Wema: Van vicker alichangia niachane na Diamond

Dada achana na watu west africa. Be careful tht guy is a play boy she could use na ikawa basi .

wema ndo unampa ushauri huu?
Wadhan atakuelewa basi?
We tafuta siti uangalie movie hii inakoelekea
 
Maneno ya mkosaji hayo,mbona wengine walompa magari na vitu vyengine hajasema kwa Diamond? aende zake uko atabakia kuigawa kama pipi chamsingi atulie tuuuuuuuuu.
 

Nitonye huyo babu wa bmw ni nani?
 
hana jipya huyo kwani van vicker ndo alimfata china?ndo alinunua BMW pyeeee

mama ubaya anapenda kujiweka level ambazo sio zake, sasa van vicker anahusikaje apa? kaka wa watu ata habar nae hana ye kutwa kujishaua nfyuu stress tu zinamsumbua
 
As far as I can remember, hio connection ya kufanya na Van Vicker movie alii set diamond, way before hawajaachana.. Zile safari za nigeria na ghana zilizaa matunda mengi zaidi ya Numbet one remix...
Sasa shigongo anakuja na uharo wake huu...

jamni wema si ndo kasema hvyo? alihojiwa na soudy brown ndo akajiropokea huo upuuzi, na yeye eti anajifanya anatoka na van vicker, anapenda mambo makubwa huyu
 
jamni wema si ndo kasema hvyo? alihojiwa na soudy brown ndo akajiropokea huo upuuzi, na yeye eti anajifanya anatoka na van vicker, anapenda mambo makubwa huyu

Hahahaha
 
Nitonye huyo babu wa bmw ni nani?

Itabidi labda tusubiri alewe then aropoke au hao wanaomzunguka wakigombana...
Ila huyu W kweli kila kitu yeye ni anahongwa hata nyumba. Yaani hana alichosotea kupata zake ni wababu walio waume wa watu. Nasubiria kusomaga au kusikia anaringia alichovuna yeye mwenyewe.
 

badala ya kukazana kuwafikia akina genevieve au tonto dikeh yeye anawaza wanaume tu eti anataka kujifanya eti anatoka na van vicker... loh anapenda wanaume huyu nfyuuu
 
pumzika wewe binamu, wengine hatujamchoka

Kweli wacha nipumzike , nikiona topic zao natoka Ndukii , Nimepita kwa Bi Asinta nako yaleyape Zarimond yaani Binafsi Naboreeeeeka ! vipi ishu za mwanamitindo anayeolewa ! Wanaokula bata UAE hivi eheee nazitafuta hamziweki
 
Kweli wacha nipumzike , nikiona topic zao natoka Ndukii , Nimepita kwa Bi Asinta nako yaleyape Zarimond yaani Binafsi Naboreeeeeka ! vipi ishu za mwanamitindo anayeolewa ! Wanaokula bata UAE hivi eheee nazitafuta hamziweki

uwiiii ebu nitoe tongo tongo mie...mwanamitindo gani tena wa uko dubai?? maana huu msimu wa christmas na mwaka mpya nimewaona mastaa wengi uku dubai ata sijui wamefuata nini, ebu nipe umbea kidogo nipekenyue
 
uwiiii ebu nitoe tongo tongo mie...mwanamitindo gani tena wa uko dubai?? maana huu msimu wa christmas na mwaka mpya nimewaona mastaa wengi uku dubai ata sijui wamefuata nini, ebu nipe umbea kidogo nipekenyue
Mama wawili
 

Hivi na umiss alihongwa na uncle lundenga?
 
Dai yupo anatanua na zarinah the boss lady,we jiongelesheeee utoe na kitabu,maana ushakua ni historiaaa

Hebu cheki toto hilooo linawaka kama taa...
 

Attachments

  • 1420473694139.jpg
    45.8 KB · Views: 159
  • 1420473712429.jpg
    35.6 KB · Views: 145
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…