Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Nipe namba yako inbox nahisi tunaendana Ila sito kuomba hela shariti usiwe na mtoto. Ila Mimi ni mfupi Kama joti
 
Nipe namba yako inbox nahisi tunaendana Ila sito kuomba hela shariti usiwe na mtoto. Ila Mimi ni mfupi Kama joti
 
Yaan kwa miaka 12 ukae bila bila? Labda uniambie una shida mahala.
Ofcourse Nilipata ajali mbaya sana nikapata skull fracture na mkono ukapooza, mpaka kuja kurudi kwenye default mode ilichukua muda halafu kila wakati vipaumbele huwa vinabadirika kutokana na mtazamo wangu.
 
Duh! vijana wa kiume tusio na pesa bado tuna safari ndefu sana...

N.B:Nimependa jambo moja kwake amekuwa muwazi
 
Ofcourse Nilipata ajali mbaya sana nikapata skull fracture na mkono ukapooza, mpaka kuja kurudi kwenye default mode ilichukua muda halafu kila wakati vipaumbele huwa vinabadirika kutokana na mtazamo wangu.
Kumbe 🥺 Pole sana rafiki.
 

Amen [emoji120]
 
hivo unavoogopa kufanya sex kabla ya kuolewa na ukaona raha ------sasa raha anayoipata mwanaume kuoa mwanamke bikira na kumthamini maisha yake yote ni mara 10 yake
 
Wasikutishe hao wajingawajinga....mahusiano sio movie we shukuru ukikutana na wazushi kama hao ambao wanafail kwako sababu unajielewa. Jipe muda utafurahia sana mahusiano yapo mengi sana huko mbele. Mi mwenyewe nikikumbuka mahusiano yaliyowahi ku-work hadi kuyaita mahusiano hayafiki hata mawili japo nilikua mtu wa kupenda sana mahusiano na I was financially stable hadi nikaamuaga tu kuwa hit and run guy..
 
Don't worry endelea kuwa mtu bora utakutana tu na mtu sahihi, yani unajua nashangaa sanaaa. Watu wazuri wanakutana na watu washenzi, watu washenzi wanakutana na watu wazuri, woooi, what's going on here!!? Damn
 
Don't worry endelea kuwa mtu bora utakutana tu na mtu sahihi, yani unajua nashangaa sanaaa. Watu wazuri wanakutana na watu washenzi, watu washenzi wanakutana na watu wazuri, woooi, what's going on here!!? Damn

Ni kweli kuna mmoja alinambia anaogopa hadi kunimiza kwasababu Mimi Sistahili so tupeane space… inauma ila no way
 

Nashukuru kwa kunitia moyo [emoji120]
 
hivo unavoogopa kufanya sex kabla ya kuolewa na ukaona raha ------sasa raha anayoipata mwanaume kuoa mwanamke bikira na kumthamini maisha yake yote ni mara 10 yake

Hayo mimi sijui maana kila mtu na chaguzi za mtu anaemtaka
 
Stay cool jipende kwanza usikurupuke kuingia kwa mahusiano mapema.
Anza na urafiki.
 
Ulikuwa umuombi hela ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…