Wengi tulipoambiwa yuko kwa KAZI MAALUM hatukuelewa, ila kwa huu mtiririko hapa chini tutamwelewa vyema aliyetuambia hivyo

Wengi tulipoambiwa yuko kwa KAZI MAALUM hatukuelewa, ila kwa huu mtiririko hapa chini tutamwelewa vyema aliyetuambia hivyo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
KAZI MAALUM #1 (ULAYA)

Mwambie Boss wako mwenye Machale ya Kukamatwa nasi atulipe Chetu haraka vinginevyo utakaa huku hata mwaka na Wajukuu zako Wanaokupenda walie mpaka Macho yao yawatumbuke sawa?

KAZI MAALUM #2 (AFRIKA)

Jengo Ndege Tai (JNT) ili kufunika hii Aibu kwa nchi na Taifa na isinichafue na Mimi pia hakikisheni mnatafuta yule anayeaminika Mitandaoni mpeni Fedha nyingi na ahakikishe anazusha ama Ugonjwa au Kifo ili kuhamisha Akili za Malofa wengi zilalie huko na hili la kushikiliwa hadi Deni lilipwe lisijulikane.

KAZI MAALUM #3 (ULAYA na AFRIKA)

Tuwaminye Malofa katika Tozo na Mapato ili tupate Fedha za kulipa Deni na tulimaliza tu Aliyeshikiliwa arejeshwe na akizungumza na Malofa awe ni Mtu wa kutia Huruma na atumie muda mwingi Kusikitika Kuzushiwa huko ili Malofa waendelee Kuamini huko na Waafrika Wachache wenye Akili Kubwa kama akina GENTAMYCINE wasijue au hata Wasishtukie kuwa Deni Kubwa lilimkamatisha Mwandamizi huko Ughaibuni.

Hakika ilikuwa ni KAZI MAALUM hasa.

Hivyo kwakuwa hivi sasa ni mwendo tu wa KAZI MAALUM basi na Mimi GENTAMYCINE naanza KAZI MAALUM ya kuhakikisha akina Medeama FC na Wydad FC wanakufa kwa Mkapa ili Mapacha Wasanii Wawili wafikie Alama 5 kisha nitaendelea na KAZI MAALUM ya kuhakikisha CR Belzoud FC na Juwaneng Galaxy FC nao wanakufa kwa Mkapa ili ninaowapigania wafikishe Alama zao za mwisho 8 kisha waanze Kutamba nazo kwa Kujifariji na kuwaacha akina Al Ahly FC, CR Belzoud FC, Asec Mimosa FC na Wydad FC wakivuka kwenda zao Robo.
 
Wakati wengi tukiamini na tukijua kuwa huenda AMEKATA MOTO Kweli Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa kujiamini kabisa alijitokeza na kusema kuwa yuko Hai / Hajafa na anaendelea kufanya Kazi zake ( KAZI MAALUM )

Na hatimaye hivi karibuni mwana Mpotevu kaibuka na Kutuaminisha kuwa kumbe vile alivyosema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa yuko nje kwa Kazi Maalum imekuwa ni sahihi na ukweli mtupu.

Tusimseme tu sasa tumpongezen!!!

Pia soma > Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
 
Back
Top Bottom