Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaLucky dube alikuwa vizuri kwenye aina yake ya mziki ambao yeye alituaminisha kuwa ni rege sababu aliimba na kucheza kwa kurukaruka. Ni kwaito flaan hivi yenye vibe ya rege.
Boby huyu aachwe tu Kama alivyo na sidhani Kama ni busara kulinganisha Boby na mtu mwenye viwango vya Senzo
Nyie ndio matoa tuzo ya msanii bora wa hip hop kwa Bil NasBob kwa lucky ni mchumba tu, hakuna nyimbo ya bob naipenda ila za lucky mbaya ni kidogo sana tena moja tu inaitwa drakula huwa siipendi kabisa
Ila senzo ni Mzima, mambo hayaSio kama simpendi Lucky Dube ila muziki wake nilianza kuupotezea pale alipohusishwa na kifo cha Senzo
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.
Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.
Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.
Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.
Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.
Sikiliza hizi
Tena yuko vizuri tu, anadunda zake mitaaniIla senzo ni Mzima, mambo haya
Naskia alizulumiana na genge la wauza sembe wenzake, naskia lakiniDune alipigwa chuma Kwa nn?
Pale machawa wa wasafi wanapojikuta wanaijua raggaeDunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.
hiyo ni kwa ladha yako ya mziki, mziki ni vibe kwakua vibe zako haziendani na Root Reggae Music haikupi uhalali wa kumfananisha Bob na muimba kwaya dube, we endelea kukomaa na kwaya root reggae waachie baba zakoLucky dube uki sikiliza ngoma zake au skip.. sio kama bob ngoma nayo ikubali ni moja ..uko juu naona watu wana komaa na bob ili waonekane wana jua
Subir 2025 uyaone ya Lisu na Samia sasa ili tukubaliane TZ ni nchi ya Walevi.Yaani akubalike mwingine mfalme awe mwingine.wapiga Kura watakuwa wamelewa.