Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofcourse Nilipata ajali mbaya sana nikapata skull fracture na mkono ukapooza, mpaka kuja kurudi kwenye default mode ilichukua muda halafu kila wakati vipaumbele huwa vinabadirika kutokana na mtazamo wangu.Yaan kwa miaka 12 ukae bila bila? Labda uniambie una shida mahala.
Kumbe 🥺 Pole sana rafiki.Ofcourse Nilipata ajali mbaya sana nikapata skull fracture na mkono ukapooza, mpaka kuja kurudi kwenye default mode ilichukua muda halafu kila wakati vipaumbele huwa vinabadirika kutokana na mtazamo wangu.
Aisee unaelekea kupevuka kiakili sasa hizo ishu za imagination zinakusababishia ni upwiru ni foolish age era tu. Anza kubadilisha mtazamo kila kitu kizuri kina mitihani na ndio maana hata shuleni huwa kuna mitihani ili upande daraja ni lazima ufanye mitihani ufaulu ndio uendelee. Kwanini moyo wako ukudanganye ? Bado ni msichana mdogo tunza hiyo mali atakuja wa kutulia na wewe mpaka uzee wako.
Nipe namba yako inbox nahisi tunaendana Ila sito kuomba hela shariti usiwe na mtoto. Ila Mimi ni mfupi Kama joti
hivo unavoogopa kufanya sex kabla ya kuolewa na ukaona raha ------sasa raha anayoipata mwanaume kuoa mwanamke bikira na kumthamini maisha yake yote ni mara 10 yakeHakuna ugomvi hakunaa shida yoyote… niliona mabadiliko yake Kama siku 2 hivi nyuma.. Leo from no where ananitumia hii sms
“Mama angu samahani sanaa si kwa ubayaa ila me naona haya mahusiano yaishie hapa mimi binafsi na mambo mengi sina muda na wewe kabisaa sasa kwahyo hatuwezi kujengaa mahusiano yaliyokamili kwa ubize mahusiano yanataka muda sanaa ila mimi muda nimekosaa nadhani hata ww shahidi kwa hilo kwahyo me naomba tu nisikupotezee muda kwa sasa kabla hatujafika mbali... ngoja na mimi nituliee kwanzaa pale nitakapoona na muda basi nitaanzisha mahusiano ila am very sorry mama angu.... kama kuna sehemu tulimkosea Mungu kwa namna yoyte atusamehe”[emoji174]
Nilichomjibu[emoji116][emoji116][emoji116]
“Ooh sawa hakuna tatizo.. kama umeliona hilo it's okay.. nimefurahi kwa kuniweka wazi. Sisi wote ni vijana Kuna maisha mengine lazima yaendelee”
Huyu mkaka nimeanza nae hata miezi 3 hatujamaliza, japo siku mtilia maanani kwasababu ya red flag hizi
1:Anapenda kuombaomba hela, ukimshtukia anajifanya kuwa alikuwa anatania
2;Anaenda kwenye makongamano ya waimbaji sana( wengi wanaoenda huko wanatafutaga wadada ama wakaka)
3; Ni mgumu kutoa hela zake.. hata ukiishiwa vocha utamuomba atakuzungusha siku 3 ndio upewe
4; Analazimisha aje kwetu kwa madai kuwa anakuja kumsalimia mama( jambo ambalo nilimkatalia kuwa sisi kwetu anaetaka kuoa ndio anaruhusiwa kuja home si jambo zuri mimi kupeleka wanaume kwa mama yangu naona Ali mind )
Tumeachana kwa amani.. nashukuru Mungu process ya kukulana ili fail kwasababu ya ubize wake, hii imesaidia nisiumie sana wala kujutia na nimejifunza hapa usifanye sex mapema sana lolote linaweza kutokea huko mbeleni [emoji174]
Nimejiuliza maswali sana… kuna shida gani mbona sijawah kupata mpnz wa kudumu yaani nikaenjoy mahusiano( japo nimewai kuwa na kijana kwa sasa hayupo ila nilienjoy)
Nimewaza tu nikae single kama hata huyu church boy kaniachaa [emoji2960]
Wasikutishe hao wajingawajinga....mahusiano sio movie we shukuru ukikutana na wazushi kama hao ambao wanafail kwako sababu unajielewa. Jipe muda utafurahia sana mahusiano yapo mengi sana huko mbele. Mi mwenyewe nikikumbuka mahusiano yaliyowahi ku-work hadi kuyaita mahusiano hayafiki hata mawili japo nilikua mtu wa kupenda sana mahusiano na I was financially stable hadi nikaamuaga tu kuwa hit and run guy..Hakuna ugomvi hakunaa shida yoyote… niliona mabadiliko yake Kama siku 2 hivi nyuma.. Leo from no where ananitumia hii sms
“Mama angu samahani sanaa si kwa ubayaa ila me naona haya mahusiano yaishie hapa mimi binafsi na mambo mengi sina muda na wewe kabisaa sasa kwahyo hatuwezi kujengaa mahusiano yaliyokamili kwa ubize mahusiano yanataka muda sanaa ila mimi muda nimekosaa nadhani hata ww shahidi kwa hilo kwahyo me naomba tu nisikupotezee muda kwa sasa kabla hatujafika mbali... ngoja na mimi nituliee kwanzaa pale nitakapoona na muda basi nitaanzisha mahusiano ila am very sorry mama angu.... kama kuna sehemu tulimkosea Mungu kwa namna yoyte atusamehe”[emoji174]
Nilichomjibu[emoji116][emoji116][emoji116]
“Ooh sawa hakuna tatizo.. kama umeliona hilo it's okay.. nimefurahi kwa kuniweka wazi. Sisi wote ni vijana Kuna maisha mengine lazima yaendelee”
Huyu mkaka nimeanza nae hata miezi 3 hatujamaliza, japo siku mtilia maanani kwasababu ya red flag hizi
1:Anapenda kuombaomba hela, ukimshtukia anajifanya kuwa alikuwa anatania
2;Anaenda kwenye makongamano ya waimbaji sana( wengi wanaoenda huko wanatafutaga wadada ama wakaka)
3; Ni mgumu kutoa hela zake.. hata ukiishiwa vocha utamuomba atakuzungusha siku 3 ndio upewe
4; Analazimisha aje kwetu kwa madai kuwa anakuja kumsalimia mama( jambo ambalo nilimkatalia kuwa sisi kwetu anaetaka kuoa ndio anaruhusiwa kuja home si jambo zuri mimi kupeleka wanaume kwa mama yangu naona Ali mind )
Tumeachana kwa amani.. nashukuru Mungu process ya kukulana ili fail kwasababu ya ubize wake, hii imesaidia nisiumie sana wala kujutia na nimejifunza hapa usifanye sex mapema sana lolote linaweza kutokea huko mbeleni [emoji174]
Nimejiuliza maswali sana… kuna shida gani mbona sijawah kupata mpnz wa kudumu yaani nikaenjoy mahusiano( japo nimewai kuwa na kijana kwa sasa hayupo ila nilienjoy)
Nimewaza tu nikae single kama hata huyu church boy kaniachaa [emoji2960]
Nilishapoa aisee 🙏Kumbe 🥺 Pole sana rafiki.
Don't worry endelea kuwa mtu bora utakutana tu na mtu sahihi, yani unajua nashangaa sanaaa. Watu wazuri wanakutana na watu washenzi, watu washenzi wanakutana na watu wazuri, woooi, what's going on here!!? Damn
Wasikutishe hao wajingawajinga....mahusiano sio movie we shukuru ukikutana na wazushi kama hao ambao wanafail kwako sababu unajielewa. Jipe muda utafurahia sana mahusiano yapo mengi sana huko mbele. Mi mwenyewe nikikumbuka mahusiano yaliyowahi ku-work hadi kuyaita mahusiano hayafiki hata mawili japo nilikua mtu wa kupenda sana mahusiano na I was financially stable hadi nikaamuaga tu kuwa hit and run guy..
hivo unavoogopa kufanya sex kabla ya kuolewa na ukaona raha ------sasa raha anayoipata mwanaume kuoa mwanamke bikira na kumthamini maisha yake yote ni mara 10 yake
Stay cool jipende kwanza usikurupuke kuingia kwa mahusiano mapema.
Anza na urafiki.
Njoo kwangu nikupoze maumiv ya moyoNingelia kilio cha kusaga meno
Ndo sisi sasa ambao haturudii mtongozoSasa kujua muoaji ni kipengele
Ulikuwa umuombi hela ?Kuna vitu siwezi kuandika hapa maana itafungua identity yangu
Nimewaza tu labda nitafute pastor wa kiroho yawezekana haya mambo ni ya kiimani zaidi
Nilishawahi kupata mtu anaeleweka kabisa na alinipenda sana niliona kwa matendo yake ila upepo ulibadilika ghafla vuuuuu[emoji174][emoji174]
Sijui kwann nahisi mnaendana sana nyieBebi bado haijawa ofisho si mpaka December tukienda kupanda mlima tufike mpaka kileleni.
Mpaji Mungu