Wengi msimshangae Ali Kiba, hakuna mtu anayempenda Diamond kama Ali Kiba

Wengi msimshangae Ali Kiba, hakuna mtu anayempenda Diamond kama Ali Kiba

Yani unasema alikiba anategemea mbeleko ya diamond.Hivi alikiba alishafanya hit song ngapi kabla ya diamond
 
hii nisawa na chadema wanavyotengeneza kiki kupitia vyeti vya makonda. wakati wanajua wazi hakuna ujinga kama huo wa gwajima.
 
Ukweli ni huu:
Kiba ni kama mwanamke mrembo sana,anayeamini urembo wake unambeba hivyo hana haja ya kujituma sana akiwa na mumewe!Mumewe anaridhika na urembo wake japo kama angejituma kwa juhudi basi ingekuwa balaa!

Diamond ni kama mwanamke ambaye yuko katikati,sio mbaya wala sio mrembo!Hivyo anaamini kuendelea kumuweka mumewe ndani ni kwa kujituma kwa juhudi zote na kuwa mnyenyekevu kwa mumewe!Mumewe anajikuta anaridhika na hilo na kudumisha ndoa maradufu!

Sijui umeelewa???
Umeeleza vyema!
Lakini wakati mwingine usijaribu kutumia Mfano wa namna hiyo (Mfano wa kubadilisha njisia).
 
1e9434148d0abd3fe34016daa68a58aa.jpg
.
.....maneno ya domo aka chaijaba ayo Leo kasahau anasema yaishe..kingne kiba anauza mziki wake Sony,dizzer, na blog zingne zaid Ya 750 dunianai kote xo atuwez uza nyimbo zetu kwenye ka blog uchwara ka uko tandale....
Mimi sina timu,Sijui team kiba/Team Wasafi.
Ila hiyo namba number 3 Imeniacha mdomo wazi,Jamani watu wanamipasho.
 
Ivi mimi ndio uzee unanikaribia au nawehuka?uyu mtoto Kiba si ndio ambae kaimba Cinderella?tunaposema anamtegemea Diamond tuna maana ipi hasa ni kipi anakifanya sasa ivi au anakipata hakuwahi kukifanya mwanzoni naamini Kiba alikuwepo hapo kitambo sana tena ni kati ya watoto wazembe sana maana anatumia nguvu ndogo sana kujitangaza mpaka hapo alipo ila angekua na juhudi angekua bora zaidi ya hapo na kwa nyimbo anazofanya ni aibu kusema zinategemea agombane na mtu ili zisogee mbona toka zamani watu wanasikiliza ngoma zake ivi aligombana na nani mpaka tukaisikiliza nakshi nakshi au single boy ni upuuzi kuamini wimbo wake wa Aje umefika hapo kisa beef na fulani huko nje ambako wameukubali nako ni wapuuzi kama sisi pia,simply Kiba ana fan base yake kubwa anayo toka kitambo kabla ya Diamond kama kuna mtu anamsikiliza Kiba kisa hampendi Nassibu basi hana akili maana muziki ni burudani ya nafsi na kwa nini waende kwa Kiba sio Timbulo au Barnaba.
Diamond ni kati ya vijana ambao ni talented sana yeye sio mfanyabiashara tu ila amejifanya kua biashara iko wazi kabisa ana mashabiki wake wengi sana kwa sababu zao ni upuuzi aibuke shabiki wa Kiba akatae nguvu ya Diamond kwa muziki wake lazima tukubali haiwezekani awepo msanii mmoja popote pale na hakuna wa kuzui ushindani kwenye muziki hii hali ipo toka enzi hizo,bado natamani mtu ambae hana timu akiwa na akili timamu aniambie kwa nini uwepo wa Kiba unamtegemea Diamond na huo utegemezi umeanza lini.
Bado hamjamsaidiaa hiyoo Kiba..jamaa ana dharau anajiona kafika wakati bado sana..hizo level zamsanii wa kimataifa badoo tunambebaa tu..hakuna anachofanya..jaribuni kuangalia renk za mzik wa afrika toka mwaka Jana mpka huu..mtaona diamond alivyooo kua na njaa ya kufika mbali zaid...kutangulia Si kitu. Kwel Ali alianza mzik kabla ya Di na kuuwa star kabla ya dai..nachowrza kusema anakwenda Bila focus ndio maana hajui wap alipo toka anaanza muziki
 
