Wengi hawayajui haya kuhusu Tupac Omar Shakur (2pac)

Wengi hawayajui haya kuhusu Tupac Omar Shakur (2pac)

Ukweli mie hupenda sana mtu atueleze kuhusu masuala ya maendeleo yetu kama nchi na jinsi yanavotuathiri sisi watanzania na kama kuna maeneo ya kujirekebisha tufanyeje. Lkn wkt mwingi nashangaa watu wengine wanaleta mada za wamarekani wavuta bangi waliouana huko na kwa jinsi gani walivuta bangi zao wakapigana risasi na kuuana. Sasa haya mambo ya kishenzi yanatusaidiaje sisi katika maisha yetu huku? Naamini haya ni mambo ya kuiga maana hata mtoa mada katika ukoo wao naamini Tupac hukuwah kumwona na ukwel ni kwamba hakujui na hata ndugu zake hawakuelewi wewe ulieko sijuo wap huko. Na kama ungekujua inakusaidiaje wewe?? Naomba tutumie akili zetu vizuri kwa maendeleo yetu jaman watanzania. Kaa fikiria kabla ya kuandikia
Sasa ulifikaje kujadili hapa ??
 
Ukweli mie hupenda sana mtu atueleze kuhusu masuala ya maendeleo yetu kama nchi na jinsi yanavotuathiri sisi watanzania na kama kuna maeneo ya kujirekebisha tufanyeje. Lkn wkt mwingi nashangaa watu wengine wanaleta mada za wamarekani wavuta bangi waliouana huko na kwa jinsi gani walivuta bangi zao wakapigana risasi na kuuana. Sasa haya mambo ya kishenzi yanatusaidiaje sisi katika maisha yetu huku? Naamini haya ni mambo ya kuiga maana hata mtoa mada katika ukoo wao naamini Tupac hukuwah kumwona na ukwel ni kwamba hakujui na hata ndugu zake hawakuelewi wewe ulieko sijuo wap huko. Na kama ungekujua inakusaidiaje wewe?? Naomba tutumie akili zetu vizuri kwa maendeleo yetu jaman watanzania. Kaa fikiria kabla ya kuandikia

It's called freedom of expression.
Ndio maana hapa JF kuna topics za humor, politics, leisure, love, education, economic affairs etc
Hivyo unaweza kuchangia kwenye jukwaa of your choice
 
I get around on my block and still balling until the end of time, but it ain't easy for real.

All eyes on me, and really the street fame made me G.

I keep my head up cuz it's always me against the world.

Hey hommies, let's stop tradin war stories no more cuz it gonna erupt teardrops and closed caskets on block. Let's do it for love.

This is strictly to my niggas out there. Life goes on.

-Kaveli-
 
Pia ongezea godfather wake ni mtanzania from Arusha. Geranimmo Pratt alikufa na akazikwa Arusha taarifa zilitangazwa ktk mitandao ya ma blacks mwaka Jana kama sikosei.
Personal bodyguard wake alikuwa anaitwaFRANK WHITE ( don't confuse with bigs the then nick name).
2pac ameshiriki ktk civil right kwa kipindi chake kuraise awareness kwa mablacks.

Mama yake alikuwa ktk list ya wanted in USA gvt.

Aliingia ktk bifu na dre kuhusu nyimbo ya California .
Siku ya kupigwa risasi alivaa cheni ya ajab according to Frank white ilikuwa yenye picha ya black angel of death.
 
Alietoa post sina huakika sana kama anamfahamu Tupac -2pac that much KAMA kashindwa tu kumtambua Kwa jina la LESANE PARISH CROOKS

734a81ad7a8b727a4c84440980cf1751.jpg


USHAHID TOSHA
13a59649c57ebf19f894f40336e21576.jpg


2 pac faked his own Death He knew Everything about his death that Atakufa kwa kupigwa Risasi And he will return - from where!!? wew ulishaga ona mtu anajua Everything how he will end up.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] Suge Anatoa prove kabisa kwamba Tupac omar shakur amedanganya kifo chake And there's so many videos showing up Tupac still alive... Ila mm sio Mungu msini judge jaman
 


1. Alipouawa, mwili wake uliteketezwa kwa moto (kwa mujibu wa tamaduni zao), cha ajabu wafuasi wake wa "outlaws" walichukua majivu yake, wakachanganya na bangi na kuvuta!

2.Neno lake la mwisho kulisema kabla ya kifo chake ni neon "F*ck you!" alilomuambia askari aliyemuuliza ni nini kilikuwa kimemtokea

3.kinywaji alichokipenda zaid tupac kilikuwa Fanta orange. Alishawahi kuwafukuza badhi ya wafuasi wake nyumbani kwake kwa sababu eti walikuwa wanammalizia soda zake!

4.Akiwa mtoto mdogo akimkosea mama yake, alikuwa akipewa gazeti la new york times alisome mbele ya mama yake!

5.Licha ya kuwa mwanafamilia nguli wa "west coast", cha kushangaza ni kwamba, tupac alizaliwa new york ambako ni east coast!

