Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Kutotulia kupi? Kwanini akae kwenye ABUSING RELATIONSHIP? Mfano D alikuwa maluuni mbwa, always cheating! Mara Jojo, Penny, Menina, Irene, et al,ya nini kungangania mtu wa hivo? Ndo maana nikasema nyie ni wadada wa uswazi HAMJITAMBUI hata mwanaume akunyanyase vipi upo tuuu. Mwenzenu mtoto wa BALOZI ana exposure, hana sababu ya kunyanyasika kwa mwanaume yeyote yule. Mwanaume akizingua TUPA KULEEEEEEEEEE!
Ataolewa hap hapa BONGOOOOOOO, nishawaambia MUNGU TU MPAJI NYIE BINADAMU ZEU KELELE TU WAKATI UHAKIKA WA KUJA KUANDIKA HAPA KESHO HAMNA.
Seriously abusing relationship? Apart from D hajadate na wengine? Huyo aliyetaka kumuoa juzi je? Nayo ilikua abusive? Had akajiombesha msamaha kwenye social media....
Tabia ni tabia tuuuuu
 
HAHAHAAAAAAAAAA! You want to bring her to your level and beat her with experience. Mnataka nae azae hovyooo, ili mfurahie awe sawa na nyie? HAZAI MTU PALE.

Boss lady ni faraja ya ma BABY MAMA na divorced ladies, hio liko wazi, coz anawa inspire mtapata vitoto vya kubemenda kama D. HAHAHAAAAAAAAAAA!

Hata jikorogue vipi bado kigori bado HAJAZAAAAAAAAA huwezi mfananisha na mzazi.
Hajazaa coz kajitangaza wazi kaabort,sio sifa Ile, angekaaga kimya tu,AZAE japo mmoja tuone mkongoroko wake...vigori wakiitwa huoni hata zari anaqualify kwenda
Hahahhahaha sipatii picha ndimuu utakayomeza uje kujibu hapa hahahaha
 
Kutotulia kupi? Kwanini akae kwenye ABUSING RELATIONSHIP? Mfano D alikuwa maluuni mbwa, always cheating! Mara Jojo, Penny, Menina, Irene, et al,ya nini kungangania mtu wa hivo? Ndo maana nikasema nyie ni wadada wa uswazi HAMJITAMBUI hata mwanaume akunyanyase vipi upo tuuu. Mwenzenu mtoto wa BALOZI ana exposure, hana sababu ya kunyanyasika kwa mwanaume yeyote yule. Mwanaume akizingua TUPA KULEEEEEEEEEE!
Ataolewa hap hapa BONGOOOOOOO, nishawaambia MUNGU TU MPAJI NYIE BINADAMU ZEU KELELE TU WAKATI UHAKIKA WA KUJA KUANDIKA HAPA KESHO HAMNA.
Wa kuoa Idriss yule au??
 
Mi kajamba nani huku nani ananijua,yeye ze celebriti ndo tunamuweka kikaangoni hapa,
Idriss?haha sijuii
Idris akimuoa wema akienda Arusha atazomewa na atafuta urafiki na washkaji zake wote wa chugga
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Leo imenibidi tu nisemeee. Huko Insta watu wana kazi ya kumshawishi Wema zaa, zaa,mara mgumba, yaani inasikitisha. Wema azae kwa mpango upi labda? Kaolewa useme anajaza choo cha watu bure?

Yule bibi ashazaa watoto wa 3, so ata kizaa 10 wengine haina tofauti ndo maisha aliozoea? Kuzaa zaa ovyo kama kuku. Sasa anataka kumponza huyu Wema ambae kwa umri wa yule bibi ni sawa na mwanae, angechelewa kidogo angemzaa, ili awe kama yeye mtu wa kuzaa ovyo ovyo mpaka na watu wa rika la mwanae. Uzaa mpaka na watoto ama kweli wewe kiboko ya uzazi. Khhaaaaaaaaaaa.

Sasa Wema huyu bibi all she wants is to drag you to her level and beat you with experience. Manake ashaa 4 tayari, ashazaa na mtoto mdogo kwake, ashazaa na 2 in 1, yaani kwa experience ya uzazi tu hana mpinzani. Sio kiboko yao tu, ni Mamba yetu kwenye kuzaa ovyo.

Ukizaa tu UMEKWISHAAAAAAAAAAA! You will no longer be THE WEMA SEPETU rather Wema THE SINGLE MOM! Hahahaaaaa! Kweli mi nakwambia. Sasa tukufatilie nini tena wakati ushaishiwa maarifa, umezalishwa home na kuachwa, umedodaaaa. Kitendo cha kuingia labor, Baaaaaaaaaaaaaaaaassss, sehemu ishapitisha kichwa cha mtoto, nani atakuwa na mda wa kuifatilia?

Sahivi wanavokuandama mgumbaa mgumbaa, wale wale wataanza kazalia nyumbaniiii, kazalishwa hovyooo, sijui nini, unafikiri basi watanyamazaaa, usiwe bwegeee.

We just imagine Irene asingekuwa na mtoto, sahivi angekuwa mbali sanaaaa, Huyo shoga ako alozaa juzi NANI ANA MDA SAHIVI? Hamna hata mwenye mdaaaaaa.

Ligi ya wazazi ni ngumu sanaaaa, muachie Mange Kimambi ndo ameweza ku stay RELEVANT after 3 kids, na sio kwa style yako, ya mashauzi yanataka pesa, sahivi Mange amekuwa politician, sijui activist ndo maana amebaki relevant. Ila wengi sanaaa, uzazi unawapotezaa.

Uzazi usikie tu njiani. Mwenzi Bibi kizee anakutia ndimu uzae ili apate amani na Kaka D. Manake as long as hujazaa anapata shaka leo kesho ukizaa na D ukawa mke mwenzie atajimuder. Sasa kumkomoa huzai wala nini. Mfano mwingine Dada yake D alivotapeliwa na Meneja wetu! Hahahahaaaaaa! Jmani huku kuzaa uwe na roho ngumu.

USIZAE, MPAKA UOLEWE, UWE NA FAMILIA YA KUELEWEKA.
kubwa la Maadui (Lara1)kumbe upo team Wema! unasaidiana na akina dougie master20.hapo hachomoki mtu! kichambo kwa kwenda mbele kwa Bibi Bomba na ushindi ni wako..
 
kubwa la Maadui (Lara1)kumbe upo team Wema! unasaidiana na akina dougie master20.hapo hachomoki mtu! kichambo kwa kwenda mbele kwa Bibi Bomba na ushindi ni wako..

Hahahahaaaaaaaaaa! Mimi wala sipo TEAM YOYOTE. SEMA UPOTOSHAJI WA KUMSHAWISHI MTU WA 20S YUPO KWAO AZAE NDO SIKUBALIANI NAO. ISITSHWE UNAFANYWA NA MTU 40 SOMETHING HUKO, AMESHAACHIKA NA ANA WATOTO 4! KHAAAAAAAAA! WA TZ TUSIPENDE KUIGA VISIVO IGIKA
 
Idris akimuoa wema akienda Arusha atazomewa na atafuta urafiki na washkaji zake wote wa chugga

HHAHAAAAAAAAAA! Kwa hio wewe utaoa KUWAFURAHISHA WASHKAJI ZAKO? Makubwaaaaaaaa!
 
Jamii forum inaenda kuwa kimbilio la cremes wanaoshambulia watu kwa FAKE IDS
MODS MPO KARIBU 10 sjui. Kama hili mmeliona au mpaka mambo yaharibike au kwakua consumers wenu wana privilege ndomana mnayaachia haya.
Cc: Invisible Mhariri Moderator
 
Wa kuoa Idriss yule au??
Wa kuoa atajulikana akipatikana kama atavojulikana WA KUKUOA WEWE, NA WA KUNIOA MIMI! Usishupalie wa KUMUOA MWENZIO WAKATI WA KUKUOA WEWE RAMANI HUNA. Hahahahaaaaaaaaaa!
 
Afu Zari sio Bibi,alizaa mapema na anamaintain,ukweli tusemage tu jmn Wema kwa Zari haoni ndaniii,Si kwa uzuri,watoto,pesa,exposure nk nk...
Wema fans kama nawaona vle mtakavotoka povu hapa
Hahaha...waache watu wanaolinganisha kitambi na mimba. ZARI HATA AKIWA NA WATOTO 15, ni mzuri tuu.
 
Hahaha...waache watu wanaolinganisha kitambi na mimba. ZARI HATA AKIWA NA WATOTO 15, ni mzuri tuu.
ila ndo ana mitoto 4, ukweli utabakia hivo, k imepitisha vichwa 4, 3 halali, kimoja haramu
 
a


Afu nyie ndo wale wale TEAM KUZAA HOVYO. Atamani mtoto wa nini? MUWAHURUMIA HAO WATOTO MNAOZAA BILA MPANGO WANAKUJA KULELEWA NA BABA WAKAMBO. Dadake kaka D ashazaa 2 kila mtu babake na kila mtu mtu hamtaki? IS THIS THE LIFE YOU WANT FOR MY WEMA? Aaaahh aya maisha mnayaweza wenyewe wa uswahilini. Mnaona sifa kumbe ujinga na kuharibia watoto future.

ZARA AZAE TU HATA MIMI NAUNGA MKONO, ASHAOLEWA ASHAACHIKA, ASHACHEZA MUVI LA X NA KIDUBWAANAAA, ASHAZAA 4, SO HATA AKIZAA 10 ZAIDI HAITONISTUA KABISAAAAAAA. NAUNGA MKONO HOJA ZARIII AZAEGE TU, MPAKA MAYAI YAISHE.
Eti timu kuzaa hovyo, huyo wa mpango yuko wapi. Kwahiyo unamshauri ale ujana kwanza.
 
kubwa la Maadui (Lara1)kumbe upo team Wema! unasaidiana na akina dougie master20.hapo hachomoki mtu! kichambo kwa kwenda mbele kwa Bibi Bomba na ushindi ni wako..
Huyu ndio wema mwenyewe mbn uusomi mchezo mkuu?
 
Mabibi wanaposhauriana cha kufanya!!!Ana usichana huyo wema mpaka asizae?kama kuolewa haolewi sasa kwanini asizae?endeleni kudanganyana jua linawazama
 
Hajazaa coz kajitangaza wazi kaabort,sio sifa Ile, angekaaga kimya tu,AZAE japo mmoja tuone mkongoroko wake...vigori wakiitwa huoni hata zari anaqualify kwenda
Hahahhahaha sipatii picha ndimuu utakayomeza uje kujibu hapa hahahaha

HAJAZAAA COZ HAJAWA TAYARI KUZAA, NA HANA MAZINGIRA YOYOTE YA KUZAAA. ATAZAA AKIOLEWA NA KUWA NA FAMILIAAA. ZAA WEWE TUONE BASI,

Komaaa hamna KIGORI ANA MITOTO 4. Ndumu mimi ndo muuza, silambi hata siku moja
 
Mabibi wanaposhauriana cha kufanya!!!Ana usichana huyo wema mpaka asizae?kama kuolewa haolewi sasa kwanini asizae?endeleni kudanganyana jua linawazama
ZAA WEWE USIJALI MAADILI. Mwenzio kafundwaaa and she has CLASS. We zaa tu maana ukoo wenu umezoea.
 
Bora awe tasa hivo hivo mpaka ATAKAPO OLEWAAAA. Kuwa MZAA OVYO yataka moyo
Ina saidia nini akiolewa ilihali sasa hivi anaifanya, hata haya unayoposti hapa ni matokeo ya ngono zake. Kama ni dhambi anazo tayari na anaendelea nazo.
 
SI WATU WA MUNGU BWANAAA, Tunakemea tabia ya UBEMENDAJIIIIIIII VITOTO! Eee Mungu niepushie kizazi changu kima cha BIBI hili, yasije kumkumba mwanagu. Mungu wewe ndo muweza ya yote, waepushe wanangu kabisaa na mibibi iliochikaaa, imezeeka na kubemenda watoto wa wenzao.
Ujue hata Idris kwa sasa anabemendwa, Diamond pia alibemendwa vile vile...... Wabemendwe maana hakuna namna
 
Back
Top Bottom