Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano

Imagination zipi ?
Halafu yale yote unayoya imagine asilimia 85 huwa hayapo na hayatokei acha hofu

I mean kwamba upwiru unakaba koo hata ukipanda daladala mawazo ni hayohayo ukilala ukiamka ukimuona boss… kuishinda dhambi ni shughuli
 
I mean kwamba upwiru unakaba koo hata ukipanda daladala mawazo ni hayohayo ukilala ukiamka ukimuona boss… kuishinda dhambi ni shughuli
Sijui are you above 25 ? Or below that age ?
 
Hio sababu… Kama angekuwa anataka hivyo angeniambia sasa Kama tangu tuanze uhusiano tumeonana mara 2 na tunakaa mkoa mmoja ambayo nauli ni 600 tu kuona ni changamoto hilo penzi ningetoa kwa simu

Na yeye ndio alikuwa hayuko interested na hilo jambo akisema kuwa kuzini ni dhambi sasa mimi ningemlazimisha
Eeh Mungu atusaidie maan hata tukiiacha hii kitu ufalme bado kuuona ni tabuu
 
Hakuna ugomvi hakunaa shida yoyote… niliona mabadiliko yake Kama siku 2 hivi nyuma.. Leo from no where ananitumia hii sms

“Mama angu samahani sanaa si kwa ubayaa ila me naona haya mahusiano yaishie hapa mimi binafsi na mambo mengi sina muda na wewe kabisaa sasa kwahyo hatuwezi kujengaa mahusiano yaliyokamili kwa ubize mahusiano yanataka muda sanaa ila mimi muda nimekosaa nadhani hata ww shahidi kwa hilo kwahyo me naomba tu nisikupotezee muda kwa sasa kabla hatujafika mbali... ngoja na mimi nituliee kwanzaa pale nitakapoona na muda basi nitaanzisha mahusiano ila am very sorry mama angu.... kama kuna sehemu tulimkosea Mungu kwa namna yoyte atusamehe”[emoji174]

Nilichomjibu[emoji116][emoji116][emoji116]

“Ooh sawa hakuna tatizo.. kama umeliona hilo it's okay.. nimefurahi kwa kuniweka wazi. Sisi wote ni vijana Kuna maisha mengine lazima yaendelee”

Huyu mkaka nimeanza nae hata miezi 3 hatujamaliza, japo siku mtilia maanani kwasababu ya red flag hizi

1:Anapenda kuombaomba hela, ukimshtukia anajifanya kuwa alikuwa anatania

2;Anaenda kwenye makongamano ya waimbaji sana( wengi wanaoenda huko wanatafutaga wadada ama wakaka)

3; Ni mgumu kutoa hela zake.. hata ukiishiwa vocha utamuomba atakuzungusha siku 3 ndio upewe

4; Analazimisha aje kwetu kwa madai kuwa anakuja kumsalimia mama( jambo ambalo nilimkatalia kuwa sisi kwetu anaetaka kuoa ndio anaruhusiwa kuja home si jambo zuri mimi kupeleka wanaume kwa mama yangu naona Ali mind )

Tumeachana kwa amani.. nashukuru Mungu process ya kukulana ili fail kwasababu ya ubize wake, hii imesaidia nisiumie sana wala kujutia na nimejifunza hapa usifanye sex mapema sana lolote linaweza kutokea huko mbeleni [emoji174]


Nimejiuliza maswali sana… kuna shida gani mbona sijawah kupata mpnz wa kudumu yaani nikaenjoy mahusiano( japo nimewai kuwa na kijana kwa sasa hayupo ila nilienjoy)

Nimewaza tu nikae single kama hata huyu church boy kaniachaa [emoji2960]
Alitaka aonane na mama ili amuombe pesa 😅😅😅 hana lolote
 
Hakuna ugomvi hakunaa shida yoyote… niliona mabadiliko yake Kama siku 2 hivi nyuma.. Leo from no where ananitumia hii sms

“Mama angu samahani sanaa si kwa ubayaa ila me naona haya mahusiano yaishie hapa mimi binafsi na mambo mengi sina muda na wewe kabisaa sasa kwahyo hatuwezi kujengaa mahusiano yaliyokamili kwa ubize mahusiano yanataka muda sanaa ila mimi muda nimekosaa nadhani hata ww shahidi kwa hilo kwahyo me naomba tu nisikupotezee muda kwa sasa kabla hatujafika mbali... ngoja na mimi nituliee kwanzaa pale nitakapoona na muda basi nitaanzisha mahusiano ila am very sorry mama angu.... kama kuna sehemu tulimkosea Mungu kwa namna yoyte atusamehe”[emoji174]

Nilichomjibu[emoji116][emoji116][emoji116]

“Ooh sawa hakuna tatizo.. kama umeliona hilo it's okay.. nimefurahi kwa kuniweka wazi. Sisi wote ni vijana Kuna maisha mengine lazima yaendelee”

Huyu mkaka nimeanza nae hata miezi 3 hatujamaliza, japo siku mtilia maanani kwasababu ya red flag hizi

1:Anapenda kuombaomba hela, ukimshtukia anajifanya kuwa alikuwa anatania

2;Anaenda kwenye makongamano ya waimbaji sana( wengi wanaoenda huko wanatafutaga wadada ama wakaka)

3; Ni mgumu kutoa hela zake.. hata ukiishiwa vocha utamuomba atakuzungusha siku 3 ndio upewe

4; Analazimisha aje kwetu kwa madai kuwa anakuja kumsalimia mama( jambo ambalo nilimkatalia kuwa sisi kwetu anaetaka kuoa ndio anaruhusiwa kuja home si jambo zuri mimi kupeleka wanaume kwa mama yangu naona Ali mind )

Tumeachana kwa amani.. nashukuru Mungu process ya kukulana ili fail kwasababu ya ubize wake, hii imesaidia nisiumie sana wala kujutia na nimejifunza hapa usifanye sex mapema sana lolote linaweza kutokea huko mbeleni [emoji174]


Nimejiuliza maswali sana… kuna shida gani mbona sijawah kupata mpnz wa kudumu yaani nikaenjoy mahusiano( japo nimewai kuwa na kijana kwa sasa hayupo ila nilienjoy)

Nimewaza tu nikae single kama hata huyu church boy kaniachaa [emoji2960]
Hakuna mtu ambaye hana bahati kwenye mahusiano itakuwa kuna mambo mengi bado hujui ungekuwa ndugu yangu ningekufundisha kila kitu, mungu hajaumba mtu kuja kuteseka haya ni mambo ya walimwengu tu
 
Kwanza juzi pepsi big ulikunywa??? 🤣🤣🤣
Alafu acha hizooo Chai kivipi yaani ?
Ili iweje yaani ? And what was the causes of that condition? You didn't even ask and you decided to conclude with your negativity.
Yaan kwa miaka 12 ukae bila bila? Labda uniambie una shida mahala.
 
Nipe namba yako inbox nahisi tunaendana Ila sito kuomba hela shariti usiwe na mtoto. Ila Mimi ni mtupi Kama joti
 
Nipo kilele chA 25
Aisee unaelekea kupevuka kiakili sasa hizo ishu za imagination zinakusababishia ni upwiru ni foolish age era tu. Anza kubadilisha mtazamo kila kitu kizuri kina mitihani na ndio maana hata shuleni huwa kuna mitihani ili upande daraja ni lazima ufanye mitihani ufaulu ndio uendelee. Kwanini moyo wako ukudanganye ? Bado ni msichana mdogo tunza hiyo mali atakuja wa kutulia na wewe mpaka uzee wako.
 
Back
Top Bottom