Wema Sepetu: Sitarudi CCM

Wema Sepetu: Sitarudi CCM

Kipindi cha kampeni 2015 alisema hivi, " nikihamia chama kingine tofauti na CCM hata kaburi la baba yangu litatitia" haaminiki huyu nashangaa chadema kwanini walimpokea
 
Wema ni nani?!

Na hivi ccm kinahitaji wacheza vigodoro kama kina wema?!!!. Dah nitashangaa sana .....asitafute kiki huyo chakula ya wapenda ngono!!!

Sawa mama msalimie Grace Mugabe maana yeye hapendi ngono na ndio maana hapendwi na mkulu
 
Kipindi cha kampeni 2015 alisema hivi, " nikihamia chama kingine tofauti na CCM hata kaburi la baba yangu litatitia" haaminiki huyu nashangaa chadema kwanini walimpokea
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom