Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Hakuna ugomvi hakunaa shida yoyote… niliona mabadiliko yake Kama siku 2 hivi nyuma.. Leo from no where ananitumia hii sms

“Mama angu samahani sanaa si kwa ubayaa ila me naona haya mahusiano yaishie hapa mimi binafsi na mambo mengi sina muda na wewe kabisaa sasa kwahyo hatuwezi kujengaa mahusiano yaliyokamili kwa ubize mahusiano yanataka muda sanaa ila mimi muda nimekosaa nadhani hata ww shahidi kwa hilo kwahyo me naomba tu nisikupotezee muda kwa sasa kabla hatujafika mbali... ngoja na mimi nituliee kwanzaa pale nitakapoona na muda basi nitaanzisha mahusiano ila am very sorry mama angu.... kama kuna sehemu tulimkosea Mungu kwa namna yoyte atusamehe”[emoji174]

Nilichomjibu[emoji116][emoji116][emoji116]

“Ooh sawa hakuna tatizo.. kama umeliona hilo it's okay.. nimefurahi kwa kuniweka wazi. Sisi wote ni vijana Kuna maisha mengine lazima yaendelee”

Huyu mkaka nimeanza nae hata miezi 3 hatujamaliza, japo siku mtilia maanani kwasababu ya red flag hizi

1:Anapenda kuombaomba hela, ukimshtukia anajifanya kuwa alikuwa anatania

2;Anaenda kwenye makongamano ya waimbaji sana( wengi wanaoenda huko wanatafutaga wadada ama wakaka)

3; Ni mgumu kutoa hela zake.. hata ukiishiwa vocha utamuomba atakuzungusha siku 3 ndio upewe

4; Analazimisha aje kwetu kwa madai kuwa anakuja kumsalimia mama( jambo ambalo nilimkatalia kuwa sisi kwetu anaetaka kuoa ndio anaruhusiwa kuja home si jambo zuri mimi kupeleka wanaume kwa mama yangu naona Ali mind )

Tumeachana kwa amani.. nashukuru Mungu process ya kukulana ili fail kwasababu ya ubize wake, hii imesaidia nisiumie sana wala kujutia na nimejifunza hapa usifanye sex mapema sana lolote linaweza kutokea huko mbeleni [emoji174]


Nimejiuliza maswali sana… kuna shida gani mbona sijawah kupata mpnz wa kudumu yaani nikaenjoy mahusiano( japo nimewai kuwa na kijana kwa sasa hayupo ila nilienjoy)

Nimewaza tu nikae single kama hata huyu church boy kaniachaa [emoji2960]
Ukiona vijana wenzako wanakusumbua, jaribu na kwa sisi wazee halafu uone mapenzi yalivyo na raha ya kipekee.
 
Hili nataka nilizingatie sasa hivi tatizo mna watoto wakubwa sana mpk tunaona aibu
Duh! Siyo wazee wote tuna watoto wakubwa bwana! Ila sisi tuna faida nyingi zaidi kuliko hasara. Kama hizo hela za vocha huwa tunatuma tu hta kwa kupitia songesha!
 
Mmh unanitisha
Tafuta Mtumishi wa kiroho aliye deep akuombee ungekuwa Muislamu ungemtafuta Shehe akakufanyia kisomo, hopefully hiyo hali ingeondoka maana kutokana na nyuzi zako humu nikikusoma naona ni Msichana unayependa kwa moyo wako wote but at the end You end up with the 😞. Pole tafuta msaada wa kiroho na usiwe mwepesi wa kugawa tunda kwa kila Me unayeingia nae kwenye mahusiano. Unazidi kuupoteza utu wako
 
Nimekuwa nikipitia hiyo hali kila mara. Kwangu hunitokea pale mdada anakuwa mkimya ghafla na kuonekana yuko busy na mambo mengine.
 
Yule boss wa ofisini kwako mmefikia wapi? Usije ukaangukia kwake kama ulishaanza kuvutiwa nae na ghafla baby huku kakupiga chini.
Huyu ana spirit husband aisee 🤣🤣🤣
Yupo kwenye mahusiano halafu bado anamtamani boss wake niliona ule uzi wake.
 
wewe nindizain ya wale wadada wanaopenda wanaume base on physical appearance my friend utazeekea kwenu
ulikuja hapa na blah bla kibao mara huyu kaka nampenda kwa sababu za kitoto
 
Tafuta Mtumishi wa kiroho aliye deep akuombee ungekuwa Muislamu ungemtafuta Shehe akakufanyia kisomo, hopefully hiyo hali ingeondoka maana kutokana na nyuzi zako humu nikikusoma naona ni Msichana unayependa kwa moyo wako wote but at the end You end up with the [emoji20]. Pole tafuta msaada wa kiroho na usiwe mwepesi wa kugawa tunda kwa kila Me unayeingia nae kwenye mahusiano. Unazidi kuupoteza utu wako

Sawa nitalifanyia kazi
 
wewe nindizain ya wale wadada wanaopenda wanaume base on physical appearance my friend utazeekea kwenu
ulikuja hapa na blah bla kibao mara huyu kaka nampenda kwa sababu za kitoto

Sawa tuolewe na yoyote tu… nikifika huo umri wa yeyote basi nitafanya hivyo umri nilionao sio wa kukurupa mradi kijana kasema ananipenda basi nikubali tu no
 
Huyu ana spirit husband aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yupo kwenye mahusiano halafu bado anamtamani boss wake niliona ule uzi wake.

Mahusiano hatukulani ndio maana nimetamani wenginee
 
1:Anapenda kuombaomba hela, ukimshtukia anajifanya kuwa alikuwa anatania

2;Anaenda kwenye makongamano ya waimbaji sana( wengi wanaoenda huko wanatafutaga wadada ama wakaka)

3; Ni mgumu kutoa hela zake.. hata ukiishiwa vocha utamuomba atakuzungusha siku 3 ndio upewe

4; Analazimisha aje kwetu kwa madai kuwa anakuja kumsalimia mama( jambo ambalo nilimkatalia kuwa sisi kwetu anaetaka kuoa ndio anaruhusiwa kuja home si jambo zuri mimi kupeleka wanaume kwa mama yangu naona Ali mind )
Kwa sifa hizi alikuwa hakufai.
 
Back
Top Bottom