6. Alishakuwa na uhusiano na msanii Madonna uhusiano ambao ulivunjika kutokana na tupac kukashfiwa na watu weusi eti ni kwa nini awe na mpenzi mzungu!

7.Kwa mujibu wa gazeti la times, mahasimu wa tupac B.I.G na P.diddy walijua kuwa tupac angeuawa wiki moja kabla madai ambayo yalikanushwa na FBI. Meneja wa tupac suge knight pia ameshawahi kuhusishwa na kifo cha msanii huyu nguli wa hiphop!

8.Aliandika wimbo wa dear mama akiwa jela. mama yake alishawahi kufungwa jela pia!

9.Kwenye wimbo wake wa "me and my girlfriend" anchozungumzia ni bunduki yake na si mpenzi wake kama inavyojulikana

10.Alijaribu maisha ya jela kabla hajazaliwa kwani mama yake alifungwa akiwa na ujauzito wa tupac. Alifungwa kwa tuhuma za ulipuaji wa mabomu na makosa kadhaa ya jinai!
asante sana bigphil......it has been long tym brother
 
Movie msiitegemee sana, atleast angalia hata documentary yake.. Resurrection
Hii documentary umenikumbusha kitambo.

Wasiowahi kuiangalia, mkipata muda iangalieni.

Hutoweza kujuta
 
Tupac inasemecana yupo Cuba, ilitengezwa issues kuwa auwawe, kama unavyo sema afe kabla week ilio pita, fbi ndio walio suka mchezo wa kum disapia, mara ya mwisho alionekwa Cuba wakati America inafungua uhusiano nchi hizo..
Usipoteze muda wako kuamini uzushi.

Ukweli ni kwamba, Tupac ametutoka, na hayuko nasi tena hapa Duniani
 
Ukweli mie hupenda sana mtu atueleze kuhusu masuala ya maendeleo yetu kama nchi na jinsi yanavotuathiri sisi watanzania na kama kuna maeneo ya kujirekebisha tufanyeje. Lkn wkt mwingi nashangaa watu wengine wanaleta mada za wamarekani wavuta bangi waliouana huko na kwa jinsi gani walivuta bangi zao wakapigana risasi na kuuana. Sasa haya mambo ya kishenzi yanatusaidiaje sisi katika maisha yetu huku? Naamini haya ni mambo ya kuiga maana hata mtoa mada katika ukoo wao naamini Tupac hukuwah kumwona na ukwel ni kwamba hakujui na hata ndugu zake hawakuelewi wewe ulieko sijuo wap huko. Na kama ungekujua inakusaidiaje wewe?? Naomba tutumie akili zetu vizuri kwa maendeleo yetu jaman watanzania. Kaa fikiria kabla ya kuandikia
Ndio maana kuna majukwaa ya kujadili hayo mambo uliyoyataja.

Hapa, tuko jukwaa husika (sahihi), linalohusiana na tunayoyajadili.

Sasa unataka kila jukwaa tujadili hayo masuala unayoyataka wewe!

Kama unaona haya ni mambo ya kishenzi, basi wewe ungekausha, ukatuachia sisi washenzi tuendelee na mambo yetu ya kishenzi.

Pilipili iko shamba wewe inakuwashia nini?
 
Kwa kweli.
Sema kuna uzushi ulienea ya kuwa PAC, ameacha Mtoto wa Kike alizaa na yule msanii wa zamani wa Kike wa miondoko ya kufokafoka kwa jina msanii mwenyewe wa kuitwa YOYO.

Ila ni uzushi, si kweli.

Tupac hakuacha Mtoto
 
Sema kuna uzushi ulienea ya kuwa PAC, ameacha Mtoto wa Kike alizaa na yule msanii wa zamani Kike wa miondoko ya kufokafoka kwa jina msanii mwenyewe wa kuitwa YOYO.

Ila ni uzushi, si kweli.

Tupac hakuacha Mtoto
AngeachA Mtoto wamarekani walivyo wahuni wangeshampima DNA au hata mwonekano si unaonyesha tuu. Huo ni uongo.
 
AngeachA Mtoto wamarekani walivyo wahuni wangeshampima DNA au hata mwonekano si unaonyesha tuu. Huo ni uongo.
Tena Mtu Maarufu kama yule, ambae anatambulika Ulimwenguni kote, ingeshajulikana.

Ujue kuna baadhi ya Watu wanatafuta kila mbinu kupitia Watu maarufu ili wauze Habari, hata Habari ikiwa ya uzushi Mtu yuko tayari kuirusha.

Hebu tupate ushahidi kamili kutoka kwa Tupac mwenyewe, kwa maneno yake mwenyewe, kuonesha kuwa hakuwa tayari kuacha kiumbe (Mtoto) hapa Ulimwenguni, mpaka siku anaiga Dunia/anauacha huu Ulimwengu kutoka kwenye Kibao chake cha kuitwa Hell for a Hustla.

Kibao nakidondoshea hapo chini:-
 
Back
Top Bottom