Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Wema we mkali bana, nimependa color yako ya sasa ivi kitu natural color, huyu ndiyo wema tuliyokuwa tukimtaka sasa, siyo yule wa ma wigi na rangi ambayo haieleweki. Nyie mnaomuita wema mama ubaya aya wekeni na nyie picha zenu mkinyoa upara halafu tuone, kama hatujakimbiana.
Naona siku hizi apigi mkorogo nn??alafu hivi wewe ndio yule yule shujaa Warumi ama jina limefanana?