Hii ni sawa kumfananisha samatta na kina kichuya.....kila msanii ana malengo yke kubwa zaid ni kuwa msanii mkubwa afrika na dunia kwa ujumla...So Ali Kiba kweny safari hi angekua mbali sana coz alianza vizur akalewa sifa... Chibu anapita na kuwa juu yake kwa sababu ndgo sana Si kwamb anajua Kimba sana hapana..anajua nn anataka na nn afanye iki afike anapotaka hata kwa kujishusha...Na anafanikiwa.Sasa huyo Kiba ambaye yko Chini Alf hatambui kama yuko Chini.. Inasikitisha sanaa
 
Naamin alipoa fika Chibu kwenye kaz zake huwa afikirii tena hawa wasanii wa bongo kama washindni wake...anafikiria atafanyaje Kina sarkodii... Davido. Tiwa savege na wengine wakubwa Africa waendeleee kumsubir.. Istoshe soko la mziki wa afrika liko Lagos ikiweza kutoboa hapo bas we Ni internenational. Kuna wasanii weng wakubwa na wakali. Kitu ambacho Ali Kiba hawezi.
 
Fan base ya Kiba huwezi kulinganisha na Fan base ya Diamond.. Kiba bado sanaaaaa..
 
Bado hamjamsaidiaa hiyoo Kiba..jamaa ana dharau anajiona kafika wakati bado sana..hizo level zamsanii wa kimataifa badoo tunambebaa tu..hakuna anachofanya..jaribuni kuangalia renk za mzik wa afrika toka mwaka Jana mpka huu..mtaona diamond alivyooo kua na njaa ya kufika mbali zaid...kutangulia Si kitu. Kwel Ali alianza mzik kabla ya Di na kuuwa star kabla ya dai..nachowrza kusema anakwenda Bila focus ndio maana hajui wap alipo toka anaanza muziki

Naona umehamisha goli mkuu,ishu hapa ni kwamba Kiba anategemea Beef na Diamond aweze ku-survive kwenye music industry na hapo ndipo nimetaka kujua msaada wa beef kwa Kiba kama wanavyoamini watu kua Diamond hafaidiki na hiyo beef yao kabisa na ikitokea hakuna beef wanaamini Kiba utakua mwisho wake kwenye music kuhusu comparison kati yao sitaki kua mnafiki niko mbali na music wao na kila mtu anaamini tofauti linapokuja suala na mwanamuziki bora wapo wanaoamini kwenye music tu na wapo wanaongalia mafanikio ya pesa and the like kuna mshikaji wangu yeye msanii bora wa kiume Barnaba na hataki mjadala ana criteria zake hapo.
 
Tushasema hatutaki mazoea.

Mlisema mziki wake unaishia Chalinze na mkatamba Website yenu inapatikana dunia nzima sasa kwanini msiweke nyimbo zenu wenyewe mnazitaka nyimbo zinazoishia Chalinze ili iweje?!
Ahahahahahah wambie washatimua mavumbi wanatafuta pakuhemea
 
Nafurahia sana mambo haya...

Mnalazimisha kugombana na kiba halaf yy hana time

Mnatoa nyimbo mnavyotaka lakin yy yupo kimya

Mnamlazimisha aongee halafu yy anaingia studio na kuwaambia Kama vip Aje

Mnatengeneza skendo zenu na mademu wenu yy anacheza gofu gymkana.... Msilazimishe ugomvi maana kiba hana ugomvi na mtu
Umeamua kukomelea Msumari kabisa
 
1e9434148d0abd3fe34016daa68a58aa.jpg
.
.....maneno ya domo aka chaijaba ayo Leo kasahau anasema yaishe..kingne kiba anauza mziki wake Sony,dizzer, na blog zingne zaid Ya 750 dunianai kote xo atuwez uza nyimbo zetu kwenye ka blog uchwara ka uko tandale....
Popote ulipo agiza Coke baridi ntalipa
 
We
Yaani kiba akiwa kwenye intavyuu anavyojivuta kujibu swal mpaka natamani ningekuwa karibu ningemzabua kikonzi kichwani paa! Siku moja akaulizwa una mahusiano na jokate yaan alijizungusha mpaka nilibandika maharage yakaiva hajajibu ni ehhhh ehhh you know you know hapo kuna pozi anawekaga kama kumeza mate hivi,you know you know za nn kiingereza chenyewe hajui awe anasema ndiyo au hapana kijulikane kama ni cheus au cheupe you know apeleke kariakoo ila kuimba anaimba sifa ya MTU apewe tu ...bifu isiishe maana ina faida pande zote Mbili... yoooooo pop it in .

We jamaa hahahaha
 
Back
Top Bottom