samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
Kwa hiyo wewe lara unamshauri azae lini? Menopause ni 45yrs and how about life expectancy ya mtz?Wema is 27, sasa ujinga gani? Ujinga ndo mnamlisha huyo bibi wa 44 aendelee kukibemenda kitoto cha 26. HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! Mama D I PITY YOU. Yaani mimi ningekuwa ni wewe, Radhia, NINGELILOGELEA MBALI BIBI LENZANGU LILE. Hivi Mama D lile bibi si umelipita 4 yrst tu, si kama dogo lako lile. Hahahahahaaaaa!
Wema is 27, sasa ujinga gani? Ujinga ndo mnamlisha huyo bibi wa 44 aendelee kukibemenda kitoto cha 26. HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! Mama D I PITY YOU. Yaani mimi ningekuwa ni wewe, Radhia, NINGELILOGELEA MBALI BIBI LENZANGU LILE. Hivi Mama D lile bibi si umelipita 4 yrst tu, si kama dogo lako lile. Hahahahahaaaaa!
Wema ana make impact kwny industry ipi kwa mfano,movie??pls zipii hizo,HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! Alizaa mapemaaa! Mapema hio vepeeeeeeeeeeeee! Na miaka 10 au? Zariiii wa maana kwako maana WEWE BINAFSI HUNA EXPOSURE WALA IQ YA KUPEMBUA MAMBO. Kwa watu wazima kama sisi, zaidi ya kushinda MADALE OF ALL PLACES IN TZ, anapika, na kumfulia chibu, labda exposure anayopata ya wifi yake yule mzaa ovyoo mwingine, HANA LOLOTE IN TZ. Embu tell me any industry Z anayo make impact in Tz? lABDA instagram ya mahausgelo na waswahili wasioenda shule, au shule ndogo. Na kumtegemea EX husband ampe visenti vya kuvaa basi.
Sikulaumu, upeo wako unaruhusu kumuona Z wa maana.
Hongera miss michirizi unampunguza miaka mrembo zali aliyebalikiwa uzazi, asiyelea mbwa, asiyeiba umeme wa TANESCO, asiyeazima magari, asiye na urafiki na mashoga wote wa mujini, unamuongeza miaka.
Hivi wakina Lulu tuwaitaje kama miss mahipsi mporomoko naye ukimwita binti ?
pole kwa kazi Madam... Hiyo movie ya X inaitwaje??a
Afu nyie ndo wale wale TEAM KUZAA HOVYO. Atamani mtoto wa nini? MUWAHURUMIA HAO WATOTO MNAOZAA BILA MPANGO WANAKUJA KULELEWA NA BABA WAKAMBO. Dadake kaka D ashazaa 2 kila mtu babake na kila mtu mtu hamtaki? IS THIS THE LIFE YOU WANT FOR MY WEMA? Aaaahh aya maisha mnayaweza wenyewe wa uswahilini. Mnaona sifa kumbe ujinga na kuharibia watoto future.
ZARA AZAE TU HATA MIMI NAUNGA MKONO, ASHAOLEWA ASHAACHIKA, ASHACHEZA MUVI LA X NA KIDUBWAANAAA, ASHAZAA 4, SO HATA AKIZAA 10 ZAIDI HAITONISTUA KABISAAAAAAA. NAUNGA MKONO HOJA ZARIII AZAEGE TU, MPAKA MAYAI YAISHE.
Ee
Wema ana make impact kwny industry ipi kwa mfano,movie??pls zipii hizo,
Mana nachoona mjini hapa anauza.... tu
Walau zari ana biashara ya chuo South Africa na mumewe na maduka,
Ntajie source of income ya wema tafadhali
Ee
Wema ana make impact kwny industry ipi kwa mfano,movie??pls zipii hizo,
Mana nachoona mjini hapa anauza.... tu
Walau zari ana biashara ya chuo South Africa na mumewe na maduka,
Ntajie source of income ya wema tafadhali
Tuacheni kumperemba sana huyu wema,truth is she is a disgrace, yani sio binti mfano wa kuigwa kabisa,wema anamfundisha nini binti wa kawaida wa kitanzania??,ajirekebishe tabia atulie,who knows angekua level za kna faraja na klyn kama angebaki natural akatulia,
Atlst kwa mamiss km kna klyn, faraja tunajifunza kutulizana n being classy women
Mfollow mtu anaitwa @ zari_stayaway_from _wema instagram utaona Clip, si kwa papa lile umalize MB zako bureee! HAHAHAAAAAAAA! Afu ni Solo hio, bibi Z na kidubwana. Hahahaaaaaaaa! Afu watu wabaya wana watag wale wanae kila waki upload. Hahahahaaaaa! Nacheka kwa masikitiko.pole kwa kazi Madam... Hiyo movie ya X inaitwaje??
Hehehe utadhani wema anakulipa kwa huu upromota hapa,..zari mwnyw humjui uko unamtaja taja tu hapaE
Hahahahahahaaa! Sishangai kuniulizaaa, ngoja nikujibu.
Wema ana make impact kwenye ENTERTAINMENT INDUSTRY, Ana sponsorship nono ya AIRTEL kwenye IN MY SHOES SHOW. Na ni moja ya waanzilishia wa REALITY SHOW sector katika TELEVISION SECTOR TZ. Na she is only next to Salama Jabir and Madam Rita kwa kuwa mmiliki mwenye tv program inayobamba interms of viewers, reviews, na impact.
Najua nimekufungua machooo. Lazima uone ana uza coz mwenyewe YOU DONT HAVE A CLUE ABT YOUR OWN LIFE ITAKUWA LIFE YA WEMA?
z hiko chuo chao kinaitwaje TUKI GOOGLE HAP HAPA. Mumewe business yake inajulikana anayopiga vita Mange.
Kwa hiyo wewe lara unamshauri azae lini? Menopause ni 45yrs and how about life expectancy ya mtz?
Acha azae bwana 27 sio mtoto huyo
NB: Mi sina team so don't judge me wrong simkubali huyo wema wala zari
Hahaha tatzo unaniingiza mimi in the picture wakati discussion hapa ni wema na zari.... Utapita kona nyingi sanaa ila wema is a disgrace, tuige na kujifunza nini, mikorogo?uhuni??pleaseeeeTHAT IS YOUR OWN TRUTH, Uache kujiperema mwenyewe hilo ndo la msingi na mboleaaa. Unavomuita mwenzio a disgrace WHAT ARE YOU? Hahahahaaaaaaaaa! Beach pleaseeeeeeeeee!
THE BIGGEST LIES ARE THE ONES WE TELL OURSELVES.
Naona kutoa mimba basi fahari ya ushuaniKwa nyie wswazi 20 tu sio mtoto, na kuzaa ovyo ndo fahari yenu so kusema haya sikushangai. ILA WEMA MTOTO WA BALOZI BWANA, USHUANI UNAZAA ONLY WHEN YOU ARE MARRIED, AND READY NA UNA MAISHA YA KUMPA HUYO MTOTO.
Hahaha tatzo unaniingiza mimi in the picture wakati discussion hapa ni wema na zari.... Utapita kona nyingi sanaa ila wema is a disgrace, tuige na kujifunza nini, mikorogo?uhuni??pleaseeee
Na ana usongo kwel na mtoto akiwa single mother ndo anapoteaa kabisaaa,ndege mjanja hunasa tundu bovu kumbuka