Wema Sepetu: Tafuta wataalamu wa jadi haraka iwezekanavyo.

Alisha uharibu usichana wake,alishaharibu status yake,Alisha haribu moyo wake, alishaharibu akili yake,Alisha haribu mwili wake,Alisha haribu mfumo wote wa maisha yake

Hana wa kumlaumu zaidi ya mama yake na yeye mwenyewe pekeee.leo angekuwa na maisha mazuri Sana lakin anahangaika kama vile hakuwa miss tz na jina kubwa mjini.

Kudanga Sana hakukufanyi kuwa na pesa nying Bali huondoa thamani ya tunu aliokupa Mungu.hili Ni funzo kwa wadada wengne wanajifanya wao Ni icon sehemu Fulani.
 
Wanafalsafa wananena. "Ole wake mtu yule amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake, mbinguni amelaaniwa"
Ni makosa kifalsafa kwenda kwa binadamu kumuomba akuombee kwa Mungu.
Ni wajibu wetu wenyewe kuzungumuza na Mungu wetu baada ya kuungama dhambi zetu.
Unaweza kushiriki na mwenzako katika maombi kwa Mungu na si wewe kujifanya ni katibu muhutasi wa Mungu ambaye hurusu watu kumwona au kutomwona, kuingia au kutokuingia ndani .
Watu wengi wamegeuza Dini kama biashara kwa kujifanya wanawaombea watu.
Watu wengi wanamtumia shetani kuwaangamiza watu wasio na Imani kwa Mungu.
Mtu aliyekubalika kwa Mungu halogeki kwa sababu shetani anamwogopa Mungu.
 
Hakuna chenye mwanzo halafu kikakosa mwisho.! Ni kweli unatoa msaada [Mawazo], lakini mawazo yako ni ya kipuuzi.

Hata hivo kila jambo lina nyakati. Na kama huu sio wakati wake aangalie ishu zingine za kufanya kuliko kukaa na kutaka kuwafurahisha binaadamu.
 
Kichwa cha Habari ulivyokiweka ni kama vile Wema ndo kasema hayo maneno
 
And you call yourself a man?

Check yourself man.

Samwea Samsing is not ok.
 
Onyo ugawaji wa papuchi hovyo hovyo ni hatari kwa afya yako!!!
 
Nafharia hizi
 
Kwa hiyo hata kwenda hospitali napo dhambi? Kwa hiyo kuwategemea maaskari na wanajeshi kama walinzi wetu ni dhambi?
 
Lulu na mama yako mje msome hapa nikimaanisha Elizabeth Michael maana mama yako kakusukumia mahali ambapo hata ule mvuto wako haupo tena na amebaki kuzaa na wanawake tofauti tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…