Wema Sepetu, The queen of East

Wema Sepetu, The queen of East

Lol oneni mtu huku anavyojitahidi kuwaelewesha wanawake kuhusu wanaume kuchepuka utafikiri ameambiwa sisi hatujui na ni wageni kwenye haya mambo aise tunajua hayo yote na bado hatujaona sababu ya wanaume kuchepuka yaani hata ujitetee vipi bado hakuna sababu ya kuhalalisha umalaya hiyo ni dhambi tena kubwa mno mkubali mkatae
Dada hapa nimezungumzia reality maswala Kama hayo sio kwamba me binafsi napenda ila napenda Sana attitude ulionayo na michango yako mingi unayotoa humu jamiiforum inaonesha masuala Kama yanakugusa sana
 
Sasa kama ni reality mbona duniani wapo hadi wanawake wanaosaliti waume zao na wapo wanawake wanaoolewa na waume zaidi ya mmoja kwahiyo hilo ni sawa?
Dada hapa nimezungumzia reality maswala Kama hayo sio kwamba me binafsi napenda ila napenda Sana attitude ulionayo na michango yako mingi unayotoa humu jamiiforum inaonesha masuala Kama yanakugusa sana
 
H
Sasa kama ni reality mbona duniani wapo hadi wanawake wanaosaliti waume zao na wapo wanawake wanaoolewa na waume zaidi ya mmoja kwahiyo hilo ni sawa?
Me binafsi sipendi hayo Mambo lakini nimezungumzia hali halisi ilivyo kwa Sasa especially kwa waanaume wengi nimemjibu numbisa baada ya kumwita mwanaume kitombile Nika mwambia ilo neno aliwezi kumkera mwanaume cos hiyo ndio sifa kuu wanaume wengi wanayoiona kwake yeye hiyo ni sifa lakini sikumaanisha huo ni mtazamo wangu me au me napenda Bali hali halisi wanaoichukulia waanaume wengi.
 
Haya
H

Me binafsi sipendi hayo Mambo lakini nimezungumzia hali halisi ilivyo kwa Sasa especially kwa waanaume wengi nimemjibu numbisa baada ya kumwita mwanaume kitombile Nika mwambia ilo neno aliwezi kumkera mwanaume cos hiyo ndio sifa kuu wanaume wengi wanayoiona kwake yeye hiyo ni sifa lakini sikumaanisha huo ni mtazamo wangu me au me napenda Bali hali halisi wanaoichukulia waanaume wengi.
 
Sasa kama ni reality mbona duniani wapo hadi wanawake wanaosaliti waume zao na wapo wanawake wanaoolewa na waume zaidi ya mmoja kwahiyo hilo ni sawa?
Huyo jamaa ni tabia tu wengne tuna kinyaa kutombatomba ovyo wanawake
 
Lol oneni mtu huku anavyojitahidi kuwaelewesha wanawake kuhusu wanaume kuchepuka utafikiri ameambiwa sisi hatujui na ni wageni kwenye haya mambo aise tunajua hayo yote na bado hatujaona sababu ya wanaume kuchepuka yaani hata ujitetee vipi bado hakuna sababu ya kuhalalisha umalaya hiyo ni dhambi tena kubwa mno mkubali mkatae
Daah kama Kweli avatar yako ndo wewe, basi wewe binti ni mzuri wa sura japo umbo silijui, na Kwa comment yako hii naongezea hata kichwani upo vizur, natumia nafas hii pia kusema aliyekuoa namuonea wivu....samahan lakn kama nimekukwaza mama
 
Back
Top Bottom