Wengine baba zao wakiwa Marais tu kazi yao ni kuiba mali, kuuza ngada na kupora hovyo wake za watu

Wengine baba zao wakiwa Marais tu kazi yao ni kuiba mali, kuuza ngada na kupora hovyo wake za watu

Waambie Watu wa SSIT ( Makao Oysterbay mkabala na St. Peters ) waliokupa hii 'Assignment' dhidi yangu wakuongezee Maswali mengine kwani haya uliyoanza nayo ni ya Kitoto kama siyo ya Upuuzi na hutoweza kupata Majibu uyatakayo ili uandike vyema Ripoti yako na upandishwe Cheo na Mshahara wako nao Uongezeke sawa?
Usiogope kaka hatukuvui uraia wewe mwenzetu kaka ila nimeona una mahaba sana Kagame ikabidi nikuulize unamjua vizuri afande PC kaka??
 
Waambie Watu wa SSIT ( Makao Oysterbay mkabala na St. Peters ) waliokupa hii 'Assignment' dhidi yangu wakuongezee Maswali mengine kwani haya uliyoanza nayo ni ya Kitoto kama siyo ya Upuuzi na hutoweza kupata Majibu uyatakayo ili uandike vyema Ripoti yako na upandishwe Cheo na Mshahara wako nao Uongezeke sawa?
Hakuna mtu mwenye akili anaweza kumfuatilia popo-m@ km wewe Acha kujipa uzito usiokuwa nao
 
Siungi vitendo vya watoto wa viongozi kuwa mafisadi na wezi,
Lakini pia siungi mkono utaratibu nchi kuongozwa kifamilia au kurithishana uongozi kifamilia,

Uwepo mfumo huru wazi na haki wananchi wote kupata nafasi,
Kitu kagame anataka kufanya, ndo huo upambavu tunaona Kwa m7, kufanya nchi kuwa ya kifamilia
 
Back
Top Bottom