Wengi hawayajui haya kuhusu Tupac Omar Shakur (2pac)

Habari zinasema kuwa ni washkaji wa BIG ndio waliomuua Tupac.

Ila mpaka leo hii Watu weusi na watafiti wengi wanasema waliomuua ni wazungu ambao hawakufurahishwa na lifestyle ya Tupac.
Kifo cha Tupac kimekuwa na utata na kimeleta gumzo kubwa.

Kuna baadhi ya Watu wanasema, marehemu KADAFI alikuwa akiwafahamu wauaji wa Tupac, sababu yeye KADAFI alikuwa na Tupac, pamoja na Suge Knight mpaka dakika ya mwisho, alishuhudia lilipotokea tukio la kumwagiwa Risasi Marehemu Tupac.

Na marehemu KADAFI aliahidi kuwataja wauaji wa Tupac atakapoenda kwenye mahojiano na wanaUsalama, kitu ambacho baada ya kusikika KADAFI kuwa atawataja wauaji wa marehemu Tupac, ili kupoteza ushahidi ikabidi KADAFI nae auliwe.

Na cha ajabu zaidi KADAFI aliuawa kwa Risasi, miezi miwili tu baada ya kifo cha Tupac
 
Kosa kubwa alilofanya kugonga dem wa mshkaji kisha kuimba na kujisifu katika wimbo wake wa Hit em all, naamini kabisa ndio ilisababisha kifo chake, na kama ni kweli (kwa mujibu wa mawazo yangu) basi alistahili kile kifo
Hit 'em up.


 
Baada ya hili/hilo tukio Biggie akaja kihivi:-

 
Mkuu Tupac ana Baba wawili,na Baba wa ukweli yupo jela hadi leo baba mlezi na wa ukweli wote ni weusi hakuna mtu mweusi wa marekani ambae hakutoka africa ukiwa na hela unatrace ancestors wako wote unawapat
Baba yake halisi Tupac hakuwa na asili ya Mexico ? Ukimwangalia vizuri Tupac ana umexico fulani hivi
 
Hapo kwenye dear mama umedanganya... Album ya me against the world ilitoka pac akiwa anaenda kutumikia kifungo... Na dear mama ipo kwenye hiyo album.
 
Pia huyo mtu aliepigwa na tupac alikua na connection na p diddy so hii inaonyesha ni mchezo kabisa ulipangwa. Ila mimi ndoto zangu nisikie diddy nae wamempiga shaba maana jamaa namchukia sana nahisi ata utajiiri wake ni wasadaka za binadamu wenzie.


huyu K siku akijichanganya aje Africa tu tunamla kisamvu
 
Kwenye ubovu wa hiyo movie nakuunga mkono,nina wasiwasi ntakua disappointed.
 
huyu K siku akijichanganya aje Africa tu tunamla kisamvu
Ningelikua na kaa huko majuu ningefanya njama walau na yeye ni mfanye marehemu.
Huyu mbuzi sijui anajiskiaje yani pia nina wasiwasi na CIA maana wamarekani nina hakika walikua hawafurahishwi na kitendo cha tupac kuwa maarufu. Na kwa kutumia media zao naona walichangia kukuza huu mzozo.
Ila afterall black wana run the world watake wasitake mwafrika yuko juu. Athletes, Waigizaji, wanasiasa, na wanamuziki kibao iwe rnb, hp hop, rock n.k
 
Mkuu Tupac ana Baba wawili,na Baba wa ukweli yupo jela hadi leo baba mlezi na wa ukweli wote ni weusi hakuna mtu mweusi wa marekani ambae hakutoka africa ukiwa na hela unatrace ancestors wako wote unawapat
Wrong baba aliopo jela ni Muturu Shakur baba yake wa kambo ambaye ni baba wa mopreme. mshua wa pac yupo anaitwa Bill Garland ana miaka 61 na watoto Sita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…