Siungi vitendo vya watoto wa viongozi kuwa mafisadi na wezi,
Lakini pia siungi mkono utaratibu nchi kuongozwa kifamilia au kurithishana uongozi kifamilia,
Uwepo mfumo huru wazi na haki wananchi wote kupata nafasi,
Kitu kagame anataka kufanya, ndo huo upambavu tunaona Kwa m7, kufanya nchi kuwa ya kifamilia