Wengi humu tulipingwa kuhusu madhila haya

Wengi humu tulipingwa kuhusu madhila haya

Pac the Don

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
6,170
Reaction score
7,710
Sasa leo wameanza kukiri waenyewe tena wazi wazi kabisa, mwanzoni tuliambiwa sijui wanajiteka wenyewe mara walikua mafisadi.

--
“Wakati wa serikali ya awamu ya tano,tulilalamika hata Bungeni nilizungumza,watu walikuwa wanatoka huko Ikulu wanasema ni maelekezo ya Rais,unakamatwa unanyang'anywa pesa watu wamepigwa,wamefanywa chochote.Lakini leo watu wana uhuru,utaacha kusema anaupiga mwingi?" Mhe. Msukuma

Screenshot_20221121-091553.png
 
Huyu Bashiru ni wa kurudishwa kwao Rwanda mara moja.

Magufuli alitaka kuwaingiza bahima wenzake kwenye system kama walivyoingia kina Kagame kwenye system ya Uganda na General Kaberebe kwenye system ya Congo ili waje kuitawala Tanzania na kusumbua kama wanavyosumbua East Congo.

Huyu ni kuchukua tu uraia wake na kumrudisha kwao Rwanda wana roho mbaya na uchu sana wa madaraka hawa
 
Ukweli kutoka moyoni, nikiona au kusikia mtu anashabikia hichi chama CCM, nahisi kabisa kuna vichembechembe vya unafiki, wizi, uzandiki na matatizo fulani fulani ambayo inabidi yaandikwe hapa kwa lugha za kidaktari, kwakweli sijawahi ielewa CCM.
 
Huyu Bashiru ni wa kurudishwa kwao Rwanda mara moja.

Magufuli alitaka kuwaingiza bahima wenzake kwenye system kama walivyoingia kina Kagame kwenye system ya Uganda na General Kaberebe kwenye system ya Congo ili waje kuitawala Tanzania na kusumbua kama wanavyosumbua East Congo.

Huyu ni kuchukua tu uraia wake na kumrudisha kwao Rwanda wana roho mbaya na uchu sana wa madaraka hawa
Sawa tunakupa kazi wewe mkamate umrudishe huko kwao Rwanda!
 
Huyu Bashiru ni wa kurudishwa kwao Rwanda mara moja.

Magufuli alitaka kuwaingiza bahima wenzake kwenye system kama walivyoingia kina Kagame kwenye system ya Uganda na General Kaberebe kwenye system ya Congo ili waje kuitawala Tanzania na kusumbua kama wanavyosumbua East Congo.

Huyu ni kuchukua tu uraia wake na kumrudisha kwao Rwanda wana roho mbaya na uchu sana wa madaraka hawa
Kawagusa kwenye nyeti sasa kurukaruka ni endelevu.

Hakupoi
Hakutulii
 
Sasa leo wameanza kukiri waenyewe tena wazi wazi kabisa, mwanzoni tuliambiwa sijui wanajiteka wenyewe mara walikua mafisadi.

--
“Wakati wa serikali ya awamu ya tano,tulilalamika hata Bungeni nilizungumza,watu walikuwa wanatoka huko Ikulu wanasema ni maelekezo ya Rais,unakamatwa unanyang'anywa pesa watu wamepigwa,wamefanywa chochote.Lakini leo watu wana uhuru,utaacha kusema anaupiga mwingi?" Mhe. Msukuma

View attachment 2422837
CCM Chama cha Mapimbi.
 
Back
Top Bottom