hata team ndandaMbona timu zipo nyingi?Kwani si wajiite team Watford[emoji23] [emoji23]
Nahis snapchatKasema wapi huko nikaone
Rusha basi hapa hiyo snpchart ishanishindaNahis snapchat
Ingia insta utakayuta
Haaah[emoji28][emoji28]shost hatutofautiani hahaha sijui hata kitu we ingia instagram page ya baby_ake au lulu nation nadhan utamsikia bb dada kafunguka haswaaa tena na muna alikuwepo anamtulizaRusha basi hapa hiyo snpchart ishanishinda
Mfa maji haishi kutapa tapa.Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui na wamekua wakimuaribia sana maisha yake, mrembo huyo aliendelea kutiririka kuwa team hizo zimekua zikimgombanisha na watu wengi na kuwa asilimia nyingi ni wanafiki, hivyo amewaomba wote wanajiita team wema waache mara moja na waanze kutumia majina yao kwenye mitandao ya kijamii.
Ahahahahah nimeona nimecheka hatarii et hata hajui hao timu wema walitokeaga wapi hajui origin yao ,aiseee kajua kunikomeshea mbwa haya kwa hiyo na mrembo by nature katoswaHaaah[emoji28][emoji28]shost hatutofautiani hahaha sijui hata kitu we ingia instagram page ya baby_ake au lulu nation nadhan utamsikia bb dada kafunguka haswaaa tena na muna alikuwepo anamtuliza
Cha kushangaz n mma yake ana support haha
Mbona timu zipo nyingi?Kwani si wajiite team Watford[emoji23] [emoji23]
Hahahahah mrembo by nature alivyokua anamtetea wema haàhahaha umenichekesha hahaha naona amepoa sana sikuhz hata simsikii itakua alishajitoa zaman toka alivyo wakana mara y kwanza hahah wema kwel kibokoAhahahahah nimeona nimecheka hatarii et hata hajui hao timu wema walitokeaga wapi hajui origin yao ,aiseee kajua kunikomeshea mbwa haya kwa hiyo na mrembo by nature katoswa
Anatumia bint maguful,wema kajua kunikomesheaaa watu aisee ,,,yaan n kumpost wema tu aisee leo nalala vizuriHahahahah mrembo by nature alivyokua anamtetea wema haàhahaha umenichekesha hahaha naona amepoa sana sikuhz hata simsikii itakua alishajitoa zaman toka alivyo wakana mara y kwanza hahah wema kwel kiboko
Hahaah hata mm leo nitapata usngizi mzito hahah halafu kuna hyo anajiita carrymastory ni shoga yake wema na anaitw upendo huyo dada nahisi,nayeye amekomeshwa sana maana anajifanyaga anajua kutukana watu insta kis wemaAnatumia bint maguful,wema kajua kunikomesheaaa watu aisee ,,,yaan n kumpost wema tu aisee leo nalala vizuri
Mi walikuaga wananiudhi unampendaje hivyo mtu loo ,walikua kama wajinga,kuanzia kesho utaona watakavyo anza kumtukanaHahaah hata mm leo nitapata usngizi mzito hahah halafu kuna hyo anajiita carrymastory ni shoga yake wema na anaitw upendo huyo dada nahisi,nayeye amekomeshwa sana maana anajifanyaga anajua kutukana watu insta kis wema
Hehee maskin james delicious haah hadi akafunga safari mpk Tanga hahaa leo habar wanayo wapi mangeta kimambiii,wapu Tv1 weekend gossip maana wao n team wema hasa kale ka mimi mars sijui kandugu kake vanesa haha wapii matikibokoyaooo haahaha
Chaliiiiii