Tetesi: Wenda ikawa Trump ana IQ kubwa kuliko Obama na G.W.Bush

Tetesi: Wenda ikawa Trump ana IQ kubwa kuliko Obama na G.W.Bush

huyu atakuwa nayo ndogo ndio maana wamefanya siri. wakimwanika watakuwa wamemvunjia heshima kiongozi mkuu wa nchi.

Kwajinsi liberal wanavyopenda kumuacha uchi nadhani ana IQ kubwa ndo maana wameona wakiiweka wazi watizidi kumpaisha, Fake news is every where around trump. Jamaa ukiangalia documentary ya PBS inayoitwa Trump_s_Road_to_the_White_House_(full_film)___FRONTLINE utagundua kuwa jamaa anauwezo mkubwa sana na alijua mapema wapi pakuwashika middle class unlike Hillary and democrat.
 
Huko USA gumzo ni kuhusu IQ ya mzee mzima D.J.Trump, Trump juzi alihamisi alifanyiwa interview na jarida la forbes moja ya kitu kilichokua gumzo kwenye iyo interview yake ni kuhusiana IQ yake inasemekana mwaka 2013 trump alisema ana IQ kubwa kuliko Obama na G.W.Bush.

Pia juzi iyo alihamisi alisema ana IQ kubwa kuliko secretary of state - Rex tillerson's na pia ana IQ kuliko mtangazaji mkubwa wa CNN Joh stewart (mara yingi huyu jamaa akuwa taarifa ya habari ya asubuhi huku kwetu inaonyeswa saa 2 au saa 3 CAPITAL TV) Doctor alimfanyia Trump IQ test anaitwa Dr.perry aliulizwa aliki hakujibu trump ana IQ ya ngapi lakini alisema amepata alama ndogo kwenye test kuhusu Emmotional intelligent, cognitive style, vision na organisational capacity.

G washington - IQ 130
Abraham lincoln - IQ 140
John f. Kennedy - IQ 119
Jimmy carter - IQ 153
G.W. Bush - IQ 138
Obama - IQ 130

IQ Trump haijulikani mpaka saivi wengi wanasema wenda ikawa kuanzia 150 kwenda juu

MY NOTE:
Hivi na sisi hatuwezi kuwa na taarifa za IQ za maraisi wetu na viongozi wa juu?
Tuanzie na IQ yako kwanza maana hilo neno 'wenda" sijajua maana yake!
 
huku kwetu bora isifanyike maana unaweza kukuta kiongozi si single digit tu bali pia tukaja kushauriwa kiumbe apelekwe milembe. .
 
IQ hamna kitu cheki mambo na maamzi ya Jimmy Carter utagundua ni ya hovyo kuliko wenye IQ chini yake kama vile Lincoln na G Washington, JF Kennedy n.k
 
Km wamempima basi kwa hakika kabisa wamekutana na matokeo ambayo hawakuyatarajia. Trump atakuwa na IQ kuliko hao wote uliowataja ndo maana wamefanya siri. Wanaona wakisema hadharani itakuwa aibu kwa wanaomponda!!!
 
IQ kama kipimo cha akili ni mazungumzo fulani ya watu fulani wasio na elimu ya mambo ya brain science na clinical psychology.

Stephen Hawkings alisema people who brag about IQ are losers.

Intelligent people ought to have real accomplishment to show for their intelligence, show me a book with bright ideas, policies set, businesses established, legacy etc.
 
Jinga hilo hata kutamka Tanzania lilishindwa juzi lika make up eti kuna nchi ya africa inaitwa Nambia...najua utadhani alimaaisha namibia hakuna kitu kama unafatilia issue zake ni kwamba alishakwenda bankrupt mara 11,chuo chake cha trump university kilipigwa fine kwa kutoa degree fake,soon very soon Robert Mueller ataangusha bomb kubwa sana kuhusu shady deals za Trump na Oligarchs wa Russia,remember kwenye debate Hillary aliongelea kuhusu jamaa kurelease tax return yake akasema akishinda atatoa?kimya hawezi sababu hata hiyo claim kwamba he is worth 5 billlion dollars ni uongo,that guy is dumb,hana knowledge kichwani ,ni debe tupu kabisa lisilojua dunia inaendaje
Ndiyo maana anakazania sana vita na korea kuuuua soooo la Mueller kwa sababu nuclear war ikianza kutakuwa hakuna ujanja zaidi ya kusupport his orange ass

wabongo bana

unae muita mjinga kachaguliwa na watu wengi kuliko watu wote wa nchi uliyozaliwa ukijumlisha na burundi.....

unayemuita mjinga ana hela nyingi kuliko generation zote za ukoo wenu pamoja na wa mke wako hata muunganishe hela zetu bado hata 10pc ya hela zake hamfikii

unaye muita mjinga ni kiongozi mkubwa kuliko wote duniani

unaye muita mjinga ndio taifa lake limewapa msaada juzi

unayemuita mjinga kamzidi baba yako akili sasa jiulize kama mjinga anaye mzidi baba yako akili baba yako yukoje
 
Interesting kwa kweli.....wanapimaje IQ na vipimo gani wanatumia?
 
Back
Top Bottom