Wamejifungia, maana hamna hata mtu anayemtetea bibi wa watu mpaka nataka nijitolee kwa mkopo kumtetea ila nikifikiria kifurushi cha matusi nitakachoporomoshewa bora tu nifunge zip mdomo.Madame karibu castle milk stout.
Haha wamekimbiiiiaaa...ukicheki page ya 1 mpk sijui 4...wanaroopoookaa....kujifanya wanamjua sana..kumbeeee....wema wema...wema myaaass
Unafikiri wahenga wajinga??walisema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu....hujawahi jiuliza kwann hawakusema asiyefunzwa na babaye??
Basi ujue mama ana role kubwa katika malezi ya mtoto na hasa binti kama wema.Kwa aina ya mama Wema yale tunayoyaona ndo aliyofundishwa na mama yake.
Acha society imshape....na ulimwengu wenyewe ni Kajala.Atulize mshono sindano iingie.Nimeudhika sana mzazi wa mtu kutukanwa...kwa kosa la mtoto.
Mama Wema acha atukanwe maana busara hana.
Hiyo nayo shepu box....makalio yana pembe nna badala ya kua round....viguuu km kachomekwa aishhhhhhh
Haswaaaa
Na biblia inasema ' mwana mpumbavu ni mzigo wa ***** na mwerevu ni wa babae'
Nnya ya wema mwenzenu hata siielewagi.M.a.t.a.k.o marefuuuu yameanzia kiunoni mpaka nyuma ya magoti.Kwani hiyo nayo ni shepu?
Kweli nimeamini asilimia kubwa ya watanzania hawana la kufanya! Kazi kukalia umbea na majungu mtadhani ni shibe au ndio utajiri!!!! Kwa taarifa yenu mama Wema shule ameenda.....kama ulikuwa hujui. Pili kwa walichomfanyia ana haki ya kutoa dukuduku lake lote kwa hao wabaya wake!!! Kwani mlitaka baada ya kuchorwa vile akae ndani na kuumia kimya kimya kwa kuwa anaogopa au.....au akimbilie kamba kujinyonga kwa kumdhalilisha!? Sasa pale ndio pazuri amepata pa kuelezea dukuduku lililo moyoni, na kwa walio husika kumchafua hajakosea......KONYO KONYO ZAO WOTE!!!!!!
Hahah....wape salam na wenzako...kama mnampenda sana muanzishe saccos ya wema...muwe mnamchangia kila mwisho wa mwezi hela za kula bata maana ck kuwa na kajala kunampa pressure bado..atulie na huyo domo wake.sio kumsupport kwa kutukana wengine...wenzako wapo wanasoma kimya kimya ila wameelewa tu..mumuache kajala miaka 1000 heheheheheheiiiiiya...
Kwa hili sitoshangaa maana katukanwa....!!
ICU hhhhaaaaa,kajala nomaa sanaaa
Mbona hajatukana? Angekuwa mama yangu angeyatoa mazito zaidi ya hayo....uchungu wa mwana aujuae mzazi...hujui alipata shida gani kumny.a...
Wamezidi kumsemea mwanae kama yeye ndo mkosefu sana au wa kwanza kufanya haya anayoyafanya hapa duniani. Mbaya zaidi wanamtukana mpaka na yeye mzazi...
Anayoyafanya Wema yanafanywa sana na ndugu zetu, dada zetu na hata mama zetu...hivi na halali kweli tuone wanadhalilishwa kwa makosa na mapungufu yao, ni halali na sisi tuingizwe?
U dont know how it hurts...tuliaaaa
Halafu waswahili wanasema hata kama kibaya, ndo chako....