Kanuni za dini Wema hajawahi kuzifata hata siku moja, kakiri kutoa mimba ya Kanumba na mambo mengine kibao ya hovyo
Alafu hakuna anayemshauri azae bila kuolewa atafute mume aolewe na yeye azae mtoto wake ambaye ni "mzuri"... Tupunguze hizi kelele kwenye social networks
Mi kajamba nani huku nani ananijua,yeye ze celebriti ndo tunamuweka kikaangoni hapa,WE UTAOLEWA NA NANI? Hili ndo lakutafakari na kumuomba Mungu. YA WEMA MUACHIE WEMA NA MUNGU WAKE.
Kwani kuna mahali nimeongelea menopause? Mi kwa hesabu za kawaida tu ni kwamba kama mtu alikuwa na mayai mia tano at the age of 12-13. Na kila mwezi anapunguza yai moja moja, so unategemea by the age of 27 bado atakuwa nayo hayo mia tano? Si yatakuwa yamepungua? That is my logic kuwa mayai yanapugnua as the age goes na mtu anapofikia menopause mtaji wa mayai ndio unakuwa umekata kabisaaa. Kuhusu shule hapo acha tu... Nina degree nyingi kiasi naweza kuwagaia watu waliopanda mshikaki kwenye boda boda na bado nikabakiwa nayo moja...sHULE NDOGO SANAAA, Kaongeze shule ujifunze menopause na inatokea mtu akiwa na umri gani. Ndo maana nikasema wanaomwambia Wema azae hamna kitu kichwani
HAHAHAAAAA! WEWE VYA ZARI VINAKUHUSU NINI PIA? Kwa hio maisha yako wewe unataka kutuaminisha hapa sio ya ajabu ajabu? HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAA! Beach pleaseeeeeeeeeee!
Kuwa BIBI NAYO BARAKA MJUE, WATU KIBAO WAMETAMANII NA KUMUOMBA MUNGU WAIFIKIE HII 40 SOMETHING YETU NA ZARI HAWAKUJAALIWA. Afu nyie mnakufuru hapa?
UZEE NI BARAKA TOKA KWA MUNGU.
Chibu hana MRS, hajaoa wala kulipa mahari. ANA WAZAA HOVYOO TU, A.K.A Baby Mama kizungu.
Bora umesema wew, ningeongea mm ningeambiwa namchukia kumbe walaaaaKweli ndio maana wanasema mwalimu wa wanawake ni kipofu...imagine huyu anamshawishi mwenzake asizae ili aendelee kufanya umalaya...
Si umshauri atafute mume aolewe azae (kama una uwezo lakini)
Mi kajamba nani huku nani ananijua,yeye ze celebriti ndo tunamuweka kikaangoni hapa,
Idriss?haha sijuii
Hakuna cha uswahilin wala ushuan ila ukwel usemwe!a
Afu nyie ndo wale wale TEAM KUZAA HOVYO. Atamani mtoto wa nini? MUWAHURUMIA HAO WATOTO MNAOZAA BILA MPANGO WANAKUJA KULELEWA NA BABA WAKAMBO. Dadake kaka D ashazaa 2 kila mtu babake na kila mtu mtu hamtaki? IS THIS THE LIFE YOU WANT FOR MY WEMA? Aaaahh aya maisha mnayaweza wenyewe wa uswahilini. Mnaona sifa kumbe ujinga na kuharibia watoto future.
ZARA AZAE TU HATA MIMI NAUNGA MKONO, ASHAOLEWA ASHAACHIKA, ASHACHEZA MUVI LA X NA KIDUBWAANAAA, ASHAZAA 4, SO HATA AKIZAA 10 ZAIDI HAITONISTUA KABISAAAAAAA. NAUNGA MKONO HOJA ZARIII AZAEGE TU, MPAKA MAYAI YAISHE.
Haahahaha asanteeeeeeeeeeOna unavyozidi kuchemka,
Unayemtetea anataka DNA ya ex inamuhusu nini, si akaombe za watoto wa babu aliyomlewesha kwa kumdanganya apewe za wanae.
anaumia kajaa wivu hata muandike nini, Chibu ni Mume wa Zari. Kashamdaka ni wake wanalea sasa. Ni mwendo wa wengi nyie kuongezewa ndimu tu hadi mpasuke vichwa.
Hakuna lingine zaidi ya wivu sababu yao yanaendelea na bado...kaangalie kideo cha Nasema Nawe... kile cha baba Tiifah na Utanipenda uburudike usikilize Baba Tiffah kajiitaje kwa Mama Tee ...umemuonaje na Wolper katoka bombaaaa ati?
Usisahau kutayarisha kiwalo cha ZAWP 2016.
Eti kama ana mimba akaitoe fasta,ushauri kuntu huu??pleasekuolewa ni stara ya mwanamke yeyote iwe kajamba nani? au kanya nani?. Maadamu HUJAOLEWA WEWE BINAFSI BASI USIJITIE MJUAJI WA MAISHA YA MWENZIO WAKATI YAKO YAMEKUSHINDAAA. Toa kwanza Boriti kwenye jicho lako ndo utoe Kibanzi kwenye jicho la wema.
Hapa hakuna kikaangia wala chapati, mimi dada yake nimempa ushauri kuntuuu that is it.
HahhaNaona Zari anawafanya mpaka mnaota mchana kweupe mpendwa. Endelea kuota
Hakuna cha uswahilin wala ushuan ila ukwel usemwe!
So unamshaur aendelee kufanya umalaya tu while mda unaenda? Why usimshaur atulie now apate mtu aolewe azae? Hamna tofaut ha poo, yote yale yale tu
Hahahahha unawachokozaa na ukweliii eee, ngoja wafike hapaaaAfu Zari sio Bibi,alizaa mapema na anamaintain,ukweli tusemage tu jmn Wema kwa Zari haoni ndaniii,Si kwa uzuri,watoto,pesa,exposure nk nk...
Wema fans kama nawaona vle mtakavotoka povu hapa
HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! Alizaa mapemaaa! Mapema hio vepeeeeeeeeeeeee! Na miaka 10 au? Zariiii wa maana kwako maana WEWE BINAFSI HUNA EXPOSURE WALA IQ YA KUPEMBUA MAMBO. Kwa watu wazima kama sisi, zaidi ya kushinda MADALE OF ALL PLACES IN TZ, anapika, na kumfulia chibu, labda exposure anayopata ya wifi yake yule mzaa ovyoo mwingine, HANA LOLOTE IN TZ. Embu tell me any industry Z anayo make impact in Tz? lABDA instagram ya mahausgelo na waswahili wasioenda shule, au shule ndogo. Na kumtegemea EX husband ampe visenti vya kuvaa basi.Afu Zari sio Bibi,alizaa mapema na anamaintain,ukweli tusemage tu jmn Wema kwa Zari haoni ndaniii,Si kwa uzuri,watoto,pesa,exposure nk nk...
Wema fans kama nawaona vle mtakavotoka povu hapa
Bahati ya MWENZIO usilalie mlango waziMuda gani unaoendaa? NDO MAANA NIKAKWAMBIA NYIE WASWAHILI? Obama raisi ana watoto 2 tu, tena mkewe aliwazaa kwenye 30s huko! Kim K kazaa 30s, Beyonce 30s, Rihana mwenyewe atzaa 30s.
Mtu kumpata sio swala la umri? Ni swala la bahati na rehema za Mungu. Kama Mungu hajapanga ampate kwenye umri mnaotaka nyie ndo hajapangaaa. Mda ukifika atapata kama Kim alivompata Kanye baada ya kushindwana na Chriss Humphris na wengine.