Wengi bila kujijua tunaishi maisha yenye hatari "cursed life"

Wengi bila kujijua tunaishi maisha yenye hatari "cursed life"

Mpigamimba

Senior Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
198
Reaction score
237
Kwanza nifafanue kased life ni ipi.

Kwa kizungu .. inaitwa cursed life.
Ni Hali ya kuwa na bahati mbaya maishani mwako. Wengi hawaijui hii. Nitoe uzoefu kidogo. Kwa wale wagumu kuunganisha dot..
Screenshot_20221203-174315.jpg

Screenshot_20221203-174351.jpg



Perspective yangu inakwenda kwenye mahusiano baina ya mwanamke wa mtu na wanae.


Ambapo baadae husababisha watoto kuwa cursed.

Hii hali wakinamama wengi wanasababisha watoto wao kuishi maisha ya hatari.kuwa cursed ni hatari inayosababishwa na wazazi wengi.

Aidha wazazi wanajua au wanarahisisha fedha wanazozipokea kutoka Kwa walio na mahusiano nao baadae husababisha kutia shaka Kwa mwenza bbf wake. Cha ajabu siku za usoni wanawake hawa huweka pembeni nia njema ya aliyewwkeana nae mkataba wa kimahusiano.

mwanamke huyu mwenye familia anayoilisha jasho na anajua kuwa amefanya hivyo hupelekea kuwafanya watoto waishi maisha yenye hatari kubwa.

Ni namna gani watoto ama watu wanaishi maisha yenye laana?

Wanaume wengi wanaishi na kinyomgo na manung'uniko moyoni.

Nimeish na mwanamke ambaye alikuwa anajua kila analofanya. Nimeshangaa Sana anakuja baadae ananipotezea.

Huyu kama aliweza kuniomba niwe karb na watoto wake Kwa ajili ya msaada wa karb nimejikuta nawahurumia watoto
 
Hii hali wakinamama wengi wanasababisha watoto wao kuishi maisha ya hatari.kuwa cursed ni hatari inayosababishwa na wazazi wengi.

Aidha wazazi wanajua au wanarahisisha fedha wanazozipokea kutoka Kwa walio na mahusiano nao baadae husababisha kutia shaka Kwa mwenza bbf wake. Cha ajabu siku za usoni wanawake hawa huweka pembeni nia njema ya aliyewwkeana nae mkataba wa kimahusiano.

mwanamke huyu mwenye familia anayoilisha jasho na anajua kuwa amefanya hivyo hupelekea kuwafanya watoto waishi maisha yenye hatari kubwa.

Ni namna gani watoto ama watu wanaishi maisha yenye laana?

Wanaume wengi wanaishi na kinyomgo na manung'uniko moyoni.

Nimeish na mwanamke ambaye alikuwa anajua kila analofanya. Nimeshangaa Sana anakuja baadae ananipotezea.

Huyu kama aliweza kuniomba niwe karb na watoto wake Kwa ajili ya msaada wa karb nimejikuta nawahurumia watoto
Sijaelewa kitu aisee!

Kwa kifupi sana, wakinamama wanasababishaje watoto wao waishi hii unayoita "cursed life?"
 
Sijaelewa kitu aisee!

Kwa kifupi sana, wakinamama wanasababishaje watoto wao waishi hii unayoita "cursed life?"
Umeelewa mkuu.

Naomba nikupe mfano mmoja kama umepitia au umeona unanielewa.

Mtoto aliyelelewa na mama na babaake kama wajibu wa mzazi wanaishi Kwa shida za kawaida za kibinadam lakini watoto waliolelewa na Mtu baki Kwa Kwa ka saada ka mchepuko, ndgu baki hali ya maisha ya Watoto wa Msaada wanaishi maisha yenye nguvu isiyoeleweka, wanataabika, hawaishi Kwa amani Kwa namna yoyote Ile.
 
Hii hali wakinamama wengi wanasababisha watoto wao kuishi maisha ya hatari.kuwa cursed ni hatari inayosababishwa na wazazi wengi.

Aidha wazazi wanajua au wanarahisisha fedha wanazozipokea kutoka Kwa walio na mahusiano nao baadae husababisha kutia shaka Kwa mwenza bbf wake. Cha ajabu siku za usoni wanawake hawa huweka pembeni nia njema ya aliyewwkeana nae mkataba wa kimahusiano.

mwanamke huyu mwenye familia anayoilisha jasho na anajua kuwa amefanya hivyo hupelekea kuwafanya watoto waishi maisha yenye hatari kubwa.

Ni namna gani watoto ama watu wanaishi maisha yenye laana?

Wanaume wengi wanaishi na kinyomgo na manung'uniko moyoni.

Nimeish na mwanamke ambaye alikuwa anajua kila analofanya. Nimeshangaa Sana anakuja baadae ananipotezea.

Huyu kama aliweza kuniomba niwe karb na watoto wake Kwa ajili ya msaada wa karb nimejikuta nawahurumia watoto
Duu! Kajifunze kuandika kwanza hujaeleweka hata kidogo mkuu!!
 
Nilienda mbali zaid hapa kwenye mahusiano kw mfano mwanamke anapata pesa iliyopita mokononi mwa mwanaume baki tuite Kwa dangia akapata mahitaji. Hii kitu inawaumiza kizazi Chao bila kujua
 
Huenda una kitu ila jaribu kupanga hoja zako vyema, binafsi sijakuelewa kabisa.
 
laana nyingi sana huja kwa njia ya ngono, kuna watu watabisha hapa. acheni uzinzi.
 
Back
Top Bottom