Wema unaofanya ukiwa Arusha kamwe hautafunika uovu uliofanya ukiwa Dar es Salaam!

Wema unaofanya ukiwa Arusha kamwe hautafunika uovu uliofanya ukiwa Dar es Salaam!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga kichwa kutokana na damu alizomwaga moja kwa moja au kuratibu mipango ya damu hizo kumwaga.

Amejaribu sana kwenda kutubia kwa mapadri, lakini haijamsaidia. Amejaribu sana kuwaomba wachungaji na hata mashehe wamuombee japo yeye si mwislamu, lakini bado haisaidii.

Kuna wakati taswira za uovu aliofanya zikimjia analia kama mtoto. Anajitahidi kwa kila njia kushiriki mambo ya kidini, lakini haisaidii. Damu alizomwaga zinazidi kumwandama tu. Akiona watu ambao ni kama wazazi, wake, au watoto, anakumbuka kuna mtu alishiriki kumwaga damu yake na kuwanyima hao watu huduma na msaada kutoka kwa huyo mtu. Inamchanganya sana, na kutaka kuwasaidia kama namna ya kupunguza uzito wa maumivi ya mambo aliyofanya. Kuna wengine hata ameanza kuwaita rafiki zake, akijua wazi ilikuwa awafutilie mbali.

Sasa amekuwa na fikra kwamba akiwafanyia wema kina baba na kina mama ambao ni kama wazazi wa wale aliomwaga damu zao, au wale ambao ni kama wake wa aliomwaga damu zao, labda atapata unafuu fulani, kwamba wema huo utasaidia kufunika uovu aliofanya akiwa Dar es Salaam. Kuna wakati mambo yalimzidi hadi ikaamuliwa apumzike kwa muda.

Nataka nimwambie wazi, damu alizoshiriki kumwaga akiwa Dar es Salaam zitamwandama siku zote, na hakuna kuombewa na wachungaji wala mashehe kutakakomsaidia. Wala hakuna wingi wa wema atakaofanya utafunika uovu aliotenda huko nyuma. Kuna kila dalili kwamba anavurugikiwa akili, na nimwambie wazi, hizo ni dalili za mwisho mbaya unaomsubiri. Jambo moja tu litakalomtoa katika kuchanganyikiwa aliko nako ni kukiri hadharani na kwa familia alizoziathiri kwa uovu wa aliyotenda na kuomba msamaha, ikibidi hata aende jela. Akifanya hiyo toba ya kweli ndipo Mungu anaemtafuta kwa bidii atakuwa tayari kumpokea. La sivyo tatizo la afya ya akili linamnyemelea, na huenda wengine wakahisi ni bora apotezewe kabla hajaanza kutoa siri.
 
Msipende kuhukumu jamani,.

Kwa mfano hapo saizi ukiambiwa utoe ushahidi kwa hizo dam alizomwaga utaweza??,. Au wewe ndio msemaji wa familia za hao waliomwagwa damu ??

Halafu kwanini hampendi kuona watu wakitenda wema, yani hata mtu akibadilika kutoka ubaya akawa mwema pia hampendi,.
 
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga kichwa kutokana na damu alizomwaga moja kwa moja au kuratibu mipango ya damu hizo kumwaga.

Amejaribu sana kwenda kutubia kwa mapadri, lakini haijamsaidia. Amejaribu sana kuwaomba wachungaji na hata mashehe wamuombee japo yeye si mwislamu, lakini bado haisaidii.

Kuna wakati taswira za uovu aliofanya zikimjia analia kama mtoto. Anajitahidi kwa kila njia kushiriki mambo ya kidini, lakini haisaidii. Damu alizomwaga zinazidi kumwandama tu. Akiona watu ambao ni kama wazazi, wake, au watoto, anakumbuka kuna mtu alishiriki kumwaga damu yake na kuwanyima hao watu huduma na msaada kutoka kwa huyo mtu. Inamchanganya sana, na kutaka kuwasaidia kama namna ya kupunguza uzito wa maumivi ya mambo aliyofanya. Kuna wengine hata ameanza kuwaita rafiki zake, akijua wazi ilikuwa awafutilie mbali.

Sasa amekuwa na fikra kwamba akiwafanyia wema kina baba na kina mama ambao ni kama wazazi wa wale aliomwaga damu zao, au wale ambao ni kama wake wa aliomwaga damu zao, labda atapata unafuu fulani, kwamba wema huo utasaidia kufunika uovu aliofanya akiwa Dar es Salaam. Kuna wakati mambo yalimzidi hadi ikaamuliwa apumzike kwa muda.

