Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo ndugu yangu..Wewe chakoriii ulipotea sana.
Umesema Ukweli Mtupu,ww mwanaume unasema hivyo sijui na wadada wembamba wasemaje!
kwanza inama halafu pinda mgongo.Wanaume wembamba kweli tunakazi yaani kutafta mpenzi huku unakamwili cha ukondefu utasota sanaa balaa nipale ukute unauwembamba wakurithi yaan unapiga mayai maziwa kiti moto lakin wapiii (dahh) hakuna demu anaependa kimbaombaoo kwakwelii minimeshajikatia tamaa kabisaa
???
Malipo ni hapahapa, hata mimi sipendi wanawake wembambaWanaume wembamba kweli tunakazi yaani kutafta mpenzi huku unakamwili cha ukondefu utasota sanaa balaa nipale ukute unauwembamba wakurithi yaan unapiga mayai maziwa kiti moto lakin wapiii (dahh) hakuna demu anaependa kimbaombaoo kwakwelii minimeshajikatia tamaa kabisaa
???