Ata mimi naweza kutangaza namuoa Dinazarde kwan ni kaz kutangaza? Tuliambiwa ndoa itafungwa kabla ya ramadhan, mara ooh mwez wa nane, huu mwezi wa ngap? Hakuna send off wala kitchen party,kwi kwi kwi kwi, nakumbuka tu kauli ya mama wema eti ndomo akatoe mahal kwa kina penny dah nilicheka sana yule mama ni nuksi
warumi basiiii mhurumie mwana wa mwenzako....Dada huna wewe? Khaaaa kizazi sio mfuko wa rambo kwamba ukitembea lazima uuone
sijaelewa Mungu kampagia nini.....?
yani Mungu kampangia mtoto wake awe mbwa ama.....mmh sijaelewa?
Mbons.kila.simu watu waanawakimbia watoto wao, wengine wanawagawa waende kwenye adoption?
binamu siku hizi acha kumpa airtime wema
tutaftie mwingine
Wema anaonekana anapenda sana watoto, mara nyingi amekuwa aki post picha za watoto insta na yeye mwenyenye anasema kuwa anataman sana kuwa mama, ila bibie ndo vile mayai sijui hana anajua yeye
mnataka azae kwani ameolewa jamani? warumi maadili ya dini huna weweee???? kwanini wataka mwenzako AZINI lakini?? eee??? avunje amri ya Mungu?? eee??? shindwa pepooooo!!!Mi nimeshamuelewa, huyu hana kizazi tu anajishaua bure, ule umalaya wa kutoa mimba ovyo kama anakunya mavi kizazi kisitoke mchezo? Atajibeba
mnataka azae kwani ameolewa jamani? warumi maadili ya dini huna weweee???? kwanini wataka mwenzako AZINI lakini?? eee??? avunje amri ya Mungu?? eee??? shindwa pepooooo!!!
Ndo hivo yaani
Katika page yake ya instagram, super star wema sepetu aka mama ubaya amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kipost
"Okay... Lets get things straight here.... See dat doggie up there... Y'all see her....? Dat is my bebi.... since i dont have a bebi... Huyo ndo mtoto wng... Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta... Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai... Akha...!! Zaa zaa... If u have a child im happy for u... Nd wish u da best... I dont... Ndo mungu alivyonipangia... So please hey.... Watakaozaa all da best... Walio na mipango ya kuzaa hongereni... Mimi sina ... Im done... Vanilla ndo bebi wangu kipenzi na nampenda kuliko.... Na wale wa subhannah llah pia nisiwaone... This is getting too personal sasa...
Ndo ujue hakuna watu wambea kama manesi na madocta ni wambwa hatareeeeeee
Khaaaaa dinaaa wee tutake radhi wenzio
Huyu dada ndio maana nasemaga watu wanaomshabakia watakuwa na akili kama zake...maana sionagi kitu anacho wainspire watu..
Mtu akiathrika mtasambazajeeee kumbe fani yako sorry
Akuuu mimi nimewatetea tuu😉
Anaweza kupenda watoto na kutamani kuwa mama bila kutaka kuzaa.
Sio kwa wema lakini, naona ni kazi ya mungu tu haina makosa, asikate tamaa sio kila mwanamke anaweza kuitwa mama, mbona wapo wengi tu , cheus dawa jide, millen magese n baadh y mastaa hawan uwezo huo, ni kawaida tu, ata marehemu kanumba kuna wakat alilalamika suala la mtoto aliumia sana n kusema anamuachia mungu, sasa sijui alikuwa anamwag mbegu san au vp