Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Samahani dada, tatizo limeanzia hapo kwenye vocha kama hajatuma hujibu sms zake
Rekebisha hapo
 
Samahani dada, tatizo limeanzia hapo kwenye vocha kama hajatuma hujibu sms zake
Rekebisha hapo

Hakuna kitu wewe mwanaume gani ananiambia mimi nimtoe out Halafu nikimkazia anasema alikuwa ananitania

Mimi nilishawahi kumuazima karibu laki 2 alikuwa ana shida sana kunirudishia tu akaanza kuomba nimsamehe sijui mpnz hadaiwi nikakomaa mpk akanilipa

Safari hii nimejiona kabisaa sina kosaa lolote
 
Back
Top Bottom