Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Wengi wanakuwaga bums/bust
Unakuta yule ambaye ni alikuwaga chombo ya darasa na maringo juu huku akiwaona wengine sio level yake leo amezalia nyumbani mara mbili, hataki kufanya kazi za kawaida na ajira yake ni kudanga na bwana za watu huku pesa yote anaimalizia kulewa na kuparty na wenzake kila siku.
Yule mbabe wa darasa , leo amekuwa tapeli mjini, ameshakamatwa mara mbili kwa kosa la vurugu au fraud na anasubiria baba ake afe wauze nyumba waagawane pesa.
Yule bishoo wa darasa, leo utakuta ameashazunguka studio zote anakataliwa kuimba maana alidhani ana kipaji cha mziki, amemzalisha binti wa watu na wanamlelea mtoto nyumbani kwa mama yake. Life likawa tough, hawezi fanya kazi ngumu maana ana mentallity ya usharo, alipoona mammbo ni magumu akaanza kutaambaa na mishangazi (mme wake akajua akafumuliwa choo au kuwekwaa kwenye kiroba) au kugeuka upinde.
Unakuta yule ambaye ni alikuwaga chombo ya darasa na maringo juu huku akiwaona wengine sio level yake leo amezalia nyumbani mara mbili, hataki kufanya kazi za kawaida na ajira yake ni kudanga na bwana za watu huku pesa yote anaimalizia kulewa na kuparty na wenzake kila siku.
Yule mbabe wa darasa , leo amekuwa tapeli mjini, ameshakamatwa mara mbili kwa kosa la vurugu au fraud na anasubiria baba ake afe wauze nyumba waagawane pesa.
Yule bishoo wa darasa, leo utakuta ameashazunguka studio zote anakataliwa kuimba maana alidhani ana kipaji cha mziki, amemzalisha binti wa watu na wanamlelea mtoto nyumbani kwa mama yake. Life likawa tough, hawezi fanya kazi ngumu maana ana mentallity ya usharo, alipoona mammbo ni magumu akaanza kutaambaa na mishangazi (mme wake akajua akafumuliwa choo au kuwekwaa kwenye kiroba) au kugeuka upinde.