Wengi msimshangae Ali Kiba, hakuna mtu anayempenda Diamond kama Ali Kiba

Tatizo wameanza kufatilia mziki kipindi cha kina sam wa ukweli na yule aliimba ulofa sijui nani, lakini kwa sisi wahenga wa mziki tunaamini kiba anafanya yeye kama yeye na hafanyi kiushindani Ndio maana chibu anaweza toa nyimbo tano kwa mwaka kiba akatoa mmoja tu. Sasa hapo anatembelea nyota ya diamond kivipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…