Usiwe serious sana nayo, perfect analetwa wakati perfect...utashangaa mnagandana.
UShaambiwa ni church boy.. kashazoea kusoma Aya za Isaya au Ufunuo kwenye biblia mistari mireeeefu ndio maanaUnapomwacha mtu lazima uwe na maelezo mengi ya hivyo .....hayo maelezo mengi wanatoa wanaume wasio na pesa..... sikuhizi unapoachana na mtu unamute...ataelewa tu.
Pumzika, achana nayo kwa sasa. Mtu sahihi atakuja kipindi ambacho hata huna uhitaji sana wa hio kitu.
UShaambiwa ni church boy.. kashazoea kusoma Aya za Isaya au Ufunuo kwenye biblia mistari mireeeefu ndio maana
Sio siri kadogo2 Mimi nimekua nakufuatilia kwa muda sana sasa na honestly naomba leo ujue kuwa moyo wangu unakupenda. Usijali kuhusu church boy, njoo nikupe pumziko[emoji24] mtu anakuacha kwa vifungu
Hii haihusiani kuwa na hela au kutokua nayo issue ni kuachana tu kistaarabu bila kizaizai ukimwambia hivyo mtu anakuelewa tu kuna wanawake hawaelewagi una hela au huna and I'm the living proof nime experienceUnapomwacha mtu lazima uwe na maelezo mengi ya hivyo .....hayo maelezo mengi wanatoa wanaume wasio na pesa..... sikuhizi unapoachana na mtu unamute...ataelewa tu.
Kwa hiyo bora uachwe kimya kimya au kupigwa matukioSi vyema
Pm ipo wazi nije?
Shida ni kwamba hutaki kutoa penzi! Dada, Kwa mapenzi ya vijana wa sasa, utaachwa sana. Hiki ni kizazi kinachoamini kuwa... Mwanamke akikupenda lazima akuvulie chupi, asipokuvulia wewe Kuna mwengine anamvuliaNimesharudi kwa Mungu… pia yeye alisaidia hilo maana tulikuwa na vipindi pamoja vya kusali na kuomba… na nimelishinda hilo… kwasababu hata zinaa nimeikimbia within 7 months… na kwasababu nilimuona hana mambo ya mapenzimapenzi nikasema angalau hapa nita settle
Unamuomba hela sana?Aisee sijui Kama nina changamoto ambazo mimi sizijui hama siwezi zioni… nime behave vizuri sana mpk yeye akawa ananisifia kuwa nimekua najitambua… juzi tumeongea vizuri sana mpk anasisitiza ananipenda na blablah jana tu hatujaongea Leo anatuma hiyo sms
Kabisa usitumie nguvuMapenzi ni mzaha usiwe serious sana! Utaumia, cheza 50/50!
Shida ni kwamba hutaki kutoa penzi! Dada, Kwa mapenzi ya vijana wa sasa, utaachwa sana. Hiki ni kizazi kinachoamini kuwa... Mwanamke akikupanda lazima akuvulie chupi, asipokuvulia wewe Kuna mwengine anamvulia
Unamuomba hela sana?
Bado hujaachwaaa utaachwa hadi basi
Mapenzi ni mzaha usiwe serious sana! Utaumia, cheza 50/50!
Kwa hiyo bora uachwe kimya kimya au kupigwa matukio