Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzushi tu yeye waga anaona Simba imekamilika kila idara et baada ya kichapo heavy ndio analeta story pori.Dah we jamaa ulivo mnazi kishamba hujawahi kuona baya la simba, kama uliona mapungufu mbona hukuwahi kuja na uzi hata wa tahadhari hapa?
Mimi shahidi wako, uliwahi kuleta uzi wa mapungufu ya Shabalala nikakuubga mkono lakini wengi walikushambulia, wengine walikuita yanga, wengine walikuuliza umetoa pesa gani za usajili Simba na kejeli nyingine zinazofanana na hizo.Fuatilia nyuzi zangu nyingi tu na post zangu katika nyuzi zingine, nimekosoa benchi la ufundi, viongozi na baadhi ya wachezaji hadi nimekuwa naambiwa nina chuki binafsi dhidi yao. Nyuzi zangu za mwisho mwisho nilikuwa nakumbushia kuwa nimekaa pembeni kwenye masuala haya ya mpira kwa sababu nilikuwa naona janga linalokuja. Hao mnaotaja wanakujaga kucopy na kupaste kile ambacho nakuwa nimeshakiandika.
Wakadhani wameyaepuka majangamakolo mlishangilia sana kuondoka kwa mayele 😃
Uko sawa kabisa. Mwanzoni mwa msimu huu nilikuja na uzi nikisema Yanga itakuwa na mafanikio zaidi ya Simba msimu huu. Na ni juzi juzi tu hapa nilisema kwa maujinga yanayoendelea pale Simba, inaweza isivuke hata hatua ya makundi safari hii. Kama unavyosema, kuna mashabiki mandazi wanadhani ukisema hivyo wewe ni upande wa pili.Mimi shahidi wako, uliwahi kuleta uzi wa mapungufu ya Shabalala nikakuubga mkono lakini wengi walikushambulia, wengine walikuita yanga, wengine walikuuliza umetoa pesa gani za usajili Simba na kejeli nyingine zinazofanana na hizo.
Washabiki tumetofautiana, wapo walipoingia ushabiki kwa kufata Mkumbo, wapo wamefata umaarufu Kama kina mwijaku na wachambuzi wengi, wapo ambao hawataki kusikia lolote baya linalohusu timu yao, wapo mashabiki machawa ambao wanashabikia mtu badala ya timu mfano machawa wa no na wapo ambao pamoja na kuipenda timu wanaikosoa na kuzungumzia mapungufu yake.