Kwanza nimpongeze sana mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa jitihada zake za kusaidia wananchi;
Naamini na hili lipo kwenye mpango kazi wake ila kwa kuchangia tu;
Kuna vipande vitatu vya Barabara VIFUPI KABISA ila vina sababisha jiji la ARUSHA lisimame Asubuhi na jioni...
1. Ukitoka mnara wa Saa (Clock tower) Kwenda round about ya Kijenge, takriban meta 800, jioni unaweza kutumia nusu saa hadi lisaa na zaidi (Barabara hujifunga) Na hii ni kwa sababu kipande hicho kinaunganisha mitaa maarufu ya Kijenge juu, kijenge chini, Njiro, Moshono, by pass ya Chuo cha Mandela, na pia ni by pass ya kuingia Barabara ya moshi Arusha. Naona ipo haja ya kukipanua kwa haraka kiwe njia nne na kupanua round about ili iendane na maboresho hayo.
2. Kuna kipande kingine kama km 1.2kms kutoka Shoppers hadi Majengo ya chini (Kwa sefu) Hiki kinaunganisha mitaa maarufu ya Mbauda, Kisongo, Monduli, Majengo ya chini na majengo ya juu. Hiki walianza kupanua ziwe Barabara nne ila wakaishia njiani; natamani wamalizie;
3. Kuna kipande kingine cha kufilter magari yasipite mjini kati kama cha meta 350 (kutoka Faya Kwenda round about ya Unga ltd); hako ka kipande kapo busy asubuhi hadi jioni, unaweza kuendesha hapo kwa dkk 15 hadi nusu saa? Nashauri napo wapanue pawe njia nne
Nafikiri tunasumbua Traffic bure kwani hata kwa akili ya kawaida, mitaa yote hiyo haiwezi kuunganishwa na kipande kimoja cha barabara ya njia mbili ikapitika
4. Mipango itakayofuata; wapanue Barabara ya Njiro kwani inatumiwa na watu wanaopitia by pass kuingia mjini na hivyo kuifanya iwe busy sana hasa muda wa Asubuhi na jioni.
Naamini na hili lipo kwenye mpango kazi wake ila kwa kuchangia tu;
Kuna vipande vitatu vya Barabara VIFUPI KABISA ila vina sababisha jiji la ARUSHA lisimame Asubuhi na jioni...
1. Ukitoka mnara wa Saa (Clock tower) Kwenda round about ya Kijenge, takriban meta 800, jioni unaweza kutumia nusu saa hadi lisaa na zaidi (Barabara hujifunga) Na hii ni kwa sababu kipande hicho kinaunganisha mitaa maarufu ya Kijenge juu, kijenge chini, Njiro, Moshono, by pass ya Chuo cha Mandela, na pia ni by pass ya kuingia Barabara ya moshi Arusha. Naona ipo haja ya kukipanua kwa haraka kiwe njia nne na kupanua round about ili iendane na maboresho hayo.
2. Kuna kipande kingine kama km 1.2kms kutoka Shoppers hadi Majengo ya chini (Kwa sefu) Hiki kinaunganisha mitaa maarufu ya Mbauda, Kisongo, Monduli, Majengo ya chini na majengo ya juu. Hiki walianza kupanua ziwe Barabara nne ila wakaishia njiani; natamani wamalizie;
3. Kuna kipande kingine cha kufilter magari yasipite mjini kati kama cha meta 350 (kutoka Faya Kwenda round about ya Unga ltd); hako ka kipande kapo busy asubuhi hadi jioni, unaweza kuendesha hapo kwa dkk 15 hadi nusu saa? Nashauri napo wapanue pawe njia nne
Nafikiri tunasumbua Traffic bure kwani hata kwa akili ya kawaida, mitaa yote hiyo haiwezi kuunganishwa na kipande kimoja cha barabara ya njia mbili ikapitika
4. Mipango itakayofuata; wapanue Barabara ya Njiro kwani inatumiwa na watu wanaopitia by pass kuingia mjini na hivyo kuifanya iwe busy sana hasa muda wa Asubuhi na jioni.