Nataka nimwambie wazi, damu alizoshiriki kumwaga akiwa Dar es Salaam zitamwandama siku zote, na hakuna kuombewa na wachungaji wala mashehe kutakakomsaidia. Wala hakuna wingi wa wema atakaofanya utafunika uovu aliotenda huko nyuma. Kuna kila dalili kwamba anavurugikiwa akili, na nimwambie wazi, hizo ni dalili za mwisho mbaya unaomsubiri. Jambo moja tu litakalomtoa katika kuchanganyikiwa aliko nako ni kukiri hadharani na kwa familia alizoziathiri kwa uovu wa aliyotenda na kuomba msamaha, ikibidi hata aende jela. Akifanya hiyo toba ya kweli ndipo Mungu anaemtafuta kwa bidii atakuwa tayari kumpokea. La sivyo tatizo la afya ya akili linamnyemelea, na huenda wengine wakahisi ni bora apotezewe kabla hajaanza kutoa siri.
Acha ushamba na upumbav kwa hio unataka afanye ukatili au vipi ? Watu wengine kujidai siasa nyingiii acha mwamba afanye kazi yake
 
Msipende kuhukumu jamani,.

Kwa mfano hapo saizi ukiambiwa utoe ushahidi kwa hizo dam alizomwaga utaweza??,. Au wewe ndio msemaji wa familia za hao waliomwagwa damu ??

Halafu kwanini hampendi kuona watu wakitenda wema, yani hata mtu akibadilika kutoka ubaya akawa mwema pia hampendi,.
Nenda ubalozi wa Marekani watakupa!
 
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga kichwa kutokana na damu alizomwaga moja kwa moja au kuratibu mipango ya damu hizo kumwaga.

Amejaribu sana kwenda kutubia kwa mapadri, lakini haijamsaidia. Amejaribu sana kuwaomba wachungaji na hata mashehe wamuombee japo yeye si mwislamu, lakini bado haisaidii.

Kuna wakati taswira za uovu aliofanya zikimjia analia kama mtoto. Anajitahidi kwa kila njia kushiriki mambo ya kidini, lakini haisaidii. Damu alizomwaga zinazidi kumwandama tu. Akiona watu ambao ni kama wazazi, wake, au watoto, anakumbuka kuna mtu alishiriki kumwaga damu yake na kuwanyima hao watu huduma na msaada kutoka kwa huyo mtu. Inamchanganya sana, na kutaka kuwasaidia kama namna ya kupunguza uzito wa maumivi ya mambo aliyofanya. Kuna wengine hata ameanza kuwaita rafiki zake, akijua wazi ilikuwa awafutilie mbali.

Sasa amekuwa na fikra kwamba akiwafanyia wema kina baba na kina mama ambao ni kama wazazi wa wale aliomwaga damu zao, au wale ambao ni kama wake wa aliomwaga damu zao, labda atapata unafuu fulani, kwamba wema huo utasaidia kufunika uovu aliofanya akiwa Dar es Salaam. Kuna wakati mambo yalimzidi hadi ikaamuliwa apumzike kwa muda.

Nataka nimwambie wazi, damu alizoshiriki kumwaga akiwa Dar es Salaam zitamwandama siku zote, na hakuna kuombewa na wachungaji wala mashehe kutakakomsaidia. Wala hakuna wingi wa wema atakaofanya utafunika uovu aliotenda huko nyuma. Kuna kila dalili kwamba anavurugikiwa akili, na nimwambie wazi, hizo ni dalili za mwisho mbaya unaomsubiri. Jambo moja tu litakalomtoa katika kuchanganyikiwa aliko nako ni kukiri hadharani na kwa familia alizoziathiri kwa uovu wa aliyotenda na kuomba msamaha, ikibidi hata aende jela. Akifanya hiyo toba ya kweli ndipo Mungu anaemtafuta kwa bidii atakuwa tayari kumpokea. La sivyo tatizo la afya ya akili linamnyemelea, na huenda wengine wakahisi ni bora apotezewe kabla hajaanza kutoa siri.
Imeandikwa; dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama damu mkitubu zitasafishwa ziwe nyeupe kama theluji! Muhimu hapo ni toba ya kweli kutoka moyoni.
 
