Wema Sepetu: Tafuta wataalamu wa jadi haraka iwezekanavyo.

Wema Sepetu: Tafuta wataalamu wa jadi haraka iwezekanavyo.

Alisha uharibu usichana wake,alishaharibu status yake,Alisha haribu moyo wake, alishaharibu akili yake,Alisha haribu mwili wake,Alisha haribu mfumo wote wa maisha yake

Hana wa kumlaumu zaidi ya mama yake na yeye mwenyewe pekeee.leo angekuwa na maisha mazuri Sana lakin anahangaika kama vile hakuwa miss tz na jina kubwa mjini.

Kudanga Sana hakukufanyi kuwa na pesa nying Bali huondoa thamani ya tunu aliokupa Mungu.hili Ni funzo kwa wadada wengne wanajifanya wao Ni icon sehemu Fulani.
 
Wanafalsafa wananena. "Ole wake mtu yule amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake, mbinguni amelaaniwa"
Ni makosa kifalsafa kwenda kwa binadamu kumuomba akuombee kwa Mungu.
Ni wajibu wetu wenyewe kuzungumuza na Mungu wetu baada ya kuungama dhambi zetu.
Unaweza kushiriki na mwenzako katika maombi kwa Mungu na si wewe kujifanya ni katibu muhutasi wa Mungu ambaye hurusu watu kumwona au kutomwona, kuingia au kutokuingia ndani .
Watu wengi wamegeuza Dini kama biashara kwa kujifanya wanawaombea watu.
Watu wengi wanamtumia shetani kuwaangamiza watu wasio na Imani kwa Mungu.
Mtu aliyekubalika kwa Mungu halogeki kwa sababu shetani anamwogopa Mungu.
 
Hakuna chenye mwanzo halafu kikakosa mwisho.! Ni kweli unatoa msaada [Mawazo], lakini mawazo yako ni ya kipuuzi.

Hata hivo kila jambo lina nyakati. Na kama huu sio wakati wake aangalie ishu zingine za kufanya kuliko kukaa na kutaka kuwafurahisha binaadamu.
 
Miongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza.

Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi wamsafishie nyota yake maana anazidi kufuja kila kukicha .


Wema kwa muda mrefu amekuwa mtu mwenye mikosi kila atakalolifanya lazima liharibike, mfano kampuni yake ya endless fame imekufa kifo cha mende, vipodozi vyake,app yake na mambo mengi mno yamemdodea .


Tukiachilia mbali suala la biashara, Wema amejaa mikosi mpaka mwilini mwake kuna uwezekano mkubwa hata suala la kizazi amefungwa kimazingara japo yeye anahisi na kukiri tabia yake ya kutoa mimba usichanani mwake ndio chanzo lakini hapana atazame kwa wataalamu huenda kuna jambo limejificha nyuma ya pazia.

Tukija upande wa muonekano Wema amekongoroka mno mpaka inakuwa vigumu kupewa baadhi ya dili kutokana na mwili wake kutokuwa na mvuto tena maana amekuwa kimbau mbau ambaye haeleweki nyuma wapi mbele wapi ukija kwenye sura ndio kabisa uzee unamkaribia.

Kwa hiyo ushauri wa bure aende kwa wataalamu wamchekie nyota yake au kama anaona aibu awaite hata masheikh wamfanyie kisomo angalau cha siku saba mfululizo au siku tatu kikiambatana na swadaka kwa watoto yatima na maskini huenda mambo yake yatakaa sawa kwa idhini ya Allah.
Kichwa cha Habari ulivyokiweka ni kama vile Wema ndo kasema hayo maneno
 
And you call yourself a man?

Check yourself man.

Samwea Samsing is not ok.
 
Onyo ugawaji wa papuchi hovyo hovyo ni hatari kwa afya yako!!!
 
Wanafalsafa wananena. "Ole wake mtu yule amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake, mbinguni amelaaniwa"
Ni makosa kifalsafa kwenda kwa binadamu kumuomba akuombee kwa Mungu.
Ni wajibu wetu wenyewe kuzungumuza na Mungu wetu baada ya kuungama dhambi zetu.
Unaweza kushiriki na mwenzako katika maombi kwa Mungu na si wewe kujifanya ni katibu muhutasi wa Mungu ambaye hurusu watu kumwona au kutomwona, kuingia au kutokuingia ndani .
Watu wengi wamegeuza Dini kama biashara kwa kujifanya wanawaombea watu.
Watu wengi wanamtumia shetani kuwaangamiza watu wasio na Imani kwa Mungu.
Mtu aliyekubalika kwa Mungu halogeki kwa sababu shetani anamwogopa Mungu.
Nafharia hizi
 
Hizi bangi acha mkuu
67177421_379342022779728_3373760449057219325_n.jpg

Kwani huyo Paw ndio shemeji yetu kwa bibie Sepenga?
 
Wanafalsafa wananena. "Ole wake mtu yule amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake, mbinguni amelaaniwa"
Ni makosa kifalsafa kwenda kwa binadamu kumuomba akuombee kwa Mungu.
Ni wajibu wetu wenyewe kuzungumuza na Mungu wetu baada ya kuungama dhambi zetu.
Unaweza kushiriki na mwenzako katika maombi kwa Mungu na si wewe kujifanya ni katibu muhutasi wa Mungu ambaye hurusu watu kumwona au kutomwona, kuingia au kutokuingia ndani .
Watu wengi wamegeuza Dini kama biashara kwa kujifanya wanawaombea watu.
Watu wengi wanamtumia shetani kuwaangamiza watu wasio na Imani kwa Mungu.
Mtu aliyekubalika kwa Mungu halogeki kwa sababu shetani anamwogopa Mungu.
Kwa hiyo hata kwenda hospitali napo dhambi? Kwa hiyo kuwategemea maaskari na wanajeshi kama walinzi wetu ni dhambi?
 
Lulu na mama yako mje msome hapa nikimaanisha Elizabeth Michael maana mama yako kakusukumia mahali ambapo hata ule mvuto wako haupo tena na amebaki kuzaa na wanawake tofauti tofauti
 
Back
Top Bottom