Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
Tunajua masifa kawatuma mje mtetee ujinga lakini habari ndio hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema au Penny?
Acha uongo Diamond alisemaga ni Penny alimfundisha
Yaani nilihisi hauwajui na kweli haujui kitu, nyie ndio wale wa timu yake yaani timu -----.
Wema hajamfanyia lolote D
Anashinda kutamani na kulala na waume za watu.
Akasali kufuta laana anazotupiwa
Huyu dada vipi jamani
Wanawake wa jamiiforums mnamchukia Wema sababu kawazidi uzuri na pesa mchweeew. Wote hamna maisha wivu umewajaa kama nini na mtaisoma namba sasa hivi madam ana mshefa wa ukweli bado pete tu kachoka kuwa na masharobalo wasio na hela.
Hivi huyu Wema kaishia darasa la ngapi jamani
Wanawake wa jamiiforums mnamchukia Wema sababu kawazidi uzuri na pesa mchweeew. Wote hamna maisha wivu umewajaa kama nini na mtaisoma namba sasa hivi madam ana mshefa wa ukweli bado pete tu kachoka kuwa na masharobalo wasio na hela.
Chukua ma like ya ukweli.....yaan umesema kweli haswaa.....yaan watu wanalalia ugali tembele kila siku na siku nyingine wanakosa....MB zenyewe za kuingia Jf ni mpaka wavizie wireless za watu ila sasa humu ni Wema Wema.... mwenzao ana maisha yake na anajiweza sasa hao acha watape tape utazani dai ni mume wao......heheheeeeeee
Wanawake wa jamiiforums mnamchukia Wema sababu kawazidi uzuri na pesa mchweeew. Wote hamna maisha wivu umewajaa kama nini na mtaisoma namba sasa hivi madam ana mshefa wa ukweli bado pete tu kachoka kuwa na masharobalo wasio na hela.
Acheni kujifariji wakuitwa wema ndio jua linazama kwake
Chukua ma like ya ukweli.....yaan umesema kweli haswaa.....yaan watu wanalalia ugali tembele kila siku na siku nyingine wanakosa....MB zenyewe za kuingia Jf ni mpaka wavizie wireless za watu ila sasa humu ni Wema Wema.... mwenzao ana maisha yake na anajiweza sasa hao acha watape tape utazani dai ni mume wao......heheheeeeeee
Mpotezee fanya yako kila siku Wema mumwache amesha move on. Huyo Diamond kutwa kujipiga picha amuumize roho ila Wema kakuwa anafanya maendeleo.
Tunakujua haumpendi Diamond utazani hata salamu mlishasalimiana kwa mikono.
Wanawake wa jamiiforums mnamchukia Wema sababu kawazidi uzuri na pesa mchweeew. Wote hamna maisha wivu umewajaa kama nini na mtaisoma namba sasa hivi madam ana mshefa wa ukweli bado pete tu kachoka kuwa na masharobalo wasio na hela.