Acha ushamba na upumbav kwa hio unataka afanye ukatili au vipi ? Watu wengine kujidai siasa nyingiii acha mwamba afanye kazi yake
Inaonekana unafaidika kibinafsi. Huyu bwana kama wewe ni rafiki yake anahitaji msaada sio kutetewa kwa mihemuko

Hebu kawaambie maneno haya wale nduga za watu aliowanyima haki ya kuishi uone watakavyokula nyama. Unataka nao wakubali kusahau kwa sababu mwamba wako anafanya kazi yake? Huu ni upofu uliokupita kiasi
 
Imeandikwa; dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama damu mkitubu zitasafishwa ziwe nyeupe kama theluji! Muhimu hapo ni toba ya kweli kutoka moyoni.
Angalau unakubali alikuwa na dhambi nyekundu kama damu. Ila hakuna mahali imeandikwa akili zenu zitasawazika!
 
Ingekuwa unayoyasema ni kweli mamlaka zingesha-deal nae zamani,.

Lakini kwani mtu akibadilika na kuwa mwema pia kuna makosa?
Hivi wewe ni Mtanzania? Haya mambo yalifanyika kwa amri toka juu, itakuwaje mamlaka zi-deal naye? Yaani hadi sasa hujatambua kwa nini wengi walioptezewa mamlaka hazitii juhudi za kupeleleza? Amka usikie harufu ya kahawa!
 
ngalau unakubali alikuwa na dhambi nyekundu kama damu. Ila hakuna mahali imeandikwa akili zenu zitasawazika!
Sijasema ana dhambi ila ni conditional... endapo! Wewe ndiye unayedai ana dhambi ambazo unadai hazisameheki which is not true kwa condition niliyoeleza.
 
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga kichwa kutokana na damu alizomwaga moja kwa moja au kuratibu mipango ya damu hizo kumwaga.

Amejaribu sana kwenda kutubia kwa mapadri, lakini haijamsaidia. Amejaribu sana kuwaomba wachungaji na hata mashehe wamuombee japo yeye si mwislamu, lakini bado haisaidii.

Kuna wakati taswira za uovu aliofanya zikimjia analia kama mtoto. Anajitahidi kwa kila njia kushiriki mambo ya kidini, lakini haisaidii. Damu alizomwaga zinazidi kumwandama tu. Akiona watu ambao ni kama wazazi, wake, au watoto, anakumbuka kuna mtu alishiriki kumwaga damu yake na kuwanyima hao watu huduma na msaada kutoka kwa huyo mtu. Inamchanganya sana, na kutaka kuwasaidia kama namna ya kupunguza uzito wa maumivi ya mambo aliyofanya. Kuna wengine hata ameanza kuwaita rafiki zake, akijua wazi ilikuwa awafutilie mbali.

Sasa amekuwa na fikra kwamba akiwafanyia wema kina baba na kina mama ambao ni kama wazazi wa wale aliomwaga damu zao, au wale ambao ni kama wake wa aliomwaga damu zao, labda atapata unafuu fulani, kwamba wema huo utasaidia kufunika uovu aliofanya akiwa Dar es Salaam. Kuna wakati mambo yalimzidi hadi ikaamuliwa apumzike kwa muda.

Nataka nimwambie wazi, damu alizoshiriki kumwaga akiwa Dar es Salaam zitamwandama siku zote, na hakuna kuombewa na wachungaji wala mashehe kutakakomsaidia. Wala hakuna wingi wa wema atakaofanya utafunika uovu aliotenda huko nyuma. Kuna kila dalili kwamba anavurugikiwa akili, na nimwambie wazi, hizo ni dalili za mwisho mbaya unaomsubiri. Jambo moja tu litakalomtoa katika kuchanganyikiwa aliko nako ni kukiri hadharani na kwa familia alizoziathiri kwa uovu wa aliyotenda na kuomba msamaha, ikibidi hata aende jela. Akifanya hiyo toba ya kweli ndipo Mungu anaemtafuta kwa bidii atakuwa tayari kumpokea. La sivyo tatizo la afya ya akili linamnyemelea, na huenda wengine wakahisi ni bora apotezewe kabla hajaanza kutoa siri.
Damu za watu aliwadhulumu haki zao kuishi.....zitamuandama hafi kizazi chake....lazimaaa atalipa tuu
 
Hivi wewe ni Mtanzania? Haya mambo yalifanyika kwa amri toka juu, itakuwaje mamlaka zi-deal naye? Yaani hadi sasa hujatambua kwa nini wengi walioptezewa mamlaka hazitii juhudi za kupeleleza? Amka usikie harufu ya kahawa!
Kwahiyo unashauri nini kifanyike? .

Umeongea kwa uchungu hadi nimeogopa
 
Kwahiyo unashauri nini kifanyike? .

Umeongea kwa uchungu hadi nimeogopa
Mamlaka zimeamua kuwa kimya, Samia anasema yeye hakuhusika. Huyu anasumbuliwa kama mtu binafsi. Awaombe msamaha Watanzania na familia alizozidhurumu wapendwa wao. Nimesema hivyo
 
Sijasema ana dhambi ila ni conditional... endapo! Wewe ndiye unayedai ana dhambi ambazo unadai hazisameheki which is not true kwa condition niliyoeleza.
Damu za nani anashindwa kutaja.
 
Mamlaka zimeamua kuwa kimya, Samia anasema yeye hakuhusika. Huyu anasumbuliwa kama mtu binafsi. Awaombe msamaha Watanzania na familia alizozidhurumu wapendwa wao. Nimesema hivyo
Huhisi kama kuomba msamaha kwa kujitangaza kunaweza kumsababishia matatizo yeye na familia yake pia?.

Kwanini msimwache tu na mtulie mumuombee aendelee kufanya mema anayofanya ili asigeukie tena upande mbaya na kudhuru mwengine wengi?
 
Imeandikwa; dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama damu mkitubu zitasafishwa ziwe nyeupe kama theluji! Muhimu hapo ni toba ya kweli kutoka moyoni.
Ndio unasamehewa lakini matokeo ya ubaya uliotenda lazima uubebe ndio msalaba wako...

Mfano umengonoka ovyo uko ukapata ukimwi afu urudi kuomba toba,, ndio unasamehewa na Mungu but ukimwi utaishi nao mpaka ukuue.
 
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga kichwa kutokana na damu alizomwaga moja kwa moja au kuratibu mipango ya damu hizo kumwaga.

Amejaribu sana kwenda kutubia kwa mapadri, lakini haijamsaidia. Amejaribu sana kuwaomba wachungaji na hata mashehe wamuombee japo yeye si mwislamu, lakini bado haisaidii.

Kuna wakati taswira za uovu aliofanya zikimjia analia kama mtoto. Anajitahidi kwa kila njia kushiriki mambo ya kidini, lakini haisaidii. Damu alizomwaga zinazidi kumwandama tu. Akiona watu ambao ni kama wazazi, wake, au watoto, anakumbuka kuna mtu alishiriki kumwaga damu yake na kuwanyima hao watu huduma na msaada kutoka kwa huyo mtu. Inamchanganya sana, na kutaka kuwasaidia kama namna ya kupunguza uzito wa maumivi ya mambo aliyofanya. Kuna wengine hata ameanza kuwaita rafiki zake, akijua wazi ilikuwa awafutilie mbali.

Sasa amekuwa na fikra kwamba akiwafanyia wema kina baba na kina mama ambao ni kama wazazi wa wale aliomwaga damu zao, au wale ambao ni kama wake wa aliomwaga damu zao, labda atapata unafuu fulani, kwamba wema huo utasaidia kufunika uovu aliofanya akiwa Dar es Salaam. Kuna wakati mambo yalimzidi hadi ikaamuliwa apumzike kwa muda.

Nataka nimwambie wazi, damu alizoshiriki kumwaga akiwa Dar es Salaam zitamwandama siku zote, na hakuna kuombewa na wachungaji wala mashehe kutakakomsaidia. Wala hakuna wingi wa wema atakaofanya utafunika uovu aliotenda huko nyuma. Kuna kila dalili kwamba anavurugikiwa akili, na nimwambie wazi, hizo ni dalili za mwisho mbaya unaomsubiri. Jambo moja tu litakalomtoa katika kuchanganyikiwa aliko nako ni kukiri hadharani na kwa familia alizoziathiri kwa uovu wa aliyotenda na kuomba msamaha, ikibidi hata aende jela. Akifanya hiyo toba ya kweli ndipo Mungu anaemtafuta kwa bidii atakuwa tayari kumpokea. La sivyo tatizo la afya ya akili linamnyemelea, na huenda wengine wakahisi ni bora apotezewe kabla hajaanza kutoa siri.
Wewe una wema gani ulimwengu wakujivunia
 
Back
Top Bottom