Wema umeumbwaje?

Jickson Nkulikwa

Senior Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
104
Reaction score
52
Nilikuwa nafuatilia maisha ya mrembo huyu,tangu2006,nikiwa form one,lakini hadi Leo hazeeki,naomba sasa nipenyeze hapa kuitangazia jamii f,na mumfikishie ujumbe.....Nampenda sana si kwa kutafuta kiki hapana,natamani nionane Naye live ,nitaridhika ,nipo wazi sana,nataka ck moja afike mkoa wa Songwe.by MWL.MTT wa mkulima.naomba nifikishie taarifa tafdhali!
 


Kwa uandishi huu, hata kivuli cha Wema huwezi kukiona!
 
Huwa najiuliza kwamba huwezi kuona wasichana warembo ambao hata Wema hawezi fika robo yao? Mbona wengi tu! Tatizo hapa ni mwanaume kukosa independent mind mpaka meadi promotion ndo ikufanye uone binti ni mrembo kuliko wote! Labda kama ni kutafuta kiki ya Harmorapa utakuwa sahihi . Kinyume na hapo unapaswa kuongeza wigo wako wa kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…