Wengi hawayajui haya

Wengi hawayajui haya

Haya kwa bibi kule yanaitwa makilaume ,,,,,,,,unalichoma then unatoa ganda unaunga kitu thamaki(mapere) au yaungwe kwenye mlenda kwa bibi tunaita mthele "" na ibada
 
mi najua ni matunda, kwetu tunayanyonya haya, natunaita matunda damu
Matunda damu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent from my SM-N910X using JamiiForums mobile app
 
Haya matunda ni mengi sana huko maeneo ya uwemba njombe na hua tunaita matunda damu.

Ina maana haya matunda kuna sehem wanayaweka kwenye mboga?au kuyachoma na kuyatumia kama mboga?nilikua sijui kabisa.
 
8ae87a7cd3d5bc282fc764af5f85a899.jpg
Labda wa.....e wa Dar...[emoji12]
 
Haya vuga kule tunayaita maklaume.. au maghogwe..
Haya unayapikia ule mlenda wa unga 'msele' halafu ukalia 'bada'..
mate yashanijaa apa
 
Haya matunda ni moja ya mimea inayotoweka. Inabidi tupate mbegu zake. Kwetu yanaitwa BITOMASI. They are sour, but rich in Vitamin C halafu ni kiungo kama limau but for the kids we used to steal them from the people's farms on the way from school. Thanks Mshana ila tutumie mbegu tuweze kupreserve othewise it is one of the extinct plant.
 
Haya kwa bibi kule yanaitwa makilaume ,,,,,,,,unalichoma then unatoa ganda unaunga kitu thamaki(mapere) au yaungwe kwenye mlenda kwa bibi tunaita mthele "" na ibada
Ipere thi kindu..kindu ni mshombe.....dah umenkumbusha mbali kijijini bada na msele,samaki au na maziwa mgando machachuu... Maisha yalikuwa murua kwa kweli
 
Haya matunda ni mengi sana huko maeneo ya uwemba njombe na hua tunaita matunda damu.

Ina maana haya matunda kuna sehem wanayaweka kwenye mboga?au kuyachoma na kuyatumia kama mboga?nilikua sijui kabisa.
Yeah ni tunda lakin sehem nyingne linatumika kama m'badala wa nyanya...na huwa linaota kwenye miti midogo isiyo mirefu....
 
Back
Top Bottom