Wengi wetu tumetungishwa mimba kipindi cha baridi

Wengi wetu tumetungishwa mimba kipindi cha baridi

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Naishukuru sana hali ya hewa ya baridi kwasababu wewe ndiye sababu ya mimi kutungwa mimba, pengine isingekuwa baridi labda wazazi wangu wasingelitafuta joto.

Wengi jambo hili litawachekesha lakini picha mtaipata ukubwani, mtakapobalehe mtagundua kuwa na maanisha nini.

Sasa hivi habari iliyopo mtaani ni baridi kali tutegemee mimba za watu maarufu kama maraisi, mawaziri, waalimu, wanasheria, watawa, wafanyabiashara, madaktari, wanasayansi kutungwa kipindi hichi cha baridi.
 
Hadi naogopa![emoji15][emoji15][emoji15]
Mr kutungishwa mimba
 
Mister Mirsess! Mbona kama unahamasisha watu kufanya ngono kipindi cha baridi?
 
Nahisi hujamuelewa..!! Si kwamba yeye alipewa mimba na mtu, bali yeye kuwa mimba au kuwekwa tumboni mwa mama yake.
Ndugu yangu wewe ni muelewa sana, hawa jamaa zangu hawakunielewa nilimaanisha nilitungishwa tumboni mwa mama yangu wao wamegeuza, asee wabongo kwenye kiswahili kuna nini? Mbona mnageuzaga maana?
 
Back
Top Bottom