Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa

Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa

Hajawahi fanya sex...sasa atapataje...!!? Inatakiwa afanye sex kwa kutumia muda sahihi wa kutunga mimba...na atumie mlango wa uchi...sio nyuma au tigo....ukitumia tigo hupati mimba hata akiwa ktk siku za kushika mimba...haya ndio mambo ya kumwambia....sio kukopi bible huku alaahh...!!! Hata uweke biblia yote huku hawezi pata mimba....

Mimba lazima afanye sex muda mwafaka...na afanye deep sex...napendekeza abinuke sanaaa...apindeee mgongo, anyenyue makalio juuu, kifua chiniiiii, alafu afanyie deep penetration na mwanaume kama mm, kupitia uke na sio tigo...hapo dakika tu mimba tayari...

Haya ndio ya kumelimisha mwenzenu nyie..💏💑
Hili nalo somo
 
Atakwa bila mume
Au afikiri watoto ni Kama vifaranga wa kisasa waso baba...
Atafute kwanza mime ndio afikirie mtoto
Ashasahau mini kuwa
KUOLEWA NI SHERIA KUZAA NI MAJAALIWA
mungu atakujaajia utazaa mama but change 1st
 
Wema fanya toba ya kweli kwa Mungu muumba, achana kudili na mambo ya ustaa na kwenda kwa waganga wewe hamna mganga mwenye uwezo wa kumpa mtu mtoto, ukiona mtu kapewa mtt na mgng jua hilo ni jini kapandikiziwa, mbona wema wewe mamayako anamjua Mungu? Kaa na mm yk akuelekeze jinsi ya kupata maombi ya msaada. Sistet pole lkn usikate tamaa km umemgeukia Mungu.
 
Ungewafundisha na wenzako waache kutoa hizo mimba
 
Mungu kama alikupangia kuzaa watoto wawili af wewe umeshaua saba unamdai nini ss??? Hizo mbinu zako mkuu hazitafanya kazi....acheni umalaya na uuaji wa malaika wa Mungu.

Una uhakika alitoa mimba maana si kila asiyekuwa na uwezo wa kupata mimba basi alitoa mimba.zipo sababu nyingi sana so unaposema hivyo uwe na uhakika nalo au wanaume nao wasioweza kuzaa nao wametoa mimba?
 
Kuna mambo tunaweza tusilaum na mengine tulaumu kutokana na lifestyle aliloishi, huyu dada lazima alikuwa anachoropoa tuuuu kisa aendee kula raha huwa tunasema kuna umri ukifika utaanza ningejua.. ningejua...ningejua huwa haziishi.
 
Amejuaje kama hawezi kuzaa wakati hajaolewa? Wema nakushauri uolewe and then ukikosa mtoto ndo uje tukushauri zaidi. Unaweza kuwa hujapata mtoto labda kwa sababu unafanya uzinzi na Mungu hapendi.
 
Una uhakika alitoa mimba maana si kila asiyekuwa na uwezo wa kupata mimba basi alitoa mimba.zipo sababu nyingi sana so unaposema hivyo uwe na uhakika nalo au wanaume nao wasioweza kuzaa nao wametoa mimba?

Kuna watu wengine wanaonekana tu kuwa ni watoaji wazuri tu wa mimba.
 
kama hana uwezo wa kuzaa mimi itanisaidia nini...

akaadopt watoto. ajifurahishe nafsi yake na wafuasi wake..
 
Kumbukeni na mimi pia ni binaadam... Nina moyo kama nyie... Au mnadhani napenda kuona wenzangu wana watoto au wana ujauzito alafu mimi sina hata wa kusingiziwa... Mnaona nafurahia sio.... Hivi mna nini jamani... Yaani mtu unaweza weka post kwa nia nzuri then people jus come from nowea wanaanza kukuandikia maneno ya kukuumiza kabisa nafsi hadi mtu unakaa unajiuliza umemkosea nini mwenyezi Mungu...

Kwani kuna niliemkosea yoyote mpaka muanze tu kunikashif na kunitolea maneno mazito namna hio... Kisa mtoto... Mnadhani naipenda hii hali... Hata mimi natamani kuitwa mama na hakuna kinachoniuma kama hicho.... So mnadhani sijui kama umri unaenda na maisha yenyewe sikuhizi mafupi anytime we die... Mnafikiria nisingependa kuacha hata ka copy kangu siku ndo Mungu anasema ananichukua...

Hata mimi natamani ningekuwa napiga picha niko na mwanangu... I want dat with all my life but I cant.... Sitokaa nimkufuru Mungu wangu hata siku moja maana sijui ni kitu gani kaniandikia... But just dont rub it in... It hurts... And im jus a human being like each and every one of u...."-Wema
 
Kuna watu wengine wanaonekana tu kuwa ni watoaji wazuri tu wa mimba.

Ok,kwa hiyo hapa imetumika hisia kuliko ukweli wa jambo?nafikiri tusiishi kwa hisia,ni mbaya hasa katika mambo yanayoudhi kama haya iwapo mlengwa hajawahi kutenda jambo hilo..hebu vaa uhusika
 
Ningekuwa na uwezo wa kuzaa ningekuwa nimezaa muda mrefu sana... But sina... Na siwezi kumkufuru mwenyezi mungu.... Au mngependa niwe nawaambia jinsi ninavyo hangaika usiku na mchana kupata mtoto wangu mwenyewe... Is dat wat u want...? kila ntakachofanya kwa ajili ya tumbo langu basi nitangaze... Au mnadhani siumii mnavyosema kuhusu maswala ya mtoto😞😞😞... Kumbukeni na mimi pia ni binaadam... Nina moyo kama nyie... Au mnadhani napenda kuona wenzangu wana watoto au wana ujauzito alafu mimi sina hata wa kusingiziwa... Mnaona nafurahia sio.... Hivi mna nini jamani... Yaani mtu unaweza weka post kwa nia nzuri then people jus come from nowea wanaanza kukuandikia maneno ya kukuumiza kabisa nafsi hadi mtu unakaa unajiuliza umemkosea nini mwenyezi Mungu... Kwani kuna niliemkosea yoyote mpaka muanze tu kunikashif na kunitolea maneno mazito namna hio... Kisa mtoto... Mnadhani naipenda hii hali... Hata mimi natamani kuitwa mama na hakuna kinachoniuma kama hicho.... So mnadhani sijui kama umri unaenda na maisha yenyewe sikuhizi mafupi anytime we die... Mnafikiria nisingependa kuacha hata ka copy kangu siku ndo Mungu anasema ananichukua... Hata mimi natamani ningekuwa napiga picha niko na mwanangu... I want dat with all my life but I cant.... Sitokaa nimkufuru Mungu wangu hata siku moja maana sijui ni kitu gani kaniandikia... But just dont rub it in... It hurts... And im jus a human being like each and everyone of u.... 😔😔😔

SOurce: Instagram

Kweli malipo hapa hapa duniani, huyu si ndio alikuwa anatembea na wanaume wa ndoa wa watu, leo yamemkuta? Mungu ampunguzie adhabu yake hapa duniani, kwani katoa mimba nyingi sana hapa duniani mpaka kizazi chake kimeoza!...
 
Weee hakuna maombi hapoo...tokea lini mimba ikatungwa kwa maombi...!!? Alafu nyie watu mnaangamia kwa kukosa maarifa..eeehhh..!!

Wema ww njoo kwangu...ukifikia siku za kushika mimba ni PM....nakupiga mbuzi kagoma goli moja tu toto hilo kama Obama...!!!

Style nzuri ya kushika mimba ukiwa ktk siku za hatari ni deep penetration...mostly ya kichuma mboga/doggy style/mbuzi kagoma...hapo ndio utapata mimba...

Ila hata UKESHE NA MAOMBI HUPATI MIMBA NG'OOOOO....mimba hadi upate uume uingie ktk uchi wako...sijui maombi yantoka wapi...hata biologia haisemi uombe ukikosa mtoto, ni kusex at a right time...ebu acheni kupotosha....

yes huo ndio ukweli, na afanye hivyo akijumrisha pamoja na maombi.
 
Back
Top Bottom