Tetesi: Wenda ikawa Trump ana IQ kubwa kuliko Obama na G.W.Bush

Tetesi: Wenda ikawa Trump ana IQ kubwa kuliko Obama na G.W.Bush

Cybergates

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
697
Reaction score
1,474
Huko USA gumzo ni kuhusu IQ ya mzee mzima D.J.Trump, Trump juzi alihamisi alifanyiwa interview na jarida la forbes moja ya kitu kilichokua gumzo kwenye iyo interview yake ni kuhusiana IQ yake inasemekana mwaka 2013 trump alisema ana IQ kubwa kuliko Obama na G.W.Bush.

Pia juzi iyo alihamisi alisema ana IQ kubwa kuliko secretary of state - Rex tillerson's na pia ana IQ kuliko mtangazaji mkubwa wa CNN Joh stewart (mara yingi huyu jamaa akuwa taarifa ya habari ya asubuhi huku kwetu inaonyeswa saa 2 au saa 3 CAPITAL TV) Doctor alimfanyia Trump IQ test anaitwa Dr.perry aliulizwa aliki hakujibu trump ana IQ ya ngapi lakini alisema amepata alama ndogo kwenye test kuhusu Emmotional intelligent, cognitive style, vision na organisational capacity.

G washington - IQ 130
Abraham lincoln - IQ 140
John f. Kennedy - IQ 119
Jimmy carter - IQ 153
G.W. Bush - IQ 138
Obama - IQ 130

IQ Trump haijulikani mpaka saivi wengi wanasema wenda ikawa kuanzia 150 kwenda juu

MY NOTE:
Hivi na sisi hatuwezi kuwa na taarifa za IQ za maraisi wetu na viongozi wa juu?
 
Itakuwa ndogo kwa nini wafanye siri?
 
huyu atakuwa nayo ndogo ndio maana wamefanya siri. wakimwanika watakuwa wamemvunjia heshima kiongozi mkuu wa nchi.
 
Wabongo wengi IQ double digits

Maraisi ukimtoa nyerere wengine wote single digit

Kweli bhana au decimal point kabisa...tz ya viwonder,vita ya maliasili zetu mara gas mara bombier bado fly over mara SGR na sasa mafuta...no wonder IQ=SINGLE DIGIT.
 
Hii kitu huwa inapimwaje? Nilisikia Guiness walipiga chini upimaji wa IQ
 
Hahahaha mbona kim alisha sema kuwa Trump ni mtu aliyechanganyikiwa!!
 
Jinga hilo hata kutamka Tanzania lilishindwa juzi lika make up eti kuna nchi ya africa inaitwa Nambia...najua utadhani alimaaisha namibia hakuna kitu kama unafatilia issue zake ni kwamba alishakwenda bankrupt mara 11,chuo chake cha trump university kilipigwa fine kwa kutoa degree fake,soon very soon Robert Mueller ataangusha bomb kubwa sana kuhusu shady deals za Trump na Oligarchs wa Russia,remember kwenye debate Hillary aliongelea kuhusu jamaa kurelease tax return yake akasema akishinda atatoa?kimya hawezi sababu hata hiyo claim kwamba he is worth 5 billlion dollars ni uongo,that guy is dumb,hana knowledge kichwani ,ni debe tupu kabisa lisilojua dunia inaendaje
Ndiyo maana anakazania sana vita na korea kuuuua soooo la Mueller kwa sababu nuclear war ikianza kutakuwa hakuna ujanja zaidi ya kusupport his orange ass
 
Back
Top Bottom