Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
kuna siku huyo baby wake(mbwa) alitoka nje bila kuonekana
.
Jamani alifunga mtaa kwa kutukana, wale wafanya kazi wake walikoma siku hiyo.
Aliwaambia nyie wote hamna thamani kama huyu mbwa wangu so toka nje wote mkamtafufe, hapo kasimama katikati ya barabara.
Nikasema huyu wema amechanganyikiwa na huu uzungu wa kuiga..
Halafu nikamtoa thamani na kumuona ni zaidi ya wale wanaokaa manzese uwanja wa fisi maana alitukana matusi makubwa alidhani majirani wamemficha.
kuzaa bila ndoa sio issue mambo ya kuwa single mom si lele mama lols
Kashtuka mwenzao
Kagundua atachinaaaaaaa
Kulea wakati hana shughuli ya kueleweka sio mchezo
kuna siku huyo baby wake(mbwa) alitoka nje bila kuonekana
.
Jamani alifunga mtaa kwa kutukana, wale wafanya kazi wake walikoma siku hiyo.
Aliwaambia nyie wote hamna thamani kama huyu mbwa wangu so toka nje wote mkamtafufe, hapo kasimama katikati ya barabara.
Nikasema huyu wema amechanganyikiwa na huu uzungu wa kuiga..
Halafu nikamtoa thamani na kumuona ni zaidi ya wale wanaokaa manzese uwanja wa fisi maana alitukana matusi makubwa alidhani majirani wamemficha.
Hata mi nashangaa.
Ndugu ukisikia kumtaja m'mungu pasipohusika ndio huku.
Ila labda mi na wewe ndio hatujaelewa.
Aende uko, anaitamani sanaaaa anafikiria kua mama ni mchezo? Kazinyofoa mimba weee sasa kabaki kulea mbwa, hajui huyo mbwa pia Ana mamake au kamzaa yeye shankupe huyo mbele kauza nyuma kaweka rehani atajibeba.....
hahaha umeona eeeh ukizalishwa utamchuna nani haha yaliyomkuta rosendauka ni somo
hili neno kuzalishwa naona kama linamdhalilisha mwanamke........kwanini isiwe kuzaa......
Katika page yake ya instagram, super star wema sepetu aka mama ubaya amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kipost
"Okay... Lets get things straight here.... See dat doggie up there... Y'all see her....? Dat is my bebi.... since i dont have a bebi... Huyo ndo mtoto wng... Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta... Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai... Akha...!! Zaa zaa... If u have a child im happy for u... Nd wish u da best... I dont... Ndo mungu alivyonipangia... So please hey.... Watakaozaa all da best... Walio na mipango ya kuzaa hongereni... Mimi sina ... Im done... Vanilla ndo bebi wangu kipenzi na nampenda kuliko.... Na wale wa subhannah llah pia nisiwaone... This is getting too personal sasa...
hahaha sidhani kama linamdhalilisha wakati wa process kuna wengine nyuma yake anyway kwa vile sijawahi kuzaa nafuta kauli
kwa maoni yangu.......ukisema mwanamke yule kazalishwa na yule mwanaume naona kama kumdhalilidha......ni afadhali iwe amezaa na yule mwanaume......
neno kuzalishwa linatumika hospital naona.....maana kuna wakunga wanazalisha.........hapo sawa ...mfano nilizalishwa na doctor fulani au nurse fulani ndiyo alinizalisha......
ila kuzalishwa na mwanaume fulani naona uzalilishaji......ila kuzaa naona poa.....
miss neddy ni mtazamo my dia...
Aende uko, anaitamani sanaaaa anafikiria kua mama ni mchezo? Kazinyofoa mimba weee sasa kabaki kulea mbwa, hajui huyo mbwa pia Ana mamake au kamzaa yeye shankupe huyo mbele kauza nyuma kaweka rehani atajibeba.....
Angekuwa kwenye ndoa tungesema kazaa, ndoa ina heshima yak aiseeh ukizaa ovyo bila ndoa unaonekana mchafu n malaya