Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,718
- 3,488
Nyingi sana hizo Mkuu...Huyu wetu atakuwa na IQ 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi sana hizo Mkuu...Huyu wetu atakuwa na IQ 10
Nakubaliana na bwana Stephen.IQ kama kipimo cha akili ni mazungumzo fulani ya watu fulani wasio na elimu ya mambo ya brain science na clinical psychology.
Stephen Hawkings alisema people who brag about IQ are losers.
Intelligent people ought to have real accomplishment to show for their intelligence, show me a book with bright ideas, policies set, businesses established, legacy etc.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] heshima kwako mkuu Root [emoji122]wabongo bana
unae muita mjinga kachaguliwa na watu wengi kuliko watu wote wa nchi uliyozaliwa ukijumlisha na burundi.....
unayemuita mjinga ana hela nyingi kuliko generation zote za ukoo wenu pamoja na wa mke wako hata muunganishe hela zetu bado hata 10pc ya hela zake hamfikii
unaye muita mjinga ni kiongozi mkubwa kuliko wote duniani
unaye muita mjinga ndio taifa lake limewapa msaada juzi
unayemuita mjinga kamzidi baba yako akili sasa jiulize kama mjinga anaye mzidi baba yako akili baba yako yukoje
Mtaje nani huyoMnyatuzu Mdosho Iq Yake Iko Kwenye Negatives
Huyo wa kill mind?kevin isaya, Kwani Humjui Anaeswaga Misukule Badala Ya Watu?
Huogopi Nissan nyeupe?Wetu sijui kama IQ 30 kafikisha
[emoji275] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Huogopi Nissan nyeupe?