Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mimi nakulilia wewe, wewe unamlilia Mungu wakat Mungu kashakujib maombi?Ngoja nikamlilie Mungu kesho
Mi ninachojua ukiachwa achika🤒Hii haihusiani kuwa na hela au kutokua nayo issue ni kuachana tu kistaarabu bila kizaizai ukimwambia hivyo mtu anakuelewa tu kuna wanawake hawaelewagi una hela au huna and I'm the living proof nime experience
🤣🤣🤣🤣🙌UShaambiwa ni church boy.. kashazoea kusoma Aya za Isaya au Ufunuo kwenye biblia mistari mireeeefu ndio maana
Nenda nayo hivyohivyo cute....Daaah… ni kweli ila kwangu imekuwa too much
Nenda nayo hivyohivyo cute....
Kumbe unachotaka ni kuachwa kwa process sasa haijalishi unaachwajeYote Hayana ubora ila kinachokwaza ni kuwa mtu mmeongea vizuri Hakuna ugomvi asubuh tu unakutana na hiyo sms
Pole cute,kilamtu na njia yake ya kutoboa 😘Nimelipokea hili… mpk unatamani wenzio namna wanavoenjoy kaanza mahusiano tu kapata mtu sahihi
Good for you, umeshakomaa sasa raha jipe mwenyeweMi ninachojua ukiachwa achika🤒
Matukio yanakomaza mkuu,acha tuGood for you, umeshakomaa sasa raha jipe mwenyewe
Duh,process ya kukulana ili fail kwasababu ya ubize wake
Samahani dada, tatizo limeanzia hapo kwenye vocha kama hajatuma hujibu sms zake
Rekebisha hapo
Duh,
Sa bila kunyanduana unasemaje kuwa kulikuwa na mahusiano?!!
Mteswaji bora wa mapenzi hapa jf....bado unashikilia rekodi
Pole cute,kilamtu na njia yake ya kutoboa [emoji8]
Kumbe unachotaka ni kuachwa kwa process sasa haijalishi unaachwaje