Wema SEPETU

Wema SEPETU

Malaya tu huyo. Mwanamke gani anaebadili wanaume kama nguo kama si malaya.
 
sio maarufu hata kidogo zaidi ya njaa!, UKIMSHUSHA Lyamba Lya Mfipa Hakuna mtu anaemjua WEMA.

Uliza jamaa anaitwa njaa, kila mtu anamjua!

Hapo umeongea, hata mgao wa umeme sio maarufu kiivyo kama njaa. Vijijini hawaujui pia.
 
Hivi hilo neno lina maana gani?. Naomba mwenye kufahamu maana yake anifahamishe~samahani wandungu sie wengine wavuvi tu humu!.

ni wale ma braza meni wanaovaa ruruali chupi inaonekana juu, wanaongea huku wanalamba midomo yao afu hata anapoongea kiswahili unaeza usimuelewe.
 
Wazazi wa Wema sepetu wanajutia kumruhusu kuingia kwnye miss tz kila siku kama asingeenda huko angekuwa mbali sana huyo binti asingekwenda mbagaraaaa

hata asingeingia ms tz bado angeweza kuibukia kwingine. Mwisho atafungwa sasa.
 
Demu bomba saaana tuu ila tabia ndo zinamuangusha. Nadhani hata shule yake ndogo inachangia kumfanya atumike visivyo

wapo wana shule ndogo lakini wanaona mbali kwa maisha yajayo hivyo maisha yao yanaenda vizuri sana
 
Ni idadi gani ya wanaume aliotoka nao kimapenzi mwanamke ndiyo inayomfanya awe malaya?

Kulingana na Biblia, kuwa na mahusiano yoyote nje ya ndoa kunakufanya kuwa na sifa ya ukahaba. Kwa hiyo basi, ukiwa na raifiki wa kike na mna uhusiano wa mapenzi nje ya ndoa, wote ninyi ni Malaya.
 
Je mama yake ameolewa au alikuwa nyumba ndogo. Inawezekana mazingira aliyolelewa yanamfanya awe hivyo!
 
mhh mnafika mbali sasa,mamake au babake anaingiaje hapa......makubwa!
 
Mwacheni jamani! she has got all rights to look around! lol! hivi huwa anafanya shughuli za u actress na music au?
 
mhh Wema kama unapitaga humu hebu achana na wabongo kwanza tafuta mnigeria akupooze machungu ya vibudu ulivyokumbana navyo.
 
umaarufu wa tz onvyooooooooo better majuu! wacelebrety gani wanaishi uswahilini)
 
Hii ndiyo inakuonesha kuwa UZURI SI SHANI BALI TABIA!!!!! Binti mwenye sura nzuri namna hii bado unakuta mambo yake HOVYOOO KABISAA!!!! Taabu nadhani si wazazi kukosa time ya kumlea; UFUSKA NI HULKA JAMANI......Kama unayo unayo tuu kama vipaji vingine tuu!!!
 
Hivi kwa sio hapo karibu na Meeda Bar sinza/Mwenge? Kama ndio hivyo mama yake ni balaaaaa usichezee koki... utaloa sembuse mtoto. sishangai hata kidogo

Hata mimi nilikuwa nashangaa, inaonekana unamjua vizuri wewe, sidhani kama ingekuwa tofauti hata kama asingeingia mambo ya umiss.
 
1.JPG


nje ya mada:hivvi kwanini mipolisi inakuwa na sura za ajabuajabbu?hebu mcheki huyo njagu hapo akikudaka bila kitu kidogo hungoki hata kama huna kosa

Sio polisi wa siku hizi mazee, niliwahi kumuona mmoja mahakama ya kisutu, asee!! nilitamani anikamate ili niwe jirani yake!!!

sema ni kubanwa na majukumu tu ama sivyo matembezi yangu yangekuwa kwenye mahakama hiyo kila siku!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kulingana na Biblia, kuwa na mahusiano yoyote nje ya ndoa kunakufanya kuwa na sifa ya ukahaba. Kwa hiyo basi, ukiwa na raifiki wa kike na mna uhusiano wa mapenzi nje ya ndoa, wote ninyi ni Malaya.

Kama hivyo basi umezungukwa na jamii ya wamalaya. Pole sana mtakatifu biblia halafu taja kitabu, sura na mstari wa ngapi umetoa hayo maneno niliyokoleza.
 
Back
Top Bottom