Namuombea asikufuru tu sidhani kama kuna mtu asiyependa mtoto.
Ila kuna kipindi watu walimuandama sana kuhusu kuwa na mtoto nahisi ndo kilichomtia hasira hata aandike maneno kama hayo.
hii ni habari mbaya kwa image ya nchi, itabidi wema sepetu( 22+4) abembelezwe na ikulu chini ya first lady abadili msimamo sababu yeye ne dangote ndio wanaoitangaza nchi yetu kimataifa
Mwanasaikoloji umetisha, chezeya binamu yangu weye, kila cheo ye yumo
Inaonekana tu kuwa hana kizazi huyo, maana anavyoongea kuna vitu vinaingia mpaka kwenye ubongo
kwani hujui hadi profesa wa china ni promota wa dangote au na yeye hajabukua?Taifa lipi? Huyo wema na dangote anawaumiza vichwa nyie aka akina sie tusiokuwa na Elimu wala kazi za maana ndo maana kutwa ndomo na mama ubaya, kuna watu wapo busy sana na kazi zao za maana so mda wa kipuuzi kama huu
Mimi ni mtoa ushauri nasaha pale angaza
Yaani watu wanachunguzana hadi kwenye mambo ya kuzaa?!!!!!!
NDo ujiulize inakuwaje mtu ana ukimwi halafu na watu wakajua flan ana ukimwi
Wanataka mwenzao azae wakato hana ndoa eeeh
Itakua hazalishwi sio hazai
mmmmh umeletwa na kimbunga gani huku
Hahaa nimepotea njia
Hata leo alikuwa anapost mbwa na mama yake alikuwa kambeba mbwa wa wema , wema akasema mtoto wake hyo yupo anadeka kwa bibi yake, apo ndo watu wakamcharukia kumchamba