Wengi msimshangae Ali Kiba, hakuna mtu anayempenda Diamond kama Ali Kiba

Kiba ni mwimbaji mzuri tu....dai ni mbunifu zaidi ya kiba........
 
Fikiria upya
 
Mkafanye PRESS CONFERENCE basi au sio mleta mada ili uma wa watanzania ujue akiwemo nasibu na ali pia ...mana sidhan kama huku jamii forum they can waste their time kufatilia hizi thread
 
Jamaa bravo. Good analysis.
 
Uzi huu ungekuwa mzuri tungejua kwanza timu kiba na timu mondi
 
Nafurahia sana mambo haya...

Mnalazimisha kugombana na kiba halaf yy hana time

Mnatoa nyimbo mnavyotaka lakin yy yupo kimya

Mnamlazimisha aongee halafu yy anaingia studio na kuwaambia Kama vip Aje

Mnatengeneza skendo zenu na mademu wenu yy anacheza gofu gymkana.... Msilazimishe ugomvi maana kiba hana ugomvi na mtu
 
.
.....maneno ya domo aka chaijaba ayo Leo kasahau anasema yaishe..kingne kiba anauza mziki wake Sony,dizzer, na blog zingne zaid Ya 750 dunianai kote xo atuwez uza nyimbo zetu kwenye ka blog uchwara ka uko tandale....
 
Sijawah kusikia kiba akiongea maneno ya mipasho juu ya diamond zaid ya jamaa (diamond) kumpaka jamaa,akachuku dancers wake,akampaka jamaa pamoja na familia kwa ujumla!,ndio jamaa anatakiwa kusamehe ila msamaha wa kweli lazma mhusika awe na utayari so lets wait!
 
Ukweli ni huu:
Kiba ni kama mwanamke mrembo sana,anayeamini urembo wake unambeba hivyo hana haja ya kujituma sana akiwa na mumewe!Mumewe anaridhika na urembo wake japo kama angejituma kwa juhudi basi ingekuwa balaa!

Diamond ni kama mwanamke ambaye yuko katikati,sio mbaya wala sio mrembo!Hivyo anaamini kuendelea kumuweka mumewe ndani ni kwa kujituma kwa juhudi zote na kuwa mnyenyekevu kwa mumewe!Mumewe anajikuta anaridhika na hilo na kudumisha ndoa maradufu!

Sijui umeelewa???
 

mm nlijua we mtu mzima na akili zako kumbe naz tupu
 
Mkuu umeongea vizur mno...
 
Mkuu unajua kiba akifanya show dk 40 analipwaje? Ni hela ambayo wengi wetu humu tunaitafuta kwa miezi kadhaa kama sio miaka, kwahiyo ushaur wangu kwako jitahidi utafute njia na wewe kama hizo za kiba ili utengeneze mtonyo, pambana m
inakula sh ngap?
 
Samahani mkuu naomba unieleweshe sasa utegemezi wa Kiba kwa Diamond na ingekua vema ukaniambia kaanza lini utegemezi huo.
Itakuwa kwel uzee unakunyemelea mkuu pole San a kama hutamvui umuhimu Wa chibu kwa kiba na kiba kwa chibu

Nimesoma vizuri post ila ninachoelewa Kiba yupo muda sasa tena ameshafanya hit song kibao kabla hata hajaanza uyu Diamond na Alli ana fan base yake hata alipopumzika kufanya ngoma bado fan base yake ilikua pale naomba unipe kwa kina nini ambacho Kiba anakifanya kwa msaada wa Diamond na hakuwahi kukifanya.
Soma vizuri post
 
Endelea kuota ndoto huku umechutama mwenzio anapiga shoo chalinze ya marekani na watoto wake wanaenda chooni sasa wewe unaeandika ukiwa tumbo wazi komaza vidole kwa kuchangia JF
 
Usijibizane na hao watoto wanaotumia mgongo wa Diamond kutangaza biashara zao za vest na suruali Instagram kila siku wanatusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…