamu warumi nadhan atakuwa kashaachiwa ngoja nika log in nione kama bado nipo kifungoni aiseh basi watakuwa wameniweza maana hawa ma mods hata hawaaminik usikute ndo tunaochambana nao humu kila siku

Itakua unachambana nao binamu ndio maana hawakufunguliiiii lo
 
Last edited by a moderator:
mwezi wa ramadhan ukiisha bifu linaanza pale pale tu
 
Itakua unachambana nao binamu ndio maana hawakufunguliiiii lo

Sijui niite bahat mbaya au bahat nzuri warumi hata aje na account mia fake hawezi kujificha lazima ujue tu huyu warumi hata nije na majina bandia mia, watu na magundu yetu bhana
 
Last edited by a moderator:
Ye wema mbona mwizi tu,kwan Penny alimkosea ninii mpaka amsamehee nyoooooo zakee

Huyo penny ana mda na mama ubaya sasa? Au wema anataka kujipendekeza,kwanza penny sio mswazi na mvivu kama mama ubaya, hatutak amuambukize penny mitabia yake michafu
 
Huyo penny ana mda na mama ubaya sasa? Au wema anataka kujipendekeza,kwanza penny sio mswazi na mvivu kama mama ubaya, hatutak amuambukize penny mitabia yake michafu

umeonaah!afu nshajua wema anasafiria nyota za wenzie!
 
Sijui niite bahat mbaya au bahat nzuri warumi hata aje na account mia fake hawezi kujificha lazima ujue tu huyu warumi hata nije na majina bandia mia, watu na magundu yetu bhana

Mi ntakujuaaa tuuu mbonaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom