Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaya tu huyo. Mwanamke gani anaebadili wanaume kama nguo kama si malaya.
sio maarufu hata kidogo zaidi ya njaa!, UKIMSHUSHA Lyamba Lya Mfipa Hakuna mtu anaemjua WEMA.
Uliza jamaa anaitwa njaa, kila mtu anamjua!
Hivi hilo neno lina maana gani?. Naomba mwenye kufahamu maana yake anifahamishe~samahani wandungu sie wengine wavuvi tu humu!.
Wazazi wa Wema sepetu wanajutia kumruhusu kuingia kwnye miss tz kila siku kama asingeenda huko angekuwa mbali sana huyo binti asingekwenda mbagaraaaa
Demu bomba saaana tuu ila tabia ndo zinamuangusha. Nadhani hata shule yake ndogo inachangia kumfanya atumike visivyo
Ni idadi gani ya wanaume aliotoka nao kimapenzi mwanamke ndiyo inayomfanya awe malaya?
ina bidi ni confess kitu hapa
pamoja na skendo zote chafu za wema..
sijaacha ku mtamani......
bado namtamani saaanaaa.......
Hivi hana wazazi?
Hivi kwa sio hapo karibu na Meeda Bar sinza/Mwenge? Kama ndio hivyo mama yake ni balaaaaa usichezee koki... utaloa sembuse mtoto. sishangai hata kidogo
![]()
nje ya mada:hivvi kwanini mipolisi inakuwa na sura za ajabuajabbu?hebu mcheki huyo njagu hapo akikudaka bila kitu kidogo hungoki hata kama huna kosa
Kulingana na Biblia, kuwa na mahusiano yoyote nje ya ndoa kunakufanya kuwa na sifa ya ukahaba. Kwa hiyo basi, ukiwa na raifiki wa kike na mna uhusiano wa mapenzi nje ya ndoa, wote ninyi ni Malaya.