TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Muke ya jumbe huyo kwa ndomo anachepuka tu
Hahahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muke ya jumbe huyo kwa ndomo anachepuka tu
Shoga yake cheus dawa anamshaur vibaya boss wake, anampa ma carolite anachanganya na maji ya betri ye ngoz yake nzur mama ubaya sasa kaumuka kama zile maiti zilizokamatwa bunju
Shoga yake cheus dawa anamshaur vibaya boss wake, anampa ma carolite anachanganya na maji ya betri ye ngoz yake nzur mama ubaya sasa kaumuka kama zile maiti zilizokamatwa bunju
Shoga yake cheus dawa anamshaur vibaya boss wake, anampa ma carolite anachanganya na maji ya betri ye ngoz yake nzur mama ubaya sasa kaumuka kama zile maiti zilizokamatwa bunju
Shoga yake cheus dawa anamshaur vibaya boss wake, anampa ma carolite anachanganya na maji ya betri ye ngoz yake nzur mama ubaya sasa kaumuka kama zile maiti zilizokamatwa bunju
Binamu za hasubuh? Halaf kila siku nakusalimia Mimi au ndo najipendekeza sana sikuelewi
Aaahhhhaa acha basiii, binamu naangalia kigodoro hapa mbavu sinaaa,za asubuhi nzurii tu kuanzia kesho nakusalimiaa
Mama abdul nomaaaa
Ahaha aahha ulikuwa hujaiona nini? , mi mwenzio siku inatoka tu ninayo mkononi, yani mama abdul mtambo sana , na riyama umeona mziki wake ?? Watu wanachambana hatar umo
Uwe unanisalimia bhna , tatizo lako wew ukiamka hasubuh unawaza maubuyu tu salam a ah hutak, wacha nitoe duku duku, mi nimemaliza
Hahhhhaa binamu nisamehe bana ,ndio naiona leo wanachambanaje na ni ya kishambenga kwelii nimeona mama Abdul balaaa, riyama anaongea kanenepa mashavu hayoooo
Kale kafupii kanafaa kawe ka mke kako
Kafupi ka Nani na wewe? Umeanza vitumbi
Ila mule kajala wamemuonea hawez uswaz ila ngoma nyingine hizo mmh wananuka uswazi kiama , kuna nyingine hiyo inakuja inaitwa CHAUSIKU starling shamsa ford hiyo ndo nyoko full vigodor michambo Massa 24 , chausiku mwenyew mweusii,mbea mtaa mzima kila siku anachambwa, halafu kashonea weaving la kijani yan full uswaz nimecheka sana ,hiyo nayo nuksi binamu
Bora watutolee tu za hivyo tuwe tunacheka sieee,kuna kale kafupiii ka emolo kanaitwa tausi yaan sijui ka wapiii, kana ta'ko hilo umekasahauu,mbona hiyo chausiku naisikia muda mrefu tu,au nyinginee
Ahaha tausi yule andunje, na wewe umenichoka binamu na wewe ila kana nyama ako hatar
Chausiku haijatoka ila inatangazwa sana
Bora watutolee tu za hivyo tuwe tunacheka sieee,kuna kale kafupiii ka emolo kanaitwa tausi yaan sijui ka wapiii, kana ta'ko hilo umekasahauu,mbona hiyo chausiku naisikia muda mrefu tu,au nyinginee
Kananichekesha hako yaan achaa !!!! Na hakakosi mwanaume hako
Binamu umbea huuu mpaka mboga imeunguaa nakuambia nna bahati hayupo msukuma wangu la sivyo ningepewa talaka hadi na yako na majobless wotee, umbea niachie mimii jamanii
Mmmh na wew unapika uku unapiga umbea?
Eeee si wewe chanzooo