Wema, Zari kuonana 'live' kwenye arobaini ya Nillan

Wema, Zari kuonana 'live' kwenye arobaini ya Nillan

Nyie wenzenu wanaingiza ela hiyo 40 yenyewe ina wadhamini karibia kampuni 7.
1. gsm
2. Clouds
3. Voda
4. Babyshop
Na mengine matatu majina yamenitoka kaangalieni matangazo anayoweka instagram.
Jamaa anaingiza ela nyie bishaneni tu
And by the way kaalika watu wengi akina t.i.d, babu wa kitaa, recho, kajala, qchief, wasanii wengi wamealikwa akiweno paul makonda sijui watatazamanaje na watu wake
 
Kama mambo yakienda sawa leo mahakamani ,wema sepetu akifanikiwa kupata dhamana kuna uwezekano mkubwa wa staa huyo kuhudhuria arobaini ya mtoto wa ex wake diamond platnums,

akizungumza live ktoka clouds fm,diamond ametamka rasmi kuwa staa hyo ni miongoni mwa wageni waalikwa kwenye sherehe hyo, kwa upande wa zari nae amesema hana shida na ujio wa staa hyo ambaye waliwahi kuingia kwenye bifu kipindi cha nyuma.

Kama kweli wema akifanikiwa kuhudhuria kwenye sherehe hyo itakua ndo mara ya kwanza kwa mafahari hao wawili kuonana, na itakua sherehe ya aina yake kwa uwepo wa mastaa hao waliowahi kuingia kwenye vita nzito na kurushiana maneno mtandaoni.

=======

Leo February 9 kupitia kipindi cha LEO TENA kinachorushwa na CloudsFM Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari walikuwa Mubashara kuzungumzia arobaini ya Mtoto wao Prince Nillan pamoja na hayo wameongelea mengine pia.

Zari na Diamond hawakuacha kujibu maswali yanayohusu Uhusiano wao kwenye mwezi huu wa Wapendanao, Zari aliyaongea mengi kuhusu Diamond na Diamond nae aliyaongea mengi kuhusu Zari.

“Hatujawahi kukaa tukazungumzia kuhusu ndoa siolewi sababu watu wanauliza lini mnaoana tutafanya hivyo tukipenda, mimi na Diamond hatuna mazoea ya kushikiana simu kila mtu na simu yake, mengine ni ya kawaida tu kwenye mahusiano hutokea”

“Nimempa password yangu ya Instagram Diamond anaweza kuingia akaperuzi na kufanya chochote kile, mimi na mama Diamond hatuna tofauti zozote tupo fresh tu ni maneno ya watu kutoka nje tu kwamba tumegombana” – Zari

“Namuomba Mungu Wema sepetu amalize tatizo lake salama na yeye tumemualika kwenye shughuli ya Prince NIllan Jumamosi, itakuwa ni siku ya kipekee kabisa kuanzia asubuhi na watakaofika ni wale wenye kadi za mialiko tu” – Zari

“Niwashukuru sana watu wa Media za nyumbani kuhakikisha kazi zangu kunifikisha hapa nilipo sasa….sababu ya mimi kufanya kazi na Unostudios nilikuwa nataka kazi zangu zifike mahali ambayo sikuwahi kufika kabla…..Mke wangu Zari hajawahi kukutana na Wema kabla, sasa hivi tumekua hatuna tofauti” – Diamond Platnumz



we jamaa ni mwanaume kweli samahani lakini maana maona mada zako uwa za umbeya tu
 
Ila Wema nae alivyo utashangaa akienda hata Nillan atasahaulika itakua Wema hivi Wema vile yani tafrani..mwenzetu nae sijui ana kizizi cha kuonekana woiii
 
Watu tunapenda watu wawe maadui kila siku ili tupate la kuongea.

Diamond alishasema hana shida na wema, na wema pia alishasema hana shida na mondi.
eeh hata ka tunaapenda umbea sio kwa level hii ya uchochezi,watu wamesema hawana tatizo wabongo tunaanza kukumbusha ya nyuma eti alimuita mwenzie tasa duh, yan natama nipasue mtu na nyundo ya uso mfyuu
 
Umeona ehhh.... huyo mwanamke aliongea maneno mabaya sana. Leo hii eti ana roho nzuri....
Binadamu wanafki sanaaa....
Au ndo kumchora kama huko gerezan alitokwa na mapele ili apate jingne la kusema....
Umesaha wema na tim yake walivyokua wanatamani afie leba?kw taarifa yako wenzako bifu lilishaisha siku nyingi nyie ma hater na wivu wenu ndio mnalazimisha...habari mnayo wema anatia tim siku y 40 .....mnalo hilo na roho zenu mbaya..eti zari mnafiki hahahha wema ndio mnafiki nani alianza kujipendekez kw mwenzie? Si wema alimiwish tifah happy birthday mwezi wa nane? Au sio wema hahahhaha lako hilo bibi weee cha unafik ni wewe ambaye hupens amani..mnataka watu wagombane kisa roho zenu mbaya...
 
Siyo kila anayekukosea na ukamsamehe uendelee kuwa naye karibu kwenye maisha yako. Wengine wanakuwa ni kikwazo kwenye mafanikio yako. Wema kama kumsamehe Zari sidhani kama ukaribu naye unatakiwa. Huyu mwanamke ni mnafki sana. Period
Toka lini wema na zari wakawa marafik? kwanza wanaingilaje ye kasema han tatzo nae sio wawe rafiki,?mama tee kasema htak poison kwenye relationship yake
 
wabongo unafik na uchawi na uchanganishi ndo fani zetu,sikushangai.ssa ulitk wagomban mpl lin
Shangaaa na wewe...hao team wema ndio wanafiki wakubwa kutwa kucha kumfanya wema aonekane mbaya halafu wanajifanya wanampenda.....na wao ndio chanzo cha wema kugombna na wengine..
 
Ila Wema nae alivyo utashangaa akienda hata Nillan atasahaulika itakua Wema hivi Wema vile yani tafrani..mwenzetu nae sijui ana kizizi cha kuonekana woiii
utasikia wema kaenda na hiriz tiffah anaumwa na nilan anaharisha mavi ya kijani
 
Umesaha wema na tim yake walivyokua wanatamani afie leba?kw taarifa yako wenzako bifu lilishaisha siku nyingi nyie ma hater na wivu wenu ndio mnalazimisha...habari mnayo wema anatia tim siku y 40 .....mnalo hilo na roho zenu mbaya..eti zari mnafiki hahahha wema ndio mnafiki nani alianza kujipendekez kw mwenzie? Si wema alimiwish tifah happy birthday mwezi wa nane? Au sio wema hahahhaha lako hilo bibi weee cha unafik ni wewe ambaye hupens amani..mnataka watu wagombane kisa roho zenu mbaya...
Wewe ndo manager wake??
Afu hilo POVU...[emoji36] [emoji36] [emoji36]
sina nguo chafu za kufua....
 
Wewe ndo manager wake??
Afu hilo POVU...[emoji36] [emoji36] [emoji36]
sina nguo chafu za kufua....
Hahahhahahaaa sio swali......huwez pata nguo za kufua wakat umepewa majibu mubashara..habari unayo
 
Unaweza kusikia hii habari inaongelewa bungeni maana nchi imejaa vituko hii. We subiri tu. Maana mawaziri wa Magufuli wote akili zao ni sawa na Bongo movie tu
 
Jamani mbona kaachana na Wema miaka mingi na bado nyota ya Mondi inang'aa. Huyo Wema ana nyota gani wakati hata hajielewi. Kupendwa kote na watu lakini maisha yake hayajui. Amelewa mapenzi ya walala hoi.
Darasa ana nyimbo gani zaidi ya hiyo moja. Mondi na Zari naamini wamemualika Wema kama rafiki na kuondoa uadui wa miaka mingi na si vinginevyo. Sema wabongo hamkosi la kuongea, kukatisha tamaa.
Nimefurahi wamemualiki, na nitafurahi kama Wema ataitikia wito.

Sema wewe mwaya. Naona watu wamekazana kupondea as if huyo Wema hakuwahi kumtukana Zari. Huyo Wema angekua ni wa maana hivyoo angekua anatengeneza more money than Diamond and Zari. Hiyo brand ya Wema haina hadhi na hivi alivyoswekwa lupango kwa hizi tuhuma hakuna kampuni yenye akili timamu yenye hadhi itamfanya brand ambassador. Akina Dai na Zari naona wamechoka mabifu yasio na maana.
 
Sasa dangote anashindwa
Kwenda kumwekea dhamana
Ex wake aseeee
 
Back
Top